Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lema: Vijana jiandaeni kisaikolojia

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema, (CHADEMA), amesema Serikali ya Chama Cha Mapinduzi, (CCM), imeshindwa kutatua tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, hivyo akawataka vijana wanaohitimu elimu wajiandae...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MHE. GODBLESS LEMA AFUNGUA WARSHA YA AFYA YA UZAZI NA UKIMWI KWA VIJANA JIJINI ARUSHA

 Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema akitoa hotuba ya ufunguzi wa warsha hiyo jijini Arusha Picha ya pamoja ya washiriki pamoja na mgeni rasmi Mh. Godbless Lema.Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mwanza jiandaeni

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa jana alitua jijini Mwanza na kuwataka wakazi wa jiji hilo wajiandae kupokea ushindi.

 

11 years ago

Habarileo

'Watanzania jiandaeni uchumi wa gesi'

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, aliwataka Watanzania kujiandaa na uchumi wa gesi, kwa kuwa ndio utakaotoa ajira mpya nyingi na za uhakika.

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu: WanaCCM jiandaeni kwa ushindi

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema CCM ni chama pekee nchini ambacho kimefanikiwa na kinaendelea kupanua wigo wa demokrasia.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga jiandaeni mapema, Waarabu wepesi tu

Kati ya Aprili 17, 18 na 19, 2015, wawakilishi pekee wa Tanzania, katika michuano ya klabu Afrika, Kombe la Shirikisho, Yanga itakuwa katika harakati za kuwania heshima ya ubingwa kwa klabu Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘CCM Msasani jiandaeni kwa uchaguzi’

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Msasani, wametakiwa kujipanga vema ili kupata viongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa  utakaofanyika baadaye mwaka huu. Katibu Mkuu wa CCM Mkoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanamichezo jiandaeni kwa bidii Michezo Afrika

Tanzania itashiriki kwa mara ya 11 kwenye Michezo ya Mataifa ya Afrika (All African Games) nchini Kongo Brazzaville. Kwa mara ya kwanza taifa lilishiriki kwenye michezo hiyo 1965 ikiwa ni miaka mitatu baada ya kupata Uhuru 1961 wakati huo ikiitwa Tanganyika

 

5 years ago

Michuzi

JIANDAENI KIUCHUMI KULETA MABADILIKO PAMOJA NA KULINDA AFYA ZENU JUU YA COVID -19


Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani Picha na Vero Ignatus.
Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani wakiwa wamekaa bila kusongamana.Picha na Vero Ignatus.


Na.Vero Ignatus ,Mlandizi Pwani

Katika kuadhimisha sikukuu ya pasaka inayoonyesha upekee wa Imani ya Kikristo duniani Jamii imetakiwa kujikita...

 

10 years ago

Mwananchi

Tumejiandaa kisaikolojia na kura ya maoni?

Kazi ya Bunge Maalumu la Katiba imefikia kikomo, wamefanya walilofanya, kazi iliyobaki sasa ni kwa umma kuamua kuhusu hayo waliyopendekeza kama yamekidhi matakwa yao au la.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani