Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamichezo jiandaeni kwa bidii Michezo Afrika

Tanzania itashiriki kwa mara ya 11 kwenye Michezo ya Mataifa ya Afrika (All African Games) nchini Kongo Brazzaville. Kwa mara ya kwanza taifa lilishiriki kwenye michezo hiyo 1965 ikiwa ni miaka mitatu baada ya kupata Uhuru 1961 wakati huo ikiitwa Tanganyika

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TUNZO KWA WANAMICHEZO BORA WA MWAKA MICHEZO MBALI MBALI ZATOLEWA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na Waziri wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dr. Finella Mukangara (katikati) Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Zanzibar Abdilah Jihadi Hassan (kulia) wakiwa na Mwandishi wa Habari Salim Said Salim na Mama Fatma Karume wakiwa katika Hafla ya utoaji wa tunzo kwa wanamichezo bora kwa mwaka 2013/2014 katika ukumbi wa  Diamond Jubilee...

 

11 years ago

Mwananchi

Tupeleke wanamichezo wengi michezo ya Madola

Tupeleke wanamichezo wengi michezo ya Madola Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow, Scotland katika ufunguzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola utakaofanyika Julai 23.

 

9 years ago

Mwananchi

MTAZAMO : Wako wapi wanamichezo wa michezo yetu ya jadi?

Kutokana na umuhimu wa michezo kwa jamii katika kila kipindi cha historia ya binadamu, Watanzania nao pia walikuwa wakishiriki katika michezo mbalimbali nchini katika makabila yao.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda akiikabidhi Timu ya Taifa ya Paralympic vifaa vya michezo kwa ajili ya kwenda nchini Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika  (All African Games).Kushoto anayepokea vifaa hivyo ni Kocha wa Timu hiyo Bw. Zaharan Mwenemti. 

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda akiongea na kikosi cha...

 

10 years ago

Habarileo

Nyalandu: WanaCCM jiandaeni kwa ushindi

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema CCM ni chama pekee nchini ambacho kimefanikiwa na kinaendelea kupanua wigo wa demokrasia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘CCM Msasani jiandaeni kwa uchaguzi’

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Msasani, wametakiwa kujipanga vema ili kupata viongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa  utakaofanyika baadaye mwaka huu. Katibu Mkuu wa CCM Mkoa...

 

10 years ago

Michuzi

JK mgeni rasmi mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari Jumuiya ya Afrika Mashariki

 Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari za Jumuiya ya Afrika Mashariki(FEASSSA) Mhe. Mwantumu Mahiza akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi wa mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza tarehe 22 na kuzinduliwa rasmi tarehe 24 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.  Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa TAMISEMI Jumanne Sagini, Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wanamichezo barani Afrika wapata maumivu ya kiuchumi

Mishahara ya wachezaji yapunguzwa mpaka kwa 50%.

 

10 years ago

Habarileo

‘Tukatae umaskini kwa kufanya kazi kwa bidii’

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Dk Mary Nagu amewataka wananchi kuukataa umaskini kwa kufanya kazi kwa bidii ili kujenga taifa lenye watu wenye nguvu na uwezo wa kulitumikia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani