Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyalandu: WanaCCM jiandaeni kwa ushindi

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema CCM ni chama pekee nchini ambacho kimefanikiwa na kinaendelea kupanua wigo wa demokrasia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ngeleja apongeza wanaCCM Sengerema kwa ushindi

William NgelejaMBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja amewashukuru wananchi wa jimbo lake la uchaguzi kwa kukipatia ushindi wa kishindo Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka jana.

 

10 years ago

Michuzi

KINGUNGE AWATAKA WANACCM KUSHIKAMANA NA KUZIKA TOFAUTI ZAO ILI KUPATA USHINDI WA KISHINDO UCHAGUZI MKUU 2015

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kingunge Ngombale,Mwilu (kushoto) akizungumza katika mkutano  na waandishi wa habari Dar es Salaam leo ,Kuhusu mkutano mkuu wa  chama hicho uliofayika Dodoma hivi karibuni na mchakato wa kumpata mgombea Urais na  changamoto zilizojitokeza. Mwanasiasa Mkongwe nchini,Kingunge Ngombale Mwilu akisisitiza jambo mbele ya Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani) mapema leo,nyumbani kwake makumbusho,jijini Dar.PICHA NA MICHUZI JR.. Na...

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA AHITIMISHA ZIARA YA KUTAFUTA WANACCM WA KUMDHAMINI MKOANI MOROGORO LEO, ADHAMINIWA NA WANACCM 104,038

Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Fikiri Juma, pindi alipowasili kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Morogoro, leo Juni 29, 2015 kwa ajili ya kukabidhiwa orodha ya majina ya WanaCCM waliomdhani ili apate ridhaa ya chama chake kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro, Innocent Kalageris. Mh. Lowassa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘CCM Msasani jiandaeni kwa uchaguzi’

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Msasani, wametakiwa kujipanga vema ili kupata viongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa  utakaofanyika baadaye mwaka huu. Katibu Mkuu wa CCM Mkoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanamichezo jiandaeni kwa bidii Michezo Afrika

Tanzania itashiriki kwa mara ya 11 kwenye Michezo ya Mataifa ya Afrika (All African Games) nchini Kongo Brazzaville. Kwa mara ya kwanza taifa lilishiriki kwenye michezo hiyo 1965 ikiwa ni miaka mitatu baada ya kupata Uhuru 1961 wakati huo ikiitwa Tanganyika

 

10 years ago

GPL

LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI KILIMANJARO, ADHAMINIWA NA WANACCM 33,780

Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro jana Juni 18, 2015, baada ya kudhadhaminiwa kwa kishindo na WanaCCM hao, ili aweze kupata ridhaa ya Chama chake katika kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wanaCCM 33,780. Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za...

 

10 years ago

Vijimambo

KILIMANJARO YAVUNJA REKODI YA UDHAMINI KWA MH. LOWASSA, WANACCM 33,780 WAMDHAMINI

Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za wanachama 33,780 wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, waliomdhani ili aweze kupata ridhaa ya Chama chake katika kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Anaekabidhi fomu hizo ni Katibu wa CCM Wilaya ya Moshi Mjini, Loth Ole Nesele.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI


Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro leo Juni 18, 2015, wakati...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mwanza jiandaeni

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa jana alitua jijini Mwanza na kuwataka wakazi wa jiji hilo wajiandae kupokea ushindi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lema: Vijana jiandaeni kisaikolojia

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema, (CHADEMA), amesema Serikali ya Chama Cha Mapinduzi, (CCM), imeshindwa kutatua tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, hivyo akawataka vijana wanaohitimu elimu wajiandae...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani