JIANDAENI KIUCHUMI KULETA MABADILIKO PAMOJA NA KULINDA AFYA ZENU JUU YA COVID -19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Io_aUYgdD_I/XpXnEixyKvI/AAAAAAAAQrk/QdiSvYoS08ULGL1jIMi8bYffotLdePa6gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200412_104439_522.jpg)
Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani Picha na Vero Ignatus.
Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani wakiwa wamekaa bila kusongamana.Picha na Vero Ignatus.
Na.Vero Ignatus ,Mlandizi Pwani
Katika kuadhimisha sikukuu ya pasaka inayoonyesha upekee wa Imani ya Kikristo duniani Jamii imetakiwa kujikita...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GxX3dJrXkhk/XkueFOJCOXI/AAAAAAALd2Q/PNdo-Zug3YgEYizcgHbJwUQyF0BEShefgCLcBGAsYHQ/s72-c/5-3-1.jpg)
SERIKALI YATOA ELIMU KWA WACHIMBAJI WA DHAHABU JUU YA MADHARA YA MATUMIZI YA ZEBAKI ILI KULINDA AFYA ZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-GxX3dJrXkhk/XkueFOJCOXI/AAAAAAALd2Q/PNdo-Zug3YgEYizcgHbJwUQyF0BEShefgCLcBGAsYHQ/s640/5-3-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-3-1.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MKUTANO WA SIKU MBILI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI, UHAKIKA WA CHAKULA NA HAKI ZA ARDHI ULIOANDALIWA NA OXFAM PAMOJA NA FORUM CC WAANZA LEO KATIKA UKUMBI WA KARIMJEE DAR.
Jenerali Ulimwenguambaye ndiye mwezeshaji akiendelea kutoa Mwongozo katika mkutano wa siku mbili juu ya mabadiliko ya Tabianchi, uhakika wa Chakula na haki za Ardhi mkutano ulioandaliwa na Oxfam pamoja na Forum CC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZB4ZxU03WM8/XsO-wz1AhdI/AAAAAAALqwU/sW0iFv72qXgedceftkcg2IS95wwIL_5uACLcBGAsYHQ/s72-c/Waziri-wa-Tamisemi-Seleman-Jafo.jpg)
MPANGO WA ‘BLUE PRINT’ UMEANZA KULETA NEEMA YA KIUCHUMI KWA WAFANYABIASHARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZB4ZxU03WM8/XsO-wz1AhdI/AAAAAAALqwU/sW0iFv72qXgedceftkcg2IS95wwIL_5uACLcBGAsYHQ/s320/Waziri-wa-Tamisemi-Seleman-Jafo.jpg)
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR -TAMISEMI) inatekeleza Mpango wa wa Uboreshaji wa Mazingira ya Biashara (BLUE PRINT) unaolenga kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji kwa Njia ya Majadiliano ili kuwainua Wananchi Kiuchumi.
Mpango huo unatekelezwa ili ili kukabiliana na changamoto za kibiashara na uwekezaji hususani zinazokwamisha kukua kwa biashara na maendeleo ya kiuchumi katika ngazi ya chini na wananchi wanaojishughulisha...
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Ziara ya Kikwete kuleta mabadiliko!
ZIARA ndefu ya Rais Jakaya Kikwete nchini Marekani huenda ikaibuka na mabadiliko katika Baraza la Mawaziri au Taasisi nyeti za serikali.
Rais Kikwete aliondoka wiki iliyopita kwa ziara ya wiki mbili Marekani, katika wakati ambao serikali yake imegubikwa na masuala mazito yanayohitaji maamuzi yake.
Masuala hayo ni mchakato wa Katiba na uchunguzi uliofanywa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu...
10 years ago
Mwananchi26 Dec
‘Pimeni afya mjue hali zenu mapema’
9 years ago
Michuzi23 Oct
ITUMIENI BRN KULETA MABADILIKO:KIKWETE
Rais Kikwete aliyasema hayo katika sherehe maalum iliyoandaliwa na watumishi wa umma kumuaga na kufanyika Dar es Salaam Alhamisi usiku. Watumishi wa umma walitumia fursa hiyo kumpa Rais tuzo na zawadi...
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Viongozi wa dini wanayo nafasi ya kuleta mabadiliko
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Baraza dogo lingetosha kuleta mabadiliko chanya
HIVI karibuni Rais Jakaya Kikwete alitangaza mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Katika mabadiliko hayo rais aliziba nafasi za mawaziri watano ambapo wanne walitokomezwa na Operesheni Tokomeza Ujangili. Mawaziri hao...