‘Pimeni afya mjue hali zenu mapema’
Imeelezwa kuwa vijana wengi hupoteza maisha wakiwa na umri mdogo kutokana na sababu mbalimbali, ikiwamo kutokuwa na utaratibu wa kupima afya mara kwa mara ili kubaini magonjwa kabla hayajakomaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Io_aUYgdD_I/XpXnEixyKvI/AAAAAAAAQrk/QdiSvYoS08ULGL1jIMi8bYffotLdePa6gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200412_104439_522.jpg)
JIANDAENI KIUCHUMI KULETA MABADILIKO PAMOJA NA KULINDA AFYA ZENU JUU YA COVID -19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Io_aUYgdD_I/XpXnEixyKvI/AAAAAAAAQrk/QdiSvYoS08ULGL1jIMi8bYffotLdePa6gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200412_104439_522.jpg)
Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani Picha na Vero Ignatus.
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwXFwly2DpQ/XpXmclAhQsI/AAAAAAAAQrU/Mca-YN8a5v40fD0isFKXlfzcIHA2R2kuwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200412_104432_490%2B%25282%2529.jpg)
Baadhi ya waumini wakiwa katika Ibada ya pasaka katika kanisa Kiinjili la Kilutheri Usharika wa Mlandizi Dayosisi ya Magharibi na Pwani wakiwa wamekaa bila kusongamana.Picha na Vero Ignatus.
Na.Vero Ignatus ,Mlandizi Pwani
Katika kuadhimisha sikukuu ya pasaka inayoonyesha upekee wa Imani ya Kikristo duniani Jamii imetakiwa kujikita...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dWfdQk8Mxcs/XnTBTQ6uMRI/AAAAAAALkjI/Oaa1PplNlMEjv4CecIfBY5zNu-aL2u29wCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA WATAALAM WA AFYA KUJADILI HALI YA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dWfdQk8Mxcs/XnTBTQ6uMRI/AAAAAAALkjI/Oaa1PplNlMEjv4CecIfBY5zNu-aL2u29wCLcBGAsYHQ/s640/UMMY%2BCORONA.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ucTlRLkgEQE/XnTAyTsqGTI/AAAAAAALkjA/2WqDcMAcxasSVPHtaePtbbHiSR6Ucf2AACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B16.09.47.jpeg)
9 years ago
Michuzi18 Dec
MAPEMA ASUBUHI YA LEO DKT. KINGWANGALLA ATUMBUA MAJIPU YA WATUMISHI WACHELEWAJI WA WIZARA YA AFYA
![IMG_9172](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9172.jpg)
![IMG_9181](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9181.jpg)
![IMG_9198](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9198.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Mapema asubuhi ya leo Dkt. Kingwangalla atumbua majipu ya watumishi wachelewaji wa Wizara ya Afya
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akiwaamrisha askari wa getini wizarani hapo kuweka kufuli na kutoruhusu mtumishi yoyote wa ofisi hiyo kuingia ndani ya ofisi za wizara ilipotimu saa 1:32 asubuhi mapema leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akisimamia zoezi la ufungwaji wa geti hilo, Kulia ni askari wa SUMA JKT akiweka kufuli...
11 years ago
Mwananchi24 Jun
FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Dm-ud5ryxYw/VPc0PR5rB9I/AAAAAAAHHuY/NnzqEOKAnj8/s72-c/ndugai%2B(1).jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wizara Afya yatoa taarifa ya hali ya Kipindupindu nchini
Waziri Ummy Mwalimu alizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na hali ya kipindupindu nchini ambapo hadi sasa ni mikoa 21 ya Tanzania Bara imeathirika. Jumla ya watu 12,222 wameugua kipindupindu na kati yao watu 196 wameshafariki.
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimfuatilia waziri huyo(hayupo pichani) alipokuwa akitoa taarifa hiyo.Hata hivyo Waziri Ummy ameagiza kila wiki (jumatatu) wizara yake kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu hali ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-03BMbnlI4mw/VPdm7VFD8EI/AAAAAAAAcZY/dr-X45BV2Hc/s72-c/Untitled.png)
11 years ago
Dewji Blog13 Jun