WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA WATAALAM WA AFYA KUJADILI HALI YA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dWfdQk8Mxcs/XnTBTQ6uMRI/AAAAAAALkjI/Oaa1PplNlMEjv4CecIfBY5zNu-aL2u29wCLcBGAsYHQ/s72-c/UMMY%2BCORONA.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PbYp00ppVN0/XoScBSoq_sI/AAAAAAALlyo/T6kqRfhOTTEKZUc_07f_vKoNMkv21o0MgCLcBGAsYHQ/s72-c/Umi_Mwalimu.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
MAWAZIRI WA AFYA SADC WAKUTANA DAR KUJADILI UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-G-MPdcKxIzE/Xmalup2uaKI/AAAAAAALiU8/kiNgvld8M2ERxLyww1x9XTe6uoQBHOqzwCLcBGAsYHQ/s1600/index.png)
Na Said Mwishehe,Michuzi Blog ya jamii
MAWAZIRI wa sekta ya afya kutoka nchi 16 za Jumuiya ya Nchi za Maendeleo ya Kusini mwa Afrika( SADC) wamekutana jijini Dar es Salaam huku ajenda kuu kwa siku ya leo Machi 9 mwaka 2020 ikiwa ni kujadili mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona duniani.
Ugonjwa huo ambao uligundulika mwaka jana nchini China katika Jiji la Wuhan lililopo Jimbo la Hubei na kupewa jina la COVID-19, hadi kufikia jana umeshaua zaidi ya watu 3,800 duniani huku 100,008 wakiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r96SQNRyHyc/XlpfpskMB2I/AAAAAAALgFM/HPvEWQv3fo0I4P8iiwqFykHoVW6x7p2WwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-72.jpg)
WAZIRI WA AFYA ATOA TAARIFA KUHUSU MWENENDO WA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAPAFU (COVID-19) NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-r96SQNRyHyc/XlpfpskMB2I/AAAAAAALgFM/HPvEWQv3fo0I4P8iiwqFykHoVW6x7p2WwCLcBGAsYHQ/s640/1-72.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-60.jpg)
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Wataalam wa afya kujadili Ebola
Wataalam wa afya wanakutana mjini London, Uingereza kujadili ugonjwa wa Ebola ulioua zaidi ya watu elfu nane Afrika magharibi
9 years ago
MichuziTAMKO LA WAZIRI WA AFYA DKT. SEIF RASHID KUHUSU HALI YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU NCHINI
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
5 years ago
Michuzi5 years ago
MichuziOXFAM TANZANIA YAWANOA WATAALAM WA AFYA,WAZEE WA KIMILA VITA YA CORONA.
Msimamizi wa miradi Shirika la Oxfam Tanzania kanda ya kaskazini Donath Fungu akiendesha mafunzo ya kuwajengea uelewa washiriki kutoka wilaya ya Hanang',Babati,na maafisa sekta ya afya mkoa wa Manyara dhidi ya athari za virusi vya corona na namna ya kujikinga
Washiriki wakiwa kwenye mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uelewa dhidi ya athari za virusi vya Corona na namna ya kujikinga ikihusishwa na maswala ya kijinsia na kazi za nyumbani yaliyoandaliwa na shirika la Oxfam Tanzania
Afisa...
5 years ago
MichuziWATAALAM WA AFYA KUTOKA NCHI ZA ASIA,AFRIKA WABADILISHANA UZOEFU KUKABILIANA NA CORONA
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
WATALAAM wa afya kutoka nchi za Asia Pacifc na Afrika wamekutana leo kwenye madahalo wa pili wa kujadili na kubadilisha uzoefu katika kupambana na virusi vya Corona.
Mdahalo huo umefanyika kupitia Kituo cha Mafunzo duniani (TaGLC) kilicho chini ya Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) kwa kushirikiana na GDLN, Korea.
Kwa mara ya kwanza mdahalo wa aina hiyo uliofanyika Machi 16, mwaka 2020 na kwa sehemu kubwa ulijikita kuhusu athari na jinsi ya kupambana na Virusi vya ...
WATALAAM wa afya kutoka nchi za Asia Pacifc na Afrika wamekutana leo kwenye madahalo wa pili wa kujadili na kubadilisha uzoefu katika kupambana na virusi vya Corona.
Mdahalo huo umefanyika kupitia Kituo cha Mafunzo duniani (TaGLC) kilicho chini ya Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) kwa kushirikiana na GDLN, Korea.
Kwa mara ya kwanza mdahalo wa aina hiyo uliofanyika Machi 16, mwaka 2020 na kwa sehemu kubwa ulijikita kuhusu athari na jinsi ya kupambana na Virusi vya ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania