Mapema asubuhi ya leo Dkt. Kingwangalla atumbua majipu ya watumishi wachelewaji wa Wizara ya Afya
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akiwaamrisha askari wa getini wizarani hapo kuweka kufuli na kutoruhusu mtumishi yoyote wa ofisi hiyo kuingia ndani ya ofisi za wizara ilipotimu saa 1:32 asubuhi mapema leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akisimamia zoezi la ufungwaji wa geti hilo, Kulia ni askari wa SUMA JKT akiweka kufuli...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi18 Dec
MAPEMA ASUBUHI YA LEO DKT. KINGWANGALLA ATUMBUA MAJIPU YA WATUMISHI WACHELEWAJI WA WIZARA YA AFYA
![IMG_9172](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9172.jpg)
![IMG_9181](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9181.jpg)
![IMG_9198](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9198.jpg)
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Dkt. Kingwangalla asiamama getini kudhibiti watumishi wachelewaji
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akisimamia zoezi la ufungwaji wa geti hilo, Kulia ni askari wa SUMA JKT akiweka kufuli katika lango kuu la kuingia katika ofisi za Wizara ya Afya.
Dkt Kingwangalla akiwauliza askari wa getini kuhusu daftari la mahudhurio ya watumishi wa wizara baada ya kufungwa geti hilo, na kupewa maelezo kuwa watumishi huonyesha vitambulisho pekee na husaini katika vitengo vyao.
Mmoja wa wafanyakazi wa Wizara ya Afya...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Magufuli atumbua Majipu 23
*Atengua uteuzi wa katibu Mkuu Uchukuzi, bosi Bandari
*Vigogo TPA wasimamishwa kazi, wawekwa chini ya ulinzi
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
MPANGO wa Rais Dk. John Magufuli wa kutumbua majipu, safari hii umegeuka na kung’oa vigogo 23 wa Mamkala ya Bandari (TPA) pamoja na kuvunja Bodi ya Wakurugenzi ya mamlaka hiyo.
Bodi hiyo ilikuwa na vigogo kadhaa akiwamo Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson na Mkurugenzi wa zamani wa Mamlaka ya Udhibiti ya Nishati na Maji (Ewura), Haruna Masebu.
Hatua ya...
9 years ago
Bongo518 Dec
Picha: Kigwangalla apitisha mnyoosho ofisi za wizara ya afya, wachelewaji waishia getini!
![IMG_9164](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9164-300x194.jpg)
‘Ziara za Kushtukiza’ na ‘Minyoosho’ ni majina ya kati ya serikali ya awamu ya tano ya Rais Dkt John Pombe Magufuli na mawaziri wake wameingia na kasi hiyo hiyo tangu waapishwe.
Leo ofisi za wizara ya afya jijini Dar es Salaam zilikuwa na ugeni wa ‘surprise’ kutoka kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla.
Ugeni huo haikuwa wa heri hata kidogo sababu wachelewaji wote walijikuta wakirudia getini baada ya Kigwangalla kuwaamrisha walinzi...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
PICHA,MWIGULU ALIPOWASILI HII LEO UKEREWE MAPEMA ASUBUHI
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10846243_321218281413740_4167622345051464032_n.jpg?oh=0061ffdcd7ae0eb17c5f77a540c1d7e8&oe=55011FB2)
leo mapema asubuhi.
![](https://scontent-a-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/1979624_321218478080387_7901307700578797612_n.jpg?oh=9f7dd7f098e745b44eaeac60c9e87c3b&oe=551288F3)
![](https://scontent-b-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/60651_321217848080450_7224373090556079795_n.jpg?oh=c556770d4e7813a1bff0e71c9b3bb6be&oe=550A85B6)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10857767_321218398080395_1206341947639131137_n.jpg?oh=8e472d341df926b45ccb45e6bffc4f24&oe=55006570&__gda__=1427127878_8048c2bcc32eb9c67d2718c5226bf9a1)
![](https://scontent-b-lhr.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/10857774_321218068080428_3488420418311084471_n.jpg?oh=d25d1fffd6f84ce84862b731e9918109&oe=5544F601)
9 years ago
StarTV19 Dec
Watumishi Wizara ya Afya wahimizwa kuwahi ofisini
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Hamis Kigwangala amesema ni marufuku kwa mtumishi wa wizara hiyo kuchelewa kazini ili kuendana na kasi ya maendeleo.
Uamuzi huo umekuja baada ya Naibu waziri huyo kuingia kazini saa 12 na robo asubuhi na kukuta Waziria, Katibu Mkuu na Mkurugenzi wa rasilimali watu kuwa miongoni mwa watumishi waliowahi wakati watumishi wengine wakiwa bado hawajafika ofisini.
Zama za uwajibikaji, ndio hali halisi iliyojitokeza katika lango kuu...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/hC7RHk48YQ0/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Nov
Marais 7 wawasili asubuhi ya leo kuwahi uapisho wa Dkt. Magufuli
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z6TWxWPqoHY/VoH-WjUW8PI/AAAAAAAIPF0/DBTsjgJSnKo/s72-c/3db1384b-0a1c-4f01-b51c-b6b6da09d9bb.jpg)
Dkt. Mpango awaasa Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango kufanya kazi kwa bidii ili kukuza uchumi wa nchi.