Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baraza dogo lingetosha kuleta mabadiliko chanya

HIVI karibuni Rais Jakaya Kikwete alitangaza mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Katika mabadiliko hayo rais aliziba nafasi za mawaziri watano ambapo wanne walitokomezwa na Operesheni Tokomeza Ujangili. Mawaziri hao...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ni wakati wa wasomi kushiriki mabadiliko chanya

KIONAMBALI alikuwa akisoma kitu kwenye mtandao. Mwandishi wa kitu kile alikuwa anasema kwamba wanafunzi wenye akili nyingi husoma na kuwa wahandisi. Wenye akili za wastani husoma na kuwa wahasibu na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ziara ya Kikwete kuleta mabadiliko!

Jakaya-Kikwete

ZIARA ndefu ya Rais Jakaya Kikwete nchini Marekani huenda ikaibuka na mabadiliko katika Baraza la Mawaziri au Taasisi nyeti za serikali.

Rais Kikwete aliondoka wiki iliyopita kwa ziara ya wiki mbili Marekani, katika wakati ambao serikali yake imegubikwa na masuala mazito yanayohitaji maamuzi yake.

Masuala hayo ni mchakato wa Katiba na uchunguzi uliofanywa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu...

 

9 years ago

Michuzi

ITUMIENI BRN KULETA MABADILIKO:KIKWETE

Na Mwandishi WetuRAIS Jakaya Kikwete ambaye siku chache zijazo atamaliza muhula wake wa pili na wa mwisho wa kuiongoza Tanzania, amewaaga watumishi wa umma nchini kwa kutoa rai kuwa ili kuendeleza mageuzi katika kuwatumikia wananchi ni vyema wakautumia vyema mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
Rais Kikwete aliyasema hayo katika sherehe maalum iliyoandaliwa na watumishi wa umma kumuaga na kufanyika Dar es Salaam Alhamisi usiku. Watumishi wa umma walitumia fursa hiyo kumpa Rais tuzo na zawadi...

 

9 years ago

Mwananchi

Baraza dogo la Rais John Magufuli

Ahadi ya Rais John Magufuli kuwa ataunda Baraza dogo la Mawaziri imejenga shauku ya Watanzania kufahamu kiwango cha ukubwa au udogo wa baraza hilo ikilinganishwa na mabaraza yaliyoundwa na watangulizi wake baada ya kuapishwa, tangu Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini wanayo nafasi ya kuleta mabadiliko

Wakati tunasoma mawasiliano ya umma Nairobi katika Chuo Kikuu cha Kanisa Katoliki cha Afrika Mashariki (Cuea) kuna siku tulijiuliza: “Hivi Afrika kuna viongozi au watawala?” Jawabu lilikuwa: “Afrika tuna viongozi wachache na watawala wengi.”

 

10 years ago

Dewji Blog

NFT Consult wapania kuleta mabadiliko Tanzania

DSC_0252

Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja iliyoendeshwa na kampuni ya NFT Consult kwa maofisa rasilimali watu na watoa mafunzo kutoka makampuni mbalimbali nchini wakifanya usajili kabla ya kuanza kwa warsha hiyo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na Mwandishi wetu

MOJA ya makampuni makubwa yanayoshughulika na ushauri wa jinsi ya kuongeza ufanisi katika maeneo ya kazi, NFT Consult wameendesha  kongamano kubwa la kutambua haja ya mahitaji ya wadau mbalimbali wa maendeleo hapa...

 

9 years ago

Mwananchi

Baraza dogo la Dk Magufuli laokoa Sh23 bilioni

Uamuzi wa Rais John Magufuli kupunguza idadi ya mawaziri kutoka 55 waliokuwepo katika Serikali ya Awamu ya Nne hadi 34 aliowateua jana, ikiwa ni punguzo la mawaziri 21, kutaifanya Serikali yake kuokoa Sh22.9bilioni.

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba Inayopendekezwa haiwezi kuleta mabadiliko kwa Watanzania

Rasimu iliyopitishwa na Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, ni kielelezo cha wazi cha ukweli huu kwamba ujinga ni mtaji mkubwa wa kisiasa unaotumiwa na chama tawala kwa wananchi wasiojitambua.

 

10 years ago

GPL

NFT CONSULT WAPANIA KULETA MABADILIKO TANZANIA‏

Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja iliyoendeshwa na kampuni ya NFT Consult kwa maofisa rasilimali watu na watoa mafunzo kutoka makampuni mbalimbali nchini wakifanya usajili kabla ya kuanza kwa warsha hiyo. Na Mwandishi wetu MOJA ya makampuni makubwa yanayoshughulika na ushauri wa jinsi ya kuongeza ufanisi katika maeneo ya kazi, NFT Consult wameendesha kongamano kubwa la kutambua haja ya mahitaji ya wadau mbalimbali wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani