Baraza dogo la Dk Magufuli laokoa Sh23 bilioni
Uamuzi wa Rais John Magufuli kupunguza idadi ya mawaziri kutoka 55 waliokuwepo katika Serikali ya Awamu ya Nne hadi 34 aliowateua jana, ikiwa ni punguzo la mawaziri 21, kutaifanya Serikali yake kuokoa Sh22.9bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Baraza dogo la Rais John Magufuli
9 years ago
Habarileo10 Dec
BREAKING NEWS: Rais Magufuli atangaza baraza dogo la mawaziri
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli hivi punde ametangaza baraza lake la mawaziri, amesema wizara nyingi wameunganisha na atakuwa na wizara 18, na watakuwa na mawaziri 19 tu, na baadhi ya wizara zitakuwa na manaibu waziri huku zingine hazitakuwa na manaibu waziri.
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Baraza dogo lingetosha kuleta mabadiliko chanya
HIVI karibuni Rais Jakaya Kikwete alitangaza mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Katika mabadiliko hayo rais aliziba nafasi za mawaziri watano ambapo wanne walitokomezwa na Operesheni Tokomeza Ujangili. Mawaziri hao...
5 years ago
Michuzi
Kailima Afungua Kikao Cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji jijini Dodoma


11 years ago
Michuzi.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI AZINDUA BARAZA DOGO LA WAFANYAKAZI JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MJINI BAGAMOYO LEO
.jpg)
11 years ago
GPL
DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE
11 years ago
Bongo531 Aug
Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’
5 years ago
Michuzi
BARAZA LA MADIWANI NYASA LAPITISHA BAJETI YA SH.BILIONI 24.5 MPANGO WA FEDHA 2020/21


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mh. Altho Komba akizungumza katika kikao cha Baraza la madiwani la Bajeti lililofanyika katika Ukumbi wa Kepten John Komba Mbamba-bay wilayani hapa,kushoto na Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Nyasa Bw Bernad Semwaiko……………………………………………………………………………………….Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma limepitisha Mpango na Bajeti ya TSh.bilioni 24.5 kwa ajili kutekeleza shughuli mbalimbali za Halmashauri zilizopangwa kufanyika...
10 years ago
Mwananchi29 Apr
Bajeti ya Sh23 trilioni yawakumbuka wafanyakazi