BARAZA LA MADIWANI NYASA LAPITISHA BAJETI YA SH.BILIONI 24.5 MPANGO WA FEDHA 2020/21
![](https://1.bp.blogspot.com/-EcQxKwz9HbY/XlOlve9WnDI/AAAAAAALe_E/9A8vNd2zoL8d04DrCK5iIxB3k87rCZ5ZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_7624AA-1024x682.jpg)
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mh. Altho Komba akizungumza katika kikao cha Baraza la madiwani la Bajeti lililofanyika katika Ukumbi wa Kepten John Komba Mbamba-bay wilayani hapa,kushoto na Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Nyasa Bw Bernad Semwaiko……………………………………………………………………………………….Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma limepitisha Mpango na Bajeti ya TSh.bilioni 24.5 kwa ajili kutekeleza shughuli mbalimbali za Halmashauri zilizopangwa kufanyika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5aHGNXTGxH8/Xr05xPTLOTI/AAAAAAALqMg/G8V4SnIMc30A9nQlzLmvLh3SBfNQldJLwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_133754_0-2048x1536.jpg)
BARAZA LA MADIWANI NYASA LAMPONGEZA NAIBU WAZIRI MANYANYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5aHGNXTGxH8/Xr05xPTLOTI/AAAAAAALqMg/G8V4SnIMc30A9nQlzLmvLh3SBfNQldJLwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_133754_0-2048x1536.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_20200512_150633_8-scaled.jpg)
*********************************
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa, limempongeza Mbunge wa jimbo la Nyasa ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wrbApF9NTMk/XmjwgbhTxuI/AAAAAAALioc/zHMO4iM5mmEybaplira6WIwCvZI2JrTuwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-2AA-768x512.jpg)
HIVI NDIVYO DKT. MPANGO ALIVYOWASILISHA MAPENDEKEZO KUHUSU MPANGO WA KIWANGO CHA UKOMO WA BAJETI YA SERIKALI 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-wrbApF9NTMk/XmjwgbhTxuI/AAAAAAALioc/zHMO4iM5mmEybaplira6WIwCvZI2JrTuwCLcBGAsYHQ/s640/PIC-2AA-768x512.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-R1KKQtX85yU/Xp_jPfeUBgI/AAAAAAAC3rE/_KoW4U8-1149G878-eVnJcR-HcobWXJ1QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BUNGE LAPITISHA MAKADIRIO YA WIZARA YA MADINI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-R1KKQtX85yU/Xp_jPfeUBgI/AAAAAAAC3rE/_KoW4U8-1149G878-eVnJcR-HcobWXJ1QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akiwasilisha Bungeni jijini Dodoma April 21 ,2020 hotuba ya Makadirio Ya Mapato na Matumizi Ya Fedha Kwa Mwaka 2020/2021 Waziri wa Madini Mhe.Doto Mashaka Biteko alisema Mchanganuo wa Bajeti hiyo ni kama ifuatavyo:-
(i)Bajeti ya Maendeleo ni shilingi 8,500,000,000....
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JE-CDsHh7xw/U3r3EzUrANI/AAAAAAAFjwA/J__UCCaQwDI/s72-c/hor_logo.gif)
RIPOTI YA KAMATI YA BARAZA LA WAWAKILISHI KUHUSU MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JE-CDsHh7xw/U3r3EzUrANI/AAAAAAAFjwA/J__UCCaQwDI/s1600/hor_logo.gif)
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imetakiwa kutoa elimu kwa wananchi ili kujua umuhimu wa utalii nchini na kuhakikisha kuwa sekta hiyo inatoa huduma iliyobora na kuimarisha uchumi wa Taifa.
Akiwasilisha Ripoti ya Kamati ya Wenyeviti wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuhusu Hali ya Uchumi na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2014/2015 Mwenyekiti wa Wenyeviti Hamza Hassan Juma amesema ni muhimu kwa Serikali kuimarisha ulinzi kwenye maeneo yote ya utalii na kuondosha vitendo vya uahalifu ili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OtS5aA80y9s/XqGVIs6Z4FI/AAAAAAALoA0/UWg2B0D7pbcZuykUij06GKFYaJwh_pYhQCLcBGAsYHQ/s72-c/01..AAA_-768x512.jpg)
BILIONI 9.5 YAONGEZEKA BAJETI YA WIZARA YA HABARI 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-OtS5aA80y9s/XqGVIs6Z4FI/AAAAAAALoA0/UWg2B0D7pbcZuykUij06GKFYaJwh_pYhQCLcBGAsYHQ/s640/01..AAA_-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/02AA-1024x682.jpg)
Mbunge wa Chemba Juma Nkamia akichagangia hoja wakati wa kujadili bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2020/2021.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/03AAA-1024x682.jpg)
Wabunge wakiendelea na mjadala wa bajeti ya bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2020/2021.
5 years ago
MichuziMUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO,DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2020/21
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/bf85576d-97a1-40b8-a91d-a5ec6a2e0797.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9a9a7b86-710c-425b-9f91-b10ac71598ca.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10