HIVI NDIVYO DKT. MPANGO ALIVYOWASILISHA MAPENDEKEZO KUHUSU MPANGO WA KIWANGO CHA UKOMO WA BAJETI YA SERIKALI 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-wrbApF9NTMk/XmjwgbhTxuI/AAAAAAALioc/zHMO4iM5mmEybaplira6WIwCvZI2JrTuwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-2AA-768x512.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/2021. tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo, Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na Naibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--_VaU8UqoKc/XmjU9wRb6_I/AAAAAAALimY/ZoTO0nDm2VMm74mYRxdaNM27oLj1S71IwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.01.26%2BPM.jpeg)
DKT. MPANGO AWASILISHA MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/--_VaU8UqoKc/XmjU9wRb6_I/AAAAAAALimY/ZoTO0nDm2VMm74mYRxdaNM27oLj1S71IwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.01.26%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jAkAr7wfXfY/XmjU9_9OY6I/AAAAAAALimc/zDht3suCdvgN10Tv_mSWcemXFBULH2urwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.02.42%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tY_XPnHg2T4/XmjU9sbiDoI/AAAAAAALimU/wDVg1R-IpZUhslm1foyg-j_9DYV5R-ZCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-11%2Bat%2B3.03.56%2BPM.jpeg)
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YHfxIj8fQLY/XuMd0MrUGGI/AAAAAAALthU/ttV3yvwWW7oDFKI5q-5eCP8GlGELcG-xgCLcBGAsYHQ/s72-c/3-14-768x512.jpg)
MATUKIO YA UWASILISHAJI WA MAPENDEKEZO BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-YHfxIj8fQLY/XuMd0MrUGGI/AAAAAAALthU/ttV3yvwWW7oDFKI5q-5eCP8GlGELcG-xgCLcBGAsYHQ/s640/3-14-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-11-1024x683.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F_1_Gf8kT9Y/VT-lkEFzA7I/AAAAAAAHT4g/Wg5IVW6T08c/s72-c/New%2BPicture.png)
UWASILISHWAJI WA MPANGO NA UKOMO WA BAJETI KWA MWAKA 2015/16
![](http://1.bp.blogspot.com/-F_1_Gf8kT9Y/VT-lkEFzA7I/AAAAAAAHT4g/Wg5IVW6T08c/s1600/New%2BPicture.png)
Kesho Jumatano tarehe 29 Aprili, 2015 Wabunge wote kwa ujumla wao watakutana katika Ukumbi wa Julius Kambarage Nyerere, Dar es Salaam kupokea Mapendekezo ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/2016 kwa mujibu ya matakwa ya Kanuni ya 97 ya kanuni za Kudumu za Bunge Toleo la 2013.
Shughuli hiyo itaanza rasmi saa tatu na nusu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JE-CDsHh7xw/U3r3EzUrANI/AAAAAAAFjwA/J__UCCaQwDI/s72-c/hor_logo.gif)
RIPOTI YA KAMATI YA BARAZA LA WAWAKILISHI KUHUSU MPANGO WA MAENDELEO NA BAJETI YA SERIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JE-CDsHh7xw/U3r3EzUrANI/AAAAAAAFjwA/J__UCCaQwDI/s1600/hor_logo.gif)
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imetakiwa kutoa elimu kwa wananchi ili kujua umuhimu wa utalii nchini na kuhakikisha kuwa sekta hiyo inatoa huduma iliyobora na kuimarisha uchumi wa Taifa.
Akiwasilisha Ripoti ya Kamati ya Wenyeviti wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuhusu Hali ya Uchumi na Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2014/2015 Mwenyekiti wa Wenyeviti Hamza Hassan Juma amesema ni muhimu kwa Serikali kuimarisha ulinzi kwenye maeneo yote ya utalii na kuondosha vitendo vya uahalifu ili...
5 years ago
MichuziMUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO,DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2020/21
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/bf85576d-97a1-40b8-a91d-a5ec6a2e0797.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9a9a7b86-710c-425b-9f91-b10ac71598ca.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OpF2HT_U1wE/XnPYa54l5kI/AAAAAAALkfI/VVYh6Hsqpw4WpUsVeOJTCiWaNmLN02KiwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-8.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA KUPITIA TAARIFA YA MPANGO WA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA 2019/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-OpF2HT_U1wE/XnPYa54l5kI/AAAAAAALkfI/VVYh6Hsqpw4WpUsVeOJTCiWaNmLN02KiwCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-8.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Picha-2-9.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, GeorgeSimbachawene (Kushoto) akisisitiza jambo katika Kikao cha kupitia Taarifa ya Mpango na Utekelezaji wa Bajeti...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/qMRc91R7lSg/default.jpg)
BAJETI KUU YA SERIKALI 2020-2021 ILIVYOSOMWA BUNGENI DODOMA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/rf-1.jpg)