WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA KUPITIA TAARIFA YA MPANGO WA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA 2019/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-OpF2HT_U1wE/XnPYa54l5kI/AAAAAAALkfI/VVYh6Hsqpw4WpUsVeOJTCiWaNmLN02KiwCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-8.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, GeorgeSimbachawene (Watano kushoto) pamoja na baadhi ya Watendaji wa Wizara yake wakiwa katika Kikao Cha Kupitia Mpango na Utekelezaji wa Bajeti ya Wizara hii kwa kipindi cha kuanzia Julai, 2019 hadi Februari, 2020. Kikao hicho kilifanyika katika Ofisi za Wizara hii Mtumba, JijiniDodoma leo.
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, GeorgeSimbachawene (Kushoto) akisisitiza jambo katika Kikao cha kupitia Taarifa ya Mpango na Utekelezaji wa Bajeti...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_qvHy_dLSWw/XkamW_c6DvI/AAAAAAALdYM/gWMEaT_ze44WZi-F_3PxVE01gvuc2uRlgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-12-1024x732.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA KUPITIA UTEKELEZAJI WA BAJETI NA MIRADI YA MAENDELEO YA MAKAO MAKUU YA WIZARA NA NIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_qvHy_dLSWw/XkamW_c6DvI/AAAAAAALdYM/gWMEaT_ze44WZi-F_3PxVE01gvuc2uRlgCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-12-1024x732.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AWAONGOZA WATENDAJI WA WIZARA KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE KUWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI, BUNGENI JIJINI DODOMA, LEO
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KIKAO CHA BAJETI YA SHIRIKA LA MAGEREZA KWA MWAKA 2015/2016 LEO MKOANI MOROGORO
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WASHIRIKI KIKAO KAZI CHA UTAYARISHAJI WA MPANGO WA MANUNUZI WA WIZARA WA MWAKA 2015/2016 MJINI MOROGORO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAPITIA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/21 KILICHOFANYIKA JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-wDvsc-57EWo/Xnt0y8s_BjI/AAAAAAALlCA/hcqW-2O4u5gjJiXyPPUaB3i5B0apD3lcgCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l3u3zBbFCEQ/XnUrxUzrtRI/AAAAAAALkks/l25k3LNMqM0JE40ozZ_eCVswFFoHCZG4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1X2A8732.jpg)
WIZARA YAKUTANA NA KAMATI YA BUNGE YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2019/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-l3u3zBbFCEQ/XnUrxUzrtRI/AAAAAAALkks/l25k3LNMqM0JE40ozZ_eCVswFFoHCZG4wCLcBGAsYHQ/s640/1X2A8732.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Salim Mwinyi Rehani (mwenye suti nyeusi) wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi hayupo pichani aliyekuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ya Wizara ya mwaka...
5 years ago
MichuziMUHTASARI WA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO,DKT. PHILIP I. MPANGO (MB), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2019 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2020/21
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/bf85576d-97a1-40b8-a91d-a5ec6a2e0797.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9a9a7b86-710c-425b-9f91-b10ac71598ca.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-s2wYMjUqdrs/U3OWQLixKmI/AAAAAAAFhtk/sPE94eoyErs/s72-c/unnamed+(28).jpg)
WATENDAJI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI YA KUWASILISHA BAJETI BUNGENI DODOMA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-s2wYMjUqdrs/U3OWQLixKmI/AAAAAAAFhtk/sPE94eoyErs/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oi_gjZjnfZQ/U3OWQDEJ8fI/AAAAAAAFhto/GZw-MzLz134/s1600/unnamed+(29).jpg)