BUNGE LAPITISHA MAKADIRIO YA WIZARA YA MADINI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-R1KKQtX85yU/Xp_jPfeUBgI/AAAAAAAC3rE/_KoW4U8-1149G878-eVnJcR-HcobWXJ1QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na.Faustine Gimu Galafoni,DodomaKatika kutekeleza majukumu ya Wizara ya Madini kwa Mwaka 2020/2021, Bunge limeridhia na kupitisha makadirio ya Jumla ya shilingi 62,781,586,000 kwa ajili ya Matumizi ya Wizara na Taasisi zake.
Akiwasilisha Bungeni jijini Dodoma April 21 ,2020 hotuba ya Makadirio Ya Mapato na Matumizi Ya Fedha Kwa Mwaka 2020/2021 Waziri wa Madini Mhe.Doto Mashaka Biteko alisema Mchanganuo wa Bajeti hiyo ni kama ifuatavyo:-
(i)Bajeti ya Maendeleo ni shilingi 8,500,000,000....
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6C8y_VW3rvM/XqFTHq7cFxI/AAAAAAAC3wk/Ts67WVbLy1EDnVGBcyongZX2RbWr28-LACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BUNGE LIMERIDHIA NA KUPITISHA TSH. BILIONI 40 KWA WIZARA YA HABARI, SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-6C8y_VW3rvM/XqFTHq7cFxI/AAAAAAAC3wk/Ts67WVbLy1EDnVGBcyongZX2RbWr28-LACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akiwasilisha hotuba ya Madirio na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2020/2021 Bungeni jijini Dodoma leo April 22,2020 Waziri Wa Habari,Sanaa ,Utamaduni na Michezo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0KTRxddjflM/XrIH8UDZZQI/AAAAAAALpR4/tJDqCKgii4s5uWLLnhr3SA_weSNzEGbnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA
HOTUBA FUPI (TALKING NOTES) YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
Dodoma Mei 05, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-0KTRxddjflM/XrIH8UDZZQI/AAAAAAALpR4/tJDqCKgii4s5uWLLnhr3SA_weSNzEGbnQCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Mheshimiwa Spika; kutokana na taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0KTRxddjflM/XrIH8UDZZQI/AAAAAAALpR4/tJDqCKgii4s5uWLLnhr3SA_weSNzEGbnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA
HOTUBA FUPI (TALKING NOTES) YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
Dodoma Mei 05, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-0KTRxddjflM/XrIH8UDZZQI/AAAAAAALpR4/tJDqCKgii4s5uWLLnhr3SA_weSNzEGbnQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mheshimiwa Spika; kutokana na taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rdsu6E_n52Y/U4lmt0hJ-PI/AAAAAAAFmq4/czTj6J_B1eA/s72-c/unnamed+(77).jpg)
Bunge lapitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-rdsu6E_n52Y/U4lmt0hJ-PI/AAAAAAAFmq4/czTj6J_B1eA/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a5Rx_9QpQm0/U4lmt5L9hWI/AAAAAAAFmqQ/CjazFvee8-8/s1600/unnamed+(78).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-soLM4b_dCzc/XvB0Rwc8W5I/AAAAAAAAlNg/-j0Y6oREdEklO4rrGBVGktH1gERKg6_bACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
MWAKA WA FEDHA WA 2020/ 2021 WIZARA YA MAJI KUFANYA USANIFU WA MRADI MKUBWA WA MAJI KUTOKA ZIWA VICTORIA KWENDA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-soLM4b_dCzc/XvB0Rwc8W5I/AAAAAAAAlNg/-j0Y6oREdEklO4rrGBVGktH1gERKg6_bACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uyQgqhVbuRE/XvB0SBd_cBI/AAAAAAAAlNo/eCQL7XUi-Gcytw-i44JFf675RnsJAekKwCLcBGAsYHQ/s640/2.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mqrGAsN7MKU/XvB0SAxv68I/AAAAAAAAlNk/vVFsMAzpvowAmdPfnDJioSP3Rors3LOmgCLcBGAsYHQ/s640/3.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-9H745EJRBJQ/XvB0W5G6CRI/AAAAAAAAlNs/VDCsFfBo9QUq4zWavfUXK7UEkhcapxlpgCLcBGAsYHQ/s640/4.png)
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Hotuba iliyowasilisha bungeni ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2015/16
Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Mkuya Salum akiwasilisha makadirio ya matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka 2015/16 leo Bungeni mjini Dodoma.
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA 2015-16 (30MAY2015).pdf
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d-eKa-Fv0Rs/XqRIl1UwIRI/AAAAAAALoL4/VzFlj38t7pwfp-D7x-8dDNktCwtPXL4FwCLcBGAsYHQ/s72-c/ndalichako.png)
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/21
![](https://1.bp.blogspot.com/-d-eKa-Fv0Rs/XqRIl1UwIRI/AAAAAAALoL4/VzFlj38t7pwfp-D7x-8dDNktCwtPXL4FwCLcBGAsYHQ/s640/ndalichako.png)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAPITIA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/21 KILICHOFANYIKA JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-wDvsc-57EWo/Xnt0y8s_BjI/AAAAAAALlCA/hcqW-2O4u5gjJiXyPPUaB3i5B0apD3lcgCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio...
10 years ago
Vijimambo26 May
HOTUBA YA MHE. CECILIA PARESSO (MB), MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI WIZARA YA KAZI NA AJIRA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/16
![](http://api.ning.com/files/d5hxC5etmnkXiu2QJMe6mrqRxsR9SDDHvhKOmGKD-DM4GG5rqlIIOux51*dqht8manUPSXvRxp6SsQwNEbggEYlCHyegHKXI/CELINA.jpg?width=650)
Mhe. Cecilia Daniel Paresso (MB).
(Inatolewa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge kanuni ya 99(9) toleo la mwaka 2013).
1.0 UtanguliziMheshimiwa Spika,Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia Taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa ninapokuwa katika shughuli zangu za kisiasa.
Mheshimiwa Spika, Napenda kutumia fursa hii, kuwashukuru watanzania wote kwa kupokea na kulea harakati za mabadiliko...