Hotuba iliyowasilisha bungeni ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2015/16
Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Mkuya Salum akiwasilisha makadirio ya matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka 2015/16 leo Bungeni mjini Dodoma.
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA 2015-16 (30MAY2015).pdf
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_r7eQYpXhjo/U3JOLwB0bFI/AAAAAAAFhbU/R20IeCt1v6w/s72-c/download+(4).jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mh. Saada Mkuya awasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya fedha mwaka 2014/2015
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (Mb) akiwasilisha Bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2014/15 leo mjini Dodoma. Waliokaa viti vya nyuma ni Manaibu Waziri Mwigulu Nchemba (kushoto) na Adam Malima (kulia).(Picha na Wizara ya Fedha).
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum (Mb) akiwasilisha Bungeni hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2014/15 leo mjini Dodoma.
Hotuba Ya Waziri Wa Fedha 2014 Juni Final by moblog
10 years ago
Vijimambo26 May
HOTUBA YA MHE. CECILIA PARESSO (MB), MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI WIZARA YA KAZI NA AJIRA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/16
![](http://api.ning.com/files/d5hxC5etmnkXiu2QJMe6mrqRxsR9SDDHvhKOmGKD-DM4GG5rqlIIOux51*dqht8manUPSXvRxp6SsQwNEbggEYlCHyegHKXI/CELINA.jpg?width=650)
Mhe. Cecilia Daniel Paresso (MB).
(Inatolewa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge kanuni ya 99(9) toleo la mwaka 2013).
1.0 UtanguliziMheshimiwa Spika,Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia Taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa ninapokuwa katika shughuli zangu za kisiasa.
Mheshimiwa Spika, Napenda kutumia fursa hii, kuwashukuru watanzania wote kwa kupokea na kulea harakati za mabadiliko...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnkXiu2QJMe6mrqRxsR9SDDHvhKOmGKD-DM4GG5rqlIIOux51*dqht8manUPSXvRxp6SsQwNEbggEYlCHyegHKXI/CELINA.jpg?width=650)
HOTUBA YA MHESHIMIWA CECILIA DANIEL PARESSO (MB), MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI WIZARA YA KAZI NA AJIRA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0KTRxddjflM/XrIH8UDZZQI/AAAAAAALpR4/tJDqCKgii4s5uWLLnhr3SA_weSNzEGbnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA
HOTUBA FUPI (TALKING NOTES) YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
Dodoma Mei 05, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-0KTRxddjflM/XrIH8UDZZQI/AAAAAAALpR4/tJDqCKgii4s5uWLLnhr3SA_weSNzEGbnQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mheshimiwa Spika; kutokana na taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0KTRxddjflM/XrIH8UDZZQI/AAAAAAALpR4/tJDqCKgii4s5uWLLnhr3SA_weSNzEGbnQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA
HOTUBA FUPI (TALKING NOTES) YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE. INNOCENT L. BASHUNGWA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/2021
Dodoma Mei 05, 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-0KTRxddjflM/XrIH8UDZZQI/AAAAAAALpR4/tJDqCKgii4s5uWLLnhr3SA_weSNzEGbnQCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Mheshimiwa Spika; kutokana na taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d-eKa-Fv0Rs/XqRIl1UwIRI/AAAAAAALoL4/VzFlj38t7pwfp-D7x-8dDNktCwtPXL4FwCLcBGAsYHQ/s72-c/ndalichako.png)
HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2020/21
![](https://1.bp.blogspot.com/-d-eKa-Fv0Rs/XqRIl1UwIRI/AAAAAAALoL4/VzFlj38t7pwfp-D7x-8dDNktCwtPXL4FwCLcBGAsYHQ/s640/ndalichako.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pjKGvXXFOHs/U5n7ePx9FZI/AAAAAAAFqL4/vszfKHRIZJ8/s72-c/DSC_0805.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15 KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-pjKGvXXFOHs/U5n7ePx9FZI/AAAAAAAFqL4/vszfKHRIZJ8/s1600/DSC_0805.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i2MuXRPXKmc/U4giF4L3R9I/AAAAAAAFmb4/a0zyivHmc_k/s72-c/IMG_1979.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MHE. PROF. SOSPETER MWIJARUBI MUHONGO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2014/15
![](http://2.bp.blogspot.com/-i2MuXRPXKmc/U4giF4L3R9I/AAAAAAAFmb4/a0zyivHmc_k/s1600/IMG_1979.jpg)