Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’

Lady Jaydee ameamua kujibu habari iliyoandikwa kwenye gazeti la udaku la Risasi kuhusu kuwa na uhusiano na aliyewahi kuwa mtuma salamu maarufu kwenye redio, Meddy Ahmed aka ‘Mtoto wa Vitoto’. Kwenye habari hiyo, Risasi wanadai kuwa Jaydee ambaye anadaiwa kuachana na mume wake Gadner G Habash ameonekana mara kadhaa na Mtoto wa Vitoto na kwamba […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Lady Jaydee: Hata ndoa yangu ikivunjika haimaanishi mnitafutie story za kunichafua, ajibu kwa urefu habari iliyoandikwa na gazeti la udaku

Lady Jay Dee, jana (August 30) kupitia Instagram alijibu kwa ufupi habari iliyoandikwa na gazeti la Risasi yenye kichwa cha habari ‘Jide, dogo dogo gumzo mjini’, (Ingia hapa).Leo kupitia ukurasa wake wa Facebook amejibu kwa urefu zaidi juu ya habari hiyo. Hivi ndivyo alivyoandika Jide: Zamani ilikuwa haipo sehemu ya kujitetea, gazeti likishaandika ndio limeandika. […]

 

11 years ago

GPL

DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE

Dogo Lila na Dogo Hilal wakifanya makamuzi ya nguvu ndani ya Dar Live.

 

11 years ago

Bongo5

Lady Jaydee ajibu tetesi za kuachana na Gadner kwa picha ya pete ya ndoa kidoleni

Wanasema picha huongea maneno 1,000. Baada ya kuendelea kwa uvumi kuwa ndoa ya Lady Jaydee na Gadner G Habash imevunjika, muimbaji huyo amepost picha akionesha pete ya ndoa kwenye kidole chake. Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa Lady Jaydee ameandika ujumba tofauti na picha lakini mashabiki wake wameelewa kuwa ni ujumbe anaoutoa kufuatia tetesi hizo. […]

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Dogo D — Siwezi Kuwa wako

Rapper mdogo kutoka Mwanza anaitwa Dogo D ametoa wimbo mpya unaitwa “Siwezi Kuwa wako”

 

10 years ago

Michuzi

DOGO JEMBE AHOJI NANI ANAFAA KUWA RAIS

TANGU  mgombea mwenye umri mdogo zaidi kutangaza nia ya kutaka kuwa rais wa Tanzania, Dogo Jembe amejikuta akipambana na upinzani mkali toka kwa wananchi wengi hasa watumiaji wa mitandao ya kijamii ambao wengi wamekuwa wakimtaka arudi shule huku wengine wakimshambulia kuwa anatumiwa na mmoja ya wanasiasa.
Mara baada ya kuzongwa na waandishi wa habari waliomuuliza anachukuliaje maoni ya wananchi kuhusu nia yake ya kuutaka urais amelazimika kuitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo...

 

9 years ago

Bongo5

Rose Ndauka ajibu tetesi za kuwa na uhusiano na Shetta

11208267_1018831591463131_2026634416_n

Baada ya kuenea tetesi kuwa mke wa Shetta ‘Neila Yusuf’ anadai talaka kwa mume wake kutokana na Rose Ndauka kuingilia ndoa yao, Ndauka amevunja ukimya.

11208267_1018831591463131_2026634416_n

Akiongea kwenye kipindi cha Mkasi, Ndauka alikanusha kuwahi kuwa na uhusiano na rapper huyo.

“Kuna siku nilikuwa kwa Diamond, Mama Kayla alikuwepo, kwahiyo akawa amenifuata kunisalimia, Dareen akawa ananiambia umemuona ‘mama Kayla?’ Nikamwambia yupo wapi? akaniambia ndio huyu hapa! Nikawa nacheka nikamwambia ‘mambo’, nikamwambia nasikia...

 

10 years ago

Dewji Blog

GGM wamteua Lady Jaydee kuwa balozi wa Kili Challenge

1 (1)

Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), Simon Shayo, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uteuzi wa balozi wa kampeni ya Kili Challenge, kulia kwake ni Afisa mawasiliano wa kampuni hiyo, Tenga Tenga na kushoto kwake ni Balozi mpya wa kampeni hiyo, Judith Wambura – Lady Jaydee na Mwenyekiti wa TACAIDS, Dk. Fatma Mrisho.

3

Balozi wa kampeni ya Kili Challenge, Judith Wambura – Lady Jaydee akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni hiyo inayolenga...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kuwa wa kwanza kusikiliza single mpya ya Lady Jaydee ft DABO — Forever humu

photo-1

Hii ndio single mpya ya Lady Jaydee  aliyomshirikisha Dabo inayoitwa “Forever”. Hii ni baada ya Kimya cha muda mrefu kidogo na siku ya Ijumaa ndio itakuwa official video launch day pale M.O.G bar & Restaurant. Wimbo umetayarishwa na producer mahiri Man Water wa Combination Sounds, na video ya wimbo huo imefanywa na muongozaji mkongwe Adam Juma wa Next Level.

Instagram: @jidejaydee @dabomtanzania

Twitter: @jidejaydee @dabomtanzania

 

10 years ago

Dewji Blog

Kuwa wa kwanza kusikiliza wimbo mpya wa Lady jaydee Ft Mazet & Uhuru “Give me love” hapa

IMG-20150410-WA0026

Artist:Lady jaydee Ft Mazet&Uhuru
Song: Give me love
Producer:Uhuru

Support Jaydee, Support Our Own

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani