Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’
Lady Jaydee ameamua kujibu habari iliyoandikwa kwenye gazeti la udaku la Risasi kuhusu kuwa na uhusiano na aliyewahi kuwa mtuma salamu maarufu kwenye redio, Meddy Ahmed aka ‘Mtoto wa Vitoto’. Kwenye habari hiyo, Risasi wanadai kuwa Jaydee ambaye anadaiwa kuachana na mume wake Gadner G Habash ameonekana mara kadhaa na Mtoto wa Vitoto na kwamba […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo531 Aug
Lady Jaydee: Hata ndoa yangu ikivunjika haimaanishi mnitafutie story za kunichafua, ajibu kwa urefu habari iliyoandikwa na gazeti la udaku
11 years ago
GPL
DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE
11 years ago
Bongo515 Aug
Lady Jaydee ajibu tetesi za kuachana na Gadner kwa picha ya pete ya ndoa kidoleni
11 years ago
Bongo517 Sep
New Music: Dogo D — Siwezi Kuwa wako
10 years ago
Michuzi
DOGO JEMBE AHOJI NANI ANAFAA KUWA RAIS
Mara baada ya kuzongwa na waandishi wa habari waliomuuliza anachukuliaje maoni ya wananchi kuhusu nia yake ya kuutaka urais amelazimika kuitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo...
9 years ago
Bongo524 Nov
Rose Ndauka ajibu tetesi za kuwa na uhusiano na Shetta

Baada ya kuenea tetesi kuwa mke wa Shetta ‘Neila Yusuf’ anadai talaka kwa mume wake kutokana na Rose Ndauka kuingilia ndoa yao, Ndauka amevunja ukimya.
Akiongea kwenye kipindi cha Mkasi, Ndauka alikanusha kuwahi kuwa na uhusiano na rapper huyo.
“Kuna siku nilikuwa kwa Diamond, Mama Kayla alikuwepo, kwahiyo akawa amenifuata kunisalimia, Dareen akawa ananiambia umemuona ‘mama Kayla?’ Nikamwambia yupo wapi? akaniambia ndio huyu hapa! Nikawa nacheka nikamwambia ‘mambo’, nikamwambia nasikia...
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
GGM wamteua Lady Jaydee kuwa balozi wa Kili Challenge
Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), Simon Shayo, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uteuzi wa balozi wa kampeni ya Kili Challenge, kulia kwake ni Afisa mawasiliano wa kampuni hiyo, Tenga Tenga na kushoto kwake ni Balozi mpya wa kampeni hiyo, Judith Wambura – Lady Jaydee na Mwenyekiti wa TACAIDS, Dk. Fatma Mrisho.
Balozi wa kampeni ya Kili Challenge, Judith Wambura – Lady Jaydee akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni hiyo inayolenga...
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Kuwa wa kwanza kusikiliza single mpya ya Lady Jaydee ft DABO — Forever humu
Hii ndio single mpya ya Lady Jaydee aliyomshirikisha Dabo inayoitwa “Forever”. Hii ni baada ya Kimya cha muda mrefu kidogo na siku ya Ijumaa ndio itakuwa official video launch day pale M.O.G bar & Restaurant. Wimbo umetayarishwa na producer mahiri Man Water wa Combination Sounds, na video ya wimbo huo imefanywa na muongozaji mkongwe Adam Juma wa Next Level.
Instagram: @jidejaydee @dabomtanzania
Twitter: @jidejaydee @dabomtanzania
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Kuwa wa kwanza kusikiliza wimbo mpya wa Lady jaydee Ft Mazet & Uhuru “Give me love” hapa
Artist:Lady jaydee Ft Mazet&Uhuru
Song: Give me love
Producer:Uhuru
Support Jaydee, Support Our Own