Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GGM wamteua Lady Jaydee kuwa balozi wa Kili Challenge

1 (1)

Makamu wa Rais wa Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM), Simon Shayo, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu uteuzi wa balozi wa kampeni ya Kili Challenge, kulia kwake ni Afisa mawasiliano wa kampuni hiyo, Tenga Tenga na kushoto kwake ni Balozi mpya wa kampeni hiyo, Judith Wambura – Lady Jaydee na Mwenyekiti wa TACAIDS, Dk. Fatma Mrisho.

3

Balozi wa kampeni ya Kili Challenge, Judith Wambura – Lady Jaydee akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni hiyo inayolenga...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

GGM promised Sh1.2bn for Kili HIV/Aids challenge

According to AngloGold Ashanti Sustainability Vice President Simon Shayo, organisers of the event had planned to raise Sh1.5 billion this year.

 

10 years ago

Dewji Blog

GGM Kili Challenge takes 38 Climbers to Uhuru Peak in the Fight Against HIV/AIDS

1

A team of 38 Heroes who reached Uhuru Peak arrived safely at the foot of Mweka Gate in Moshi, Tanzania for the 14th year of Kilimanjaro Challenge which has this year raised about TZS 1.2B funds to fight against HIV/AIDS in Tanzania. 3 Vice President Geita Gold Mine (GGM), Simon Shayo, addressing the media (not in picture) at the Reception of the 39 Heroes who climbed Mt. Kilimanjaro at Mweka Gate in Moshi, Tanzania for the 14th year of Kilimanjaro Challenge which has this year raised about...

 

10 years ago

GPL

GGM KILI CHALLENGE TAKES 38 CLIMBERS TO UHURU PEAK IN THE FIGHT AGAINST HIV/AIDS‏

A team of 38 Heroes who reached Uhuru Peak arrived safely at the foot of Mweka Gate in Moshi, Tanzania for the 14th year of Kilimanjaro Challenge which has this year raised about TZS 1.2B funds to fight against HIV/AIDS in Tanzania. Executive Chairperson from TACAIDS, Dr. Fatma Mrisho, addressing the media (not in picture) at the Reception of the 39 Heroes who climbed Mt. Kilimanjaro at Mweka Gate in Moshi, Tanzania for the 14th...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kuwa wa kwanza kusikiliza single mpya ya Lady Jaydee ft DABO — Forever humu

photo-1

Hii ndio single mpya ya Lady Jaydee  aliyomshirikisha Dabo inayoitwa “Forever”. Hii ni baada ya Kimya cha muda mrefu kidogo na siku ya Ijumaa ndio itakuwa official video launch day pale M.O.G bar & Restaurant. Wimbo umetayarishwa na producer mahiri Man Water wa Combination Sounds, na video ya wimbo huo imefanywa na muongozaji mkongwe Adam Juma wa Next Level.

Instagram: @jidejaydee @dabomtanzania

Twitter: @jidejaydee @dabomtanzania

 

10 years ago

Dewji Blog

Kuwa wa kwanza kusikiliza wimbo mpya wa Lady jaydee Ft Mazet & Uhuru “Give me love” hapa

IMG-20150410-WA0026

Artist:Lady jaydee Ft Mazet&Uhuru
Song: Give me love
Producer:Uhuru

Support Jaydee, Support Our Own

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’

Lady Jaydee ameamua kujibu habari iliyoandikwa kwenye gazeti la udaku la Risasi kuhusu kuwa na uhusiano na aliyewahi kuwa mtuma salamu maarufu kwenye redio, Meddy Ahmed aka ‘Mtoto wa Vitoto’. Kwenye habari hiyo, Risasi wanadai kuwa Jaydee ambaye anadaiwa kuachana na mume wake Gadner G Habash ameonekana mara kadhaa na Mtoto wa Vitoto na kwamba […]

 

10 years ago

Vijimambo

Lady Jaydee - Forever (New Single)

Hii ndio single mpya ya Lady Jaydee aliyomshirikisha Dabo inayoitwa "Forever". Hii ni baada ya Kimya cha muda mrefu kidogo na siku ya Ijumaa ndio itakuwa official video launch day pale M.O.G bar & Restaurant. Wimbo umetayarishwa na producer mahiri Man Water wa Combination Sounds, na video ya wimbo huo imefanywa na muongozaji mkongwe Adam Juma wa Next Level.
Instagram: @jidejaydee @dabomtanzania
Twitter: @jidejaydee @dabomtanzania

 

9 years ago

Michuzi

Lady JayDee Ndani ya London

Na Freddy Macha, London Mwanamuziki na mwimbaji mashuhuri wa Tanzania, Lady JayDee, anatazamiwa kutua jijini London kesho kutwa Alhamisi tayari kwa onesho kabambe Jumamosi. Akizungumza nami Jumatatu usiku, promota wa shoo hilo, Frank Leo, alisema anawaomba Watanzania na marafiki zao wajiunge kumshangilia Mtanzania mwenzetu tarehe 5 Desemba. Kiingilio cha paundi 20 ( wastani wa shilingi 45,000) kitatozwa katika holi maridadi la Oasis Banqueting Suite mtaa wa Barking, Mashariki ya London. Bango la shoo ya 5 Desemba 2015

 

10 years ago

Mtanzania

Mwasiti: Lady Jaydee ananivutia

MwasitiNA RHOBI CHACHA

MWASITI Almas kama anavyofahamika katika muziki wa Bongo Fleva, ameibuka na kudai kwamba anavutiwa zaidi na msanii mwenzake, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’.

Msanii huyo mwenye sauti nzuri katika nyimbo zake, alisema yeye ni msanii anayevutiwa na wasanii wanaojitambua na wanaofanya vema katika kazi zao za muziki, kama afanyavyo Jaydee ‘Binti Machozi’.
“Yaani mimi huwa sina choyo ya kusifia kama msanii mwenzangu anafanya vema namsifia, sijali nani atasema nini, napenda kazi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani