NFT CONSULT WAPANIA KULETA MABADILIKO TANZANIA
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0252.jpg)
Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja iliyoendeshwa na kampuni ya NFT Consult kwa maofisa rasilimali watu na watoa mafunzo kutoka makampuni mbalimbali nchini wakifanya usajili kabla ya kuanza kwa warsha hiyo. Na Mwandishi wetu MOJA ya makampuni makubwa yanayoshughulika na ushauri wa jinsi ya kuongeza ufanisi katika maeneo ya kazi, NFT Consult wameendesha kongamano kubwa la kutambua haja ya mahitaji ya wadau mbalimbali wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Feb
NFT Consult wapania kuleta mabadiliko Tanzania
Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja iliyoendeshwa na kampuni ya NFT Consult kwa maofisa rasilimali watu na watoa mafunzo kutoka makampuni mbalimbali nchini wakifanya usajili kabla ya kuanza kwa warsha hiyo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu
MOJA ya makampuni makubwa yanayoshughulika na ushauri wa jinsi ya kuongeza ufanisi katika maeneo ya kazi, NFT Consult wameendesha kongamano kubwa la kutambua haja ya mahitaji ya wadau mbalimbali wa maendeleo hapa...
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Ziara ya Kikwete kuleta mabadiliko!
ZIARA ndefu ya Rais Jakaya Kikwete nchini Marekani huenda ikaibuka na mabadiliko katika Baraza la Mawaziri au Taasisi nyeti za serikali.
Rais Kikwete aliondoka wiki iliyopita kwa ziara ya wiki mbili Marekani, katika wakati ambao serikali yake imegubikwa na masuala mazito yanayohitaji maamuzi yake.
Masuala hayo ni mchakato wa Katiba na uchunguzi uliofanywa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) pamoja na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu...
9 years ago
Michuzi23 Oct
ITUMIENI BRN KULETA MABADILIKO:KIKWETE
Rais Kikwete aliyasema hayo katika sherehe maalum iliyoandaliwa na watumishi wa umma kumuaga na kufanyika Dar es Salaam Alhamisi usiku. Watumishi wa umma walitumia fursa hiyo kumpa Rais tuzo na zawadi...
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Baraza dogo lingetosha kuleta mabadiliko chanya
HIVI karibuni Rais Jakaya Kikwete alitangaza mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Katika mabadiliko hayo rais aliziba nafasi za mawaziri watano ambapo wanne walitokomezwa na Operesheni Tokomeza Ujangili. Mawaziri hao...
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Viongozi wa dini wanayo nafasi ya kuleta mabadiliko
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Katiba Inayopendekezwa haiwezi kuleta mabadiliko kwa Watanzania
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1FTmgWImOfm5Igj*a-BX64U-*eARAcysvrngvraaCkmpXy6vSLq8ZuUSNRkG3SxvTEitmDDgbSSQNxr3K0YQY2/1.jpg?width=650)
MBUZI MMOJA TU ANAWEZA KULETA MABADILIKO,JUNI 7,2014
10 years ago
MichuziSTAMICO YAJIIMARISHA KATIKA KULETA MABADILIKO YA USIMAMIZI WA RASILIMALI YA MADINI
11 years ago
GPLWADAU WAKUTANA KUJADILI UTAYARI WA TANZANIA KUPOKEA NA KUTUMIA FEDHA ZA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI