Lowassa, Magufuli waikwepa Mwanza
Wakati kampeni zikiwa zimefikia katikati, vyama vya CCM na Chadema bado hazijajitosa mkoani Mwanza kufanya mikutano yake licha ya kupita mikoa inayouzunguka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s72-c/_MG_7312.jpg)
MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKGJ6JlyvA/Vapm2ehPFDI/AAAAAAAC8r4/9ZiNK2syo88/s640/_MG_7312.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ0d-8ABhd4/VapnUSkWzlI/AAAAAAAC8sA/OSmdrUOCa9A/s640/_MG_7339.jpg)
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Lowassa: Mwanza jiandaeni
10 years ago
Mtanzania06 Jun
Lowassa aiteka Mwanza
Elias Msuya na Fredrick Katulanda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata mapokezi makubwa jijini Mwanza alikokwenda kutafuta udhamini kwa ajili ya kuomba kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo jumla ya wanachama 2,927 wamejitokeza kumdhamini.
Lowassa aliyewasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza saa tano asubuhi, alipokelewa kwa maandamano ya pikipiki, magari na watu watembeao kwa miguu kuelekea ukumbi wa mikutano wa Mahatma Gandhi uliopo Nyamagana.
Mapokezi hayo...
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Lowassa aaga Mwanza, kutikisa Mbeya
Na Fredy Azzah, Mwanza
ZIKIWA zimebaki siku nane kuanzia sasa kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amemaliza mikutano yake ya kampeni katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa kuwasisitiza wanachama wake kuhakikisha wanalinda kura zao.
Baada ya kumaliza ziara zake katika kanda hiyo, Lowassa, anayeungwa mkono na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), leo anatarajia kuanza mikutano mkoani Mbeya.
Mkoa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Bk6e3DjksM0/Vhv4PK8AU9I/AAAAAAAAbAM/B8Xxv0lEOHE/s72-c/OTH_0900.jpg)
LOWASSA ATISHA MWANZA WENGI WAZIMIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bk6e3DjksM0/Vhv4PK8AU9I/AAAAAAAAbAM/B8Xxv0lEOHE/s640/OTH_0900.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S0dRVLGTH4U/Vhv5BQN0I-I/AAAAAAAAbAc/5UNfzp9OZV4/s640/OTH_9823.jpg)
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Polisi yawagomea Lowassa, Sumaye, Mbowe Mwanza
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s72-c/Lowassa_MZA2.jpg)
LOWASSA YUKO ZIARANI MWANZA KUOMBA WADHAMINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s640/Lowassa_MZA2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lk9t11NgM5U/VXGjVGWmawI/AAAAAAAAUhI/26SW3SWYIhE/s640/Lowassa_MZA3.jpg)
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Wanafunzi Mwanza wamtaka Lowassa achukue fomu
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
WANAFUNZI wa vyuo vya elimu ya juu mkoani Mwanza, wamemwomba Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, achukue fomu ya kuwania urais ndani ya CCM muda utakapofika.
Wamesema kutokana na uchapakazi wa kiongozi huyo wamelazimika kutoa tamko lao kwa umma la kumwomba mbunge huyo wa Monduli asikilize kilio chao cha kuwania urais baada ya kutangazwa utaratibu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Wanafunzi hao wa vyuo vya Mtakatifu Augustino (SAUT), Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)...