LOWASSA YUKO ZIARANI MWANZA KUOMBA WADHAMINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s72-c/Lowassa_MZA2.jpg)
MAELFU ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM, na wakazi wengine wa jiji la Mwanza, leo Ijumaa Juni 5, 2015, walifurika kwa wingi kwenye ofisi za CCM wilaya ya Nayamagana na ile ya Ilemela, wengine wakitaka kumuona na kupeana mikono na wengine kwa nia ya kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edwrad Lowassa, alipofika jijini Mwanza kutafuta wana CCM wa kumdhamini katika safari yake ya Matumaini. (Kuwania urais wa Tanzania kupitia CCM.
Madereva texi, waendesha bodaboda, na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s72-c/Lowassa_MZA2.jpg)
MAELFU WAFURIKA MWANZA KUMUONA LOWASSA, YUKO ZIARANI KUOMBA WADHAMINI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Skk7ZIhvvoE/VXGjO9_aSOI/AAAAAAAAUhA/SPw_bZE4ExM/s640/Lowassa_MZA2.jpg)
Madereva texi, waendesha bodaboda, na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s72-c/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
WAZIRI MAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM MARA BAADA YA KUKAMILISHA ZOEZI LA KUPATA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s640/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-laWDp0u2wjM/VYjlndsCbBI/AAAAAAAHioQ/TucGqV3_NSA/s640/unnamed%2B%252866%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-64M6uLD_OFo/VYjlnO4pnHI/AAAAAAAHioU/7RcMNnw12sc/s640/unnamed%2B%252867%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NODrx5G4V1w/VYjln_mOoNI/AAAAAAAHioo/ECfeYXZYxhg/s640/unnamed%2B%252868%2529%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Jun
Kinana ziarani Kagera, Mwanza
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana leo anatarajiwa kuanza ziara ya mwezi mmoja katika mikoa ya Kagera, Mwanza na Geita inayolenga kukagua utekelezaji wa ilani ya chama pamoja na kuhimiza uhai wa chama.
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Wasaka urais wabagua wadhamini Mwanza
KATIKA hali ambayo haikutarajiwa, makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaosaka urais wameonyesha
Christopher Gamaina
10 years ago
Habarileo20 Jun
Lowassa azoa wadhamini K’njaro
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amezidi kuvunja rekodi ya kudhaminiwa na wanachama wengi zaidi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Mkoa wa Kilimanjaro, baada ya kupata wadhamini 33,780.
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Mapokezi ya Mh January Makamba Jiji la Mwanza akisaka wadhamini
Mh. January Makamba na Mkewe wakitembea pamoja na Wana CCM katika mitaa ya jijini Mwanza mara walipowasili katika jiji hilo kutafuta wadhamini.(Picha zote na John Sambila).
Mbunge wa Bumbuli, Mh. January Makamba ambaye anazunguuka mikoani kwa sasa kusaka wadhamini, jana alikua katika Jiji la Mwanza huku mamia ya wanachama na wakazi wa Mwanza walifurika katika ukumbi wa Nyanza kumsikiliza Mh January.
Makamba ametoa ahadi kwa wakazi wa Mwanza kuwa hataka kama hatofanikiwa katika Mchakato huu...
10 years ago
MichuziJanuary Makamba atua Jiji la Mwanza kusaka Wadhamini
Mh January Makamba Akipokea Fomu ya Wazamini katika jiji la Mwanza kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya ya Ilemela Loth Olemeint.Mbunge wa Bumbuli January Makamba ambaye anazunguuka mikoani kwa sasa kusaka wadhamini, leo alikua katika Jiji la Mwanza huku mamia ya wanachama na wakazi wa Mwanza walifulika katika ukumbi wa Nyanza kumsikiliza Mh January.Makamba ametoa ahadi kwa wakazi wa Mwanza kuwa hataka kama hatofanikiwa katika Mchakato huu hatokua na kinyongo wala Chuki kwa atakae Teuliwa.Kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0yu_dQjfHA8/VXM_Ff3JN8I/AAAAAAAAUmE/Woo6b_bxjso/s72-c/Lowassa_Borafia.jpg)
MH. LOWASSA ATUA ZANZIBAR KUSAKA WADHAMINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0yu_dQjfHA8/VXM_Ff3JN8I/AAAAAAAAUmE/Woo6b_bxjso/s640/Lowassa_Borafia.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_8_S96F077c/VXM_QWaj9QI/AAAAAAAAUmM/Lwmx_ipXStE/s640/Lowassa_Borafia2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CM_eh6OgOrc/VYHNgeXzQKI/AAAAAAAAVBg/TABNkEINlMw/s72-c/Mtwara%2Bdua.jpg)
LOWASSA APATA WADHAMINI LINDI, MTWARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CM_eh6OgOrc/VYHNgeXzQKI/AAAAAAAAVBg/TABNkEINlMw/s640/Mtwara%2Bdua.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SGq4qiH5gGg/VYHNhpliqmI/AAAAAAAAVBo/4rLyPWMTFHs/s640/Lowassa_Mwana%2BCCM%2Bmtwara.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3_ZDdYUV514/VYHNlIfplRI/AAAAAAAAVBw/FqDNBWH9Frs/s640/Lowassa_sheikh.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z36lqbSkx4/VYHNzLW-eiI/AAAAAAAAVCM/zlt0gGVPJfU/s640/Lindi4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyRjc_MBV-o/VYHNssR41PI/AAAAAAAAVB4/2_T8Xo_PkLI/s640/CCM_Lindi.jpg)