LOWASSA APATA WADHAMINI LINDI, MTWARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CM_eh6OgOrc/VYHNgeXzQKI/AAAAAAAAVBg/TABNkEINlMw/s72-c/Mtwara%2Bdua.jpg)
Mmoja wa wana CCM waliomdhamini Mh. Lowassa, mkoani Mtwara, akimuombea dua
" Ni furaha tupu", mama huyu wa mkoani Mtwara, akiwa na furaha wakati akisalimiana na Mh. Lowassa
Mh. Lowassa, akisalimiana na mzee huyu wa mkoani Mtwara
Mh. Lowassa, (mwenye nywele nyeupe juu kulia), akitoa shukrani zake kwa wana CCM na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Lindi, waliofurika kwenye ofisi za ccm mkoani humo, alkipofika kuomba wana CCM wa kumdhamini. Mkoani Lindi alipata udhamini wa wana CCM 3, 279
Umati wa watu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Waziri Membe apata wadhamini zaidi ya 800 katika mikoa ya Lindi na Mtwara
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, waliofika kwenye Ofisi ya CCM mkoani humo Juni 08.2015, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 300.(Picha zote na John Badi).
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa...
10 years ago
GPLLOWASSA APATA WADHAMINI KWA KISHINDO DAR
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Lowassa apata wadhamini Zanzibar, atembelea kaburi la Karume
Waziri Mkuu wa zamani na mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, akiwasili ofisi za CCM, wilaya ya kati mkoa wa Kusini Unguja leo, kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwea kuwania urais kupitia CCM.
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, (wa pili kulia), mkewe mama Regina Lowassa, (kulia) na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa mjini, Borafia Silima, (kushoto), wakitoa heshima mbele ya kaburi la hayati Mzee Abeid Amani Karume, makao makuu ya ofisi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h7KmVc-GGOw/VYBGJB3N2PI/AAAAAAAHf9k/YgMx6shZr08/s72-c/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
LOWASSA AWEKA REKODI MPYA, SINGIDA APATA WADHAMINI 22,758
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7KmVc-GGOw/VYBGJB3N2PI/AAAAAAAHf9k/YgMx6shZr08/s640/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XdQby8izW94/VYBGI2-eF0I/AAAAAAAHf9g/Fndc_aRBSlE/s640/unnamed%2B%252880%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xhZ5JaDZZiY/VXmI5w5NngI/AAAAAAAAUw8/nUPc_6NClA0/s72-c/Lowassa_Kabula%2BZacharia2.jpg)
LOWASSA APATA WADHAMINI ZAIDI YA ELFU SABA MKOANI SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-xhZ5JaDZZiY/VXmI5w5NngI/AAAAAAAAUw8/nUPc_6NClA0/s640/Lowassa_Kabula%2BZacharia2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-_OBeVZ13YO0/VXjfsHLdblI/AAAAAAAAfCg/_94jK8UQfQ4/s1600/1.jpg)
LOWASSA APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI SIMIYU, APATA WADHAMINI 5,000
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Lowassa azoa wadhamini 3,000 Geita, Chato nako apata wa kutosha
![](http://2.bp.blogspot.com/-EX8WAuzGmzg/VXXhw4vEoSI/AAAAAAAAUrw/JhLAaGLm3Dw/s640/Lowassa_Geita%2BCCM%2Bwilaya.jpg)
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa,(katikati), akipungia mkono maelfu ya wana CCM na wananchi wengine waliofika kwenye ofisi za CCM wilayani Geita Juni 8, 2015, kwa nia ya kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015; (Picha zote na K-VIS MEDIA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qWMu48k9v3g/VXXhyrhR9lI/AAAAAAAAUr4/jgBv8RACYVk/s640/Geita%2Bjuu%2Bya%2Bnyumba.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
MH. LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...