Waziri Membe apata wadhamini zaidi ya 800 katika mikoa ya Lindi na Mtwara
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, waliofika kwenye Ofisi ya CCM mkoani humo Juni 08.2015, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 300.(Picha zote na John Badi).
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CM_eh6OgOrc/VYHNgeXzQKI/AAAAAAAAVBg/TABNkEINlMw/s72-c/Mtwara%2Bdua.jpg)
LOWASSA APATA WADHAMINI LINDI, MTWARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CM_eh6OgOrc/VYHNgeXzQKI/AAAAAAAAVBg/TABNkEINlMw/s640/Mtwara%2Bdua.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SGq4qiH5gGg/VYHNhpliqmI/AAAAAAAAVBo/4rLyPWMTFHs/s640/Lowassa_Mwana%2BCCM%2Bmtwara.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3_ZDdYUV514/VYHNlIfplRI/AAAAAAAAVBw/FqDNBWH9Frs/s640/Lowassa_sheikh.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z36lqbSkx4/VYHNzLW-eiI/AAAAAAAAVCM/zlt0gGVPJfU/s640/Lindi4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyRjc_MBV-o/VYHNssR41PI/AAAAAAAAVB4/2_T8Xo_PkLI/s640/CCM_Lindi.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA LINDI, MTWARA
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amefanya ziara mkoani Lindi na Mtwara mwanzoni mwa wiki kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Wizara yake ambapo aliahidi huduma za umeme na maji kwa wananchi mbalimbali.
Akiwa Madimba mkoani Mtwara, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa mtambo wa kuchakata gesi, Waziri Simbachawene alimwagiza Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Bomba la gesi, Mhandisi Kapuulya Musomba kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi wanaozunguka...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Naibu Waziri Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza leo katika hospitali za rufaa mikoa ya Lindi na Mtwara
Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0-JAB6qC3H8/VYa8-G2EUaI/AAAAAAADtAM/BYAk_8G1eLE/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-JAB6qC3H8/VYa8-G2EUaI/AAAAAAADtAM/BYAk_8G1eLE/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d94113Ymi5M/VYa9BUty1-I/AAAAAAADtAc/qMC75WOL5nI/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TUxeXY7ELI4/VXhZUPFpzTI/AAAAAAAHegA/UqzJvrCX1bU/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI MKOA WA MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-TUxeXY7ELI4/VXhZUPFpzTI/AAAAAAAHegA/UqzJvrCX1bU/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-E77Y-XjsoMQ/VXhZURfRVWI/AAAAAAAHegE/KXQh7aBPlyk/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4DONwGLgxuU/VYWKgmJet2I/AAAAAAADsac/PtUNgB3zIzU/s72-c/4.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA AZOA WADHAMINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-4DONwGLgxuU/VYWKgmJet2I/AAAAAAADsac/PtUNgB3zIzU/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JJGtp2S3R1w/VYWKbsqZZCI/AAAAAAADsaM/5sSlO2lCEuI/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q4c1qtAbUVk/VZAI0wNZeyI/AAAAAAAHlH8/EexJYNDoBzw/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
WAZIRI MEMBE APATA WADHAMINI KIGOMA AWATAKA Watanzania wasikubali kutishwa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ENISOYuJJSM/VYWqZoQnfRI/AAAAAAAHh1E/Nj8jgzd5yCo/s72-c/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA, AZOA WADHAMINI LUKUKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ENISOYuJJSM/VYWqZoQnfRI/AAAAAAAHh1E/Nj8jgzd5yCo/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_nUHVGEkeU/VYWqbKQEn1I/AAAAAAAHh1M/83coAux1ApY/s640/unnamed%2B%252883%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ds_Fq_yBwtE/VYH3Kzt3a8I/AAAAAAADsIc/HW6n2DJf__0/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA MOSHI MJINI AZOA WADHAMINI WAKUTOSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ds_Fq_yBwtE/VYH3Kzt3a8I/AAAAAAADsIc/HW6n2DJf__0/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F3LQa-vYgUs/VYH3Kzh1WII/AAAAAAADsIg/-RL1Z9cKzRU/s640/2.jpg)