January Makamba atua Jiji la Mwanza kusaka Wadhamini
Mh January Makamba Akipokea Fomu ya Wazamini katika jiji la Mwanza kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya ya Ilemela Loth Olemeint.Mbunge wa Bumbuli January Makamba ambaye anazunguuka mikoani kwa sasa kusaka wadhamini, leo alikua katika Jiji la Mwanza huku mamia ya wanachama na wakazi wa Mwanza walifulika katika ukumbi wa Nyanza kumsikiliza Mh January.Makamba ametoa ahadi kwa wakazi wa Mwanza kuwa hataka kama hatofanikiwa katika Mchakato huu hatokua na kinyongo wala Chuki kwa atakae Teuliwa.Kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Mapokezi ya Mh January Makamba Jiji la Mwanza akisaka wadhamini
Mh. January Makamba na Mkewe wakitembea pamoja na Wana CCM katika mitaa ya jijini Mwanza mara walipowasili katika jiji hilo kutafuta wadhamini.(Picha zote na John Sambila).
Mbunge wa Bumbuli, Mh. January Makamba ambaye anazunguuka mikoani kwa sasa kusaka wadhamini, jana alikua katika Jiji la Mwanza huku mamia ya wanachama na wakazi wa Mwanza walifurika katika ukumbi wa Nyanza kumsikiliza Mh January.
Makamba ametoa ahadi kwa wakazi wa Mwanza kuwa hataka kama hatofanikiwa katika Mchakato huu...
10 years ago
MichuziZiara ya January Makamba Kusaka Wadhamini Shinyanga.
Mh January Makamba amepokelewa kwa Bashasha Kemkem na wakazi wa Mkoa wa Shinyanga na Chama cha vijana wa Bidaboda mkoa huu walijitokeza kwa Wingi kumpokea January Makamba.
Mbunge wa Shinyanga na Naibu waziri wa Ofisi ya Makamu wa Raisi (Mazingira) Steven Masele amempokea mh January Makamba na Kuwaomba wanashinyanga kumuamini na kumpa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSWSQ-rIRrhCoPKfq0DKAO3ZvqIm-4-M2a38QYDt-4WWjDZLLkEyXc4d0v89xdzzzenZuYGbqTuQwTUKzU0j2YKf/MheshimiwaJanuaryMakambaakiwasiliofisizaCCMmkoawaIringa.jpg?width=650)
JANUARY MAKAMBA AKIWA IRINGA KUSAKA WADHAMINI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0yu_dQjfHA8/VXM_Ff3JN8I/AAAAAAAAUmE/Woo6b_bxjso/s72-c/Lowassa_Borafia.jpg)
MH. LOWASSA ATUA ZANZIBAR KUSAKA WADHAMINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0yu_dQjfHA8/VXM_Ff3JN8I/AAAAAAAAUmE/Woo6b_bxjso/s640/Lowassa_Borafia.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_8_S96F077c/VXM_QWaj9QI/AAAAAAAAUmM/Lwmx_ipXStE/s640/Lowassa_Borafia2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xYuzk1sB268/VXqD5RfWqTI/AAAAAAAAWc8/6vkM1pe6SmM/s72-c/NJ5.jpg)
January makamba apata wadhamini Mkoani Njombe
![](http://3.bp.blogspot.com/-xYuzk1sB268/VXqD5RfWqTI/AAAAAAAAWc8/6vkM1pe6SmM/s640/NJ5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q7GhT1cdpyM/VXqD5n_veMI/AAAAAAAAWdE/ZzaeZJp41pI/s640/NJ6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QBV3x9-zBPI/VXqD7uXNcrI/AAAAAAAAWdY/wXlI2CRAC6s/s640/NJ9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lhqYEVFO_EQ/VXqD2fu9C7I/AAAAAAAAWcU/UQqAgoeiO1c/s640/NJ10.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zxAozYohV2A/VYQ2dijvXRI/AAAAAAAHhpU/CQ6uBpipD2k/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
January makamba apata wadhamini lukuki Tabora na Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-zxAozYohV2A/VYQ2dijvXRI/AAAAAAAHhpU/CQ6uBpipD2k/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jXCtLazu79w/VYQ2dTCSstI/AAAAAAAHhog/1SBzWTmlBtM/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P2FpNyP2hqA/VYQ2eXvq8RI/AAAAAAAHhos/1E8zVY-69yo/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XBanYxtKyvY/VYQ2r_8oPiI/AAAAAAAHhsg/gIojhVx18Yg/s640/unnamed%2B%252869%2529.jpg)
10 years ago
MichuziJANUARI MAKAMBA ATUA BUKOBA LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA NA KUZOA WADHAMINI LUKUKI
10 years ago
Bongo510 Mar
Tu8 January haina uhusiano wowote na January Makamba — Fid Q
10 years ago
Mwananchi12 Jul
January,makamba,wanaCCM,halmashauri,Taifa,January,Membe,wagombea,mapinduzi,chama,maoni,Amina,Migiro