January makamba apata wadhamini lukuki Tabora na Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-zxAozYohV2A/VYQ2dijvXRI/AAAAAAAHhpU/CQ6uBpipD2k/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
January Makama akiweka saini kitabu cha wageni alipotua mkoani Tabora kusaka wadhamini. Kulia ni mkewe na kushoto ni mmoja wa viongozi wa CCM mkoani humo
January akilakiwa na wazee wa Tabora
Mke wa January akimpigia debe mumewe mjini Tabora
January akihutubia wananchi wa mkoa wa Tanga na kutoa shukrani kwa wananchi wa Tanga kwa kujitokeza kwa wingi kumdhamini na kumsikilizaKwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xYuzk1sB268/VXqD5RfWqTI/AAAAAAAAWc8/6vkM1pe6SmM/s72-c/NJ5.jpg)
January makamba apata wadhamini Mkoani Njombe
![](http://3.bp.blogspot.com/-xYuzk1sB268/VXqD5RfWqTI/AAAAAAAAWc8/6vkM1pe6SmM/s640/NJ5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q7GhT1cdpyM/VXqD5n_veMI/AAAAAAAAWdE/ZzaeZJp41pI/s640/NJ6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QBV3x9-zBPI/VXqD7uXNcrI/AAAAAAAAWdY/wXlI2CRAC6s/s640/NJ9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lhqYEVFO_EQ/VXqD2fu9C7I/AAAAAAAAWcU/UQqAgoeiO1c/s640/NJ10.jpg)
10 years ago
MichuziJANUARI MAKAMBA ATUA BUKOBA LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA NA KUZOA WADHAMINI LUKUKI
10 years ago
Vijimambo13 Mar
JANUARY MAKAMBA SIFA LUKUKI ALIZONAZO NA CHANGAMOTO ZA KUINGIA IKULU
![](http://api.ning.com/files/YIi6je0KpJOdD3LfO4aYXSjAo4B*73eWcUNVG7lYAfgvLNVNeqckE2FJ1q64khqcIjpvlM8CC0tQ6UfedhU8n4mtHZlk7W9I/januarymakamba.jpg?width=650)
MWAKA mmoja uliopita nilikutana na mwanasiasa kijana January Yusuf Makamba na kumuuliza kama ana wazo la kugombea urais; jibu lake lilikuwa ni: “Ni wazo sahihi.”
Sikumwelewa alimaanisha nini, lakini habari zilizopo mtaani hivi sasa kuwa anakusudia kuchukua fomu za kuomba uteuzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na hatimaye kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kugombea urais nimeelewa kuwa jibu lake wakati ule lilimaanisha; NDIYO.
Ni wazi mtu kuamka na wazo la aina hii, kwamba na...
10 years ago
VijimamboDkt. Magufuli apata wadhamini lukuki Mkoani Dodoma
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSWSQ-rIRrhCoPKfq0DKAO3ZvqIm-4-M2a38QYDt-4WWjDZLLkEyXc4d0v89xdzzzenZuYGbqTuQwTUKzU0j2YKf/MheshimiwaJanuaryMakambaakiwasiliofisizaCCMmkoawaIringa.jpg?width=650)
JANUARY MAKAMBA AKIWA IRINGA KUSAKA WADHAMINI
10 years ago
MichuziZiara ya January Makamba Kusaka Wadhamini Shinyanga.
Mh January Makamba amepokelewa kwa Bashasha Kemkem na wakazi wa Mkoa wa Shinyanga na Chama cha vijana wa Bidaboda mkoa huu walijitokeza kwa Wingi kumpokea January Makamba.
Mbunge wa Shinyanga na Naibu waziri wa Ofisi ya Makamu wa Raisi (Mazingira) Steven Masele amempokea mh January Makamba na Kuwaomba wanashinyanga kumuamini na kumpa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ENISOYuJJSM/VYWqZoQnfRI/AAAAAAAHh1E/Nj8jgzd5yCo/s72-c/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA BUKOBA, AZOA WADHAMINI LUKUKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ENISOYuJJSM/VYWqZoQnfRI/AAAAAAAHh1E/Nj8jgzd5yCo/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_nUHVGEkeU/VYWqbKQEn1I/AAAAAAAHh1M/83coAux1ApY/s640/unnamed%2B%252883%2529.jpg)
10 years ago
MichuziJanuary Makamba atua Jiji la Mwanza kusaka Wadhamini
Mh January Makamba Akipokea Fomu ya Wazamini katika jiji la Mwanza kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya ya Ilemela Loth Olemeint.Mbunge wa Bumbuli January Makamba ambaye anazunguuka mikoani kwa sasa kusaka wadhamini, leo alikua katika Jiji la Mwanza huku mamia ya wanachama na wakazi wa Mwanza walifulika katika ukumbi wa Nyanza kumsikiliza Mh January.Makamba ametoa ahadi kwa wakazi wa Mwanza kuwa hataka kama hatofanikiwa katika Mchakato huu hatokua na kinyongo wala Chuki kwa atakae Teuliwa.Kwa...
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Mapokezi ya Mh January Makamba Jiji la Mwanza akisaka wadhamini
Mh. January Makamba na Mkewe wakitembea pamoja na Wana CCM katika mitaa ya jijini Mwanza mara walipowasili katika jiji hilo kutafuta wadhamini.(Picha zote na John Sambila).
Mbunge wa Bumbuli, Mh. January Makamba ambaye anazunguuka mikoani kwa sasa kusaka wadhamini, jana alikua katika Jiji la Mwanza huku mamia ya wanachama na wakazi wa Mwanza walifurika katika ukumbi wa Nyanza kumsikiliza Mh January.
Makamba ametoa ahadi kwa wakazi wa Mwanza kuwa hataka kama hatofanikiwa katika Mchakato huu...