January makamba apata wadhamini Mkoani Njombe
![](http://3.bp.blogspot.com/-xYuzk1sB268/VXqD5RfWqTI/AAAAAAAAWc8/6vkM1pe6SmM/s72-c/NJ5.jpg)
Mh January Makamba na mkewe wakiwasili katika ofisi za CCM Mkoa wa Njombe ambapo walipokelewa na wanachama wa CCM aliokuwa na kikundi cha ngoma
Mh January Makamba na mkewe wakisalimana na baadhi ya wanachama wa CCM katika ukumbi mdogo wa CCM mkoani Njombe.
Mh January Makamba akiwaka sahihi katika kitabu cha wageni katika ofisi za CCM mkoa wa Njombe.
Mh January Makamba akipokea fomu yenye majina ya wanachama wa CCM wa Njombe waliomdhamini kutoka kwa katibu wa CCM moa wa Njombe, ndugu Mponzi....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zxAozYohV2A/VYQ2dijvXRI/AAAAAAAHhpU/CQ6uBpipD2k/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
January makamba apata wadhamini lukuki Tabora na Tanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-zxAozYohV2A/VYQ2dijvXRI/AAAAAAAHhpU/CQ6uBpipD2k/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jXCtLazu79w/VYQ2dTCSstI/AAAAAAAHhog/1SBzWTmlBtM/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P2FpNyP2hqA/VYQ2eXvq8RI/AAAAAAAHhos/1E8zVY-69yo/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XBanYxtKyvY/VYQ2r_8oPiI/AAAAAAAHhsg/gIojhVx18Yg/s640/unnamed%2B%252869%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSWSQ-rIRrhCoPKfq0DKAO3ZvqIm-4-M2a38QYDt-4WWjDZLLkEyXc4d0v89xdzzzenZuYGbqTuQwTUKzU0j2YKf/MheshimiwaJanuaryMakambaakiwasiliofisizaCCMmkoawaIringa.jpg?width=650)
JANUARY MAKAMBA AKIWA IRINGA KUSAKA WADHAMINI
10 years ago
MichuziZiara ya January Makamba Kusaka Wadhamini Shinyanga.
Mh January Makamba amepokelewa kwa Bashasha Kemkem na wakazi wa Mkoa wa Shinyanga na Chama cha vijana wa Bidaboda mkoa huu walijitokeza kwa Wingi kumpokea January Makamba.
Mbunge wa Shinyanga na Naibu waziri wa Ofisi ya Makamu wa Raisi (Mazingira) Steven Masele amempokea mh January Makamba na Kuwaomba wanashinyanga kumuamini na kumpa...
10 years ago
MichuziJanuary Makamba atua Jiji la Mwanza kusaka Wadhamini
Mh January Makamba Akipokea Fomu ya Wazamini katika jiji la Mwanza kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya ya Ilemela Loth Olemeint.Mbunge wa Bumbuli January Makamba ambaye anazunguuka mikoani kwa sasa kusaka wadhamini, leo alikua katika Jiji la Mwanza huku mamia ya wanachama na wakazi wa Mwanza walifulika katika ukumbi wa Nyanza kumsikiliza Mh January.Makamba ametoa ahadi kwa wakazi wa Mwanza kuwa hataka kama hatofanikiwa katika Mchakato huu hatokua na kinyongo wala Chuki kwa atakae Teuliwa.Kwa...
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Mapokezi ya Mh January Makamba Jiji la Mwanza akisaka wadhamini
Mh. January Makamba na Mkewe wakitembea pamoja na Wana CCM katika mitaa ya jijini Mwanza mara walipowasili katika jiji hilo kutafuta wadhamini.(Picha zote na John Sambila).
Mbunge wa Bumbuli, Mh. January Makamba ambaye anazunguuka mikoani kwa sasa kusaka wadhamini, jana alikua katika Jiji la Mwanza huku mamia ya wanachama na wakazi wa Mwanza walifurika katika ukumbi wa Nyanza kumsikiliza Mh January.
Makamba ametoa ahadi kwa wakazi wa Mwanza kuwa hataka kama hatofanikiwa katika Mchakato huu...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Makamba atunzwa kwao apata wadhamini kuliko mikoa yote aliyopita
Mh January Makamba alikua katika mkoa wa Tanga alipokulia na kuzaliwa, wakazi wengi wa Tanga Walijitokeza Kumpokea kwa Shangwe nyingi.
Wananchi wa mkoa wa Tanga wamejitokeza watu wengi kumdhamini kuliko mikoa yote aliyopita ambapo jumla ya watu 15,043 wamejitokeza kwenye ofisi kuu za Chama cha Mapinduzi CCM mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini wa fomu kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015……Fuatilia matukio...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-TJgvyQzKTbs/VXrqq-ocsGI/AAAAAAADUfQ/-VBEUe0WFbQ/s72-c/RVP2.jpg)
JANUARY MAKAMBA AITIKISA RUVUMA,APATA UDHAMINI WA WATU 3550 WAVUNJA REKODI
![](http://3.bp.blogspot.com/-TJgvyQzKTbs/VXrqq-ocsGI/AAAAAAADUfQ/-VBEUe0WFbQ/s640/RVP2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-So9xSBKFEAg/VXrqp0WlZLI/AAAAAAADUfE/Cr44xss4Yh8/s640/RVP1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-260GIUdtS1Y/VXrqvmn-1eI/AAAAAAADUfs/v_-3zlCWz6Y/s640/RVP6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yxvnU2d8CAs/VXrqwdOZslI/AAAAAAADUfw/uTs5l9rtq2k/s640/RVP7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hE-UP_5ERCk/VXrqyqO_igI/AAAAAAADUgE/O1iqyUbAV_w/s640/RVP8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vK4RWiLtcl8/VXrqqXT0cXI/AAAAAAADUfM/q5DtKOY5j_Q/s640/RVP3.jpg)
10 years ago
MichuziJANUARI MAKAMBA ATUA BUKOBA LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA NA KUZOA WADHAMINI LUKUKI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-M-xkXmnoyzI/VXlsNtrVOiI/AAAAAAAAGvE/m7GC_8yZdPE/s72-c/IM3.jpg)
Makamba Avunja rekodi ya mapokezi na wadhamini mkoani Iringa
![](http://2.bp.blogspot.com/-M-xkXmnoyzI/VXlsNtrVOiI/AAAAAAAAGvE/m7GC_8yZdPE/s640/IM3.jpg)