Tu8 January haina uhusiano wowote na January Makamba — Fid Q
Rapper Fareed Kubanda aka Fid Q amedai kuwa kampeni aliyoanzisha mwaka jana ya Tu8 January ambayo ilishuhudia kufanyika kwa ziara za wasanii katika baadhi ya maeneo nchini, haina uhusiano wowote na January Makamba. Akiongea kwenye kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen ya Kenya, Fid alisema kampeni hiyo ilijihusisha na kuwataka vijana kujitokeza kwenda kujiandikisha […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jul
January,makamba,wanaCCM,halmashauri,Taifa,January,Membe,wagombea,mapinduzi,chama,maoni,Amina,Migiro
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s72-c/nat%2Bwa.jpg)
Nay wa Mitego Amvaa January Makamba..Adai January Ndio Mnunuzi Mkuu wa Akina Dr Slaa, Lupumba, Twaweza na Wasanii
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s640/nat%2Bwa.jpg)
Msanii wa bongo fleva, Nay wa Mitego amemvaa mjumbe wa kamati ya Kampeni ya CCM,January Makamba na kudai yeye ni mnunuaji mkuu wa tafiti na wasanii kwa lengo la kukisaidia chama chake.Nay alimjibu January Makamba aliyepost ujumbe ukionyesha kushangaa tuhuma dhidi ya CCM kuwa imekuwa ikinunua wanasiasa,tafiti pamoja na wasanii kwa lengo la kuulaghai umma.
"Zitto kanunuliwa. Slaa kanunuliwa. Lipumba kanunuliwa. Twaweza imenunuliwa. Synovate...
10 years ago
TheCitizen20 Jan
A conversation with January Makamba
10 years ago
CloudsFM10 Dec
FID Q AANZISHA KAMPENI YA VIJANA IITWAYO TUONANE “JANUARY”
Staa wa Hip Hop Bongo,Farid Kubanda ‘’FID Q’ ambaye amekuwa akifanya project nyingi za kijamii ‘’ujamaa hiphop darasa’’ ambayo inawapa nafasi vijana kufahamishwa kuhusu nguzo za hiphop, ana online tv Cheusi Dawa Tv, na sasa hivi Fid Q ana project mpya kwa ajili ya kuwaamsha vijana, kampeni inaitwa Tuonane Januari.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WhMTwp-RID0/XlUVnIO0Z2I/AAAAAAACzZU/FgySK8KdIHsJIVadfSgtYyWj4_FwNODKACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
JANUARY MAKAMBA ATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WhMTwp-RID0/XlUVnIO0Z2I/AAAAAAACzZU/FgySK8KdIHsJIVadfSgtYyWj4_FwNODKACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Hayo ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter, wakati akimjibu mwananchi aliyehoji kauli ya Waziri wa sasa Azzan Zungu, aliyedai kuwa suala la mifuko hiyo lilisimamiwa na viongozi wa juu bila kumtaja...
10 years ago
AllAfrica.Com18 Feb
Can January Makamba Be the Next President of Tanzania?
AllAfrica.com
The Economist doesn't often write about Tanzania. When it does, the country's political and business elites pay attention. So, a few weeks before the 2010 general election, when the Economist published a long piece on Tanzania, it was met with surprise.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
CCM wamkemea January Makamba
KAULI ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, ya kuwataka wazee waachane na mbio za urais 2015 kwa madai kuwa ni zamu ya vijana, imeelezwa kuwa ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ivj69U0teRRI4jUPUqkNTfOW8zS7te6TRpFCfuHAuwQ4G0-DHkvTwzCPn7*CBYENcAfMwERC5VTv9DEMECKfY0bJFXT1jmoB/jan2.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SgGp23_wVqM/VXHUcd1eYLI/AAAAAAAHcUM/7zpDtUDgEIk/s72-c/unnamed.png)