JANUARY MAKAMBA ATOA NENO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WhMTwp-RID0/XlUVnIO0Z2I/AAAAAAACzZU/FgySK8KdIHsJIVadfSgtYyWj4_FwNODKACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mbunge wa Bumbuli na aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira January Makamba, amesema kuwa idadi kubwa ya Watanzania wanatambua mchango wake katika suala zima la kutokomeza matumizi ya mifuko ya plastiki, hata kama viongozi wengine wasipotambua.
Hayo ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter, wakati akimjibu mwananchi aliyehoji kauli ya Waziri wa sasa Azzan Zungu, aliyedai kuwa suala la mifuko hiyo lilisimamiwa na viongozi wa juu bila kumtaja...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLJANUARY MAKAMBA ATANGAZA NIA YA URAIS, ATOA VIPAUMBELE VYAKE 5
10 years ago
Bongo510 Mar
Tu8 January haina uhusiano wowote na January Makamba — Fid Q
10 years ago
Mwananchi12 Jul
January,makamba,wanaCCM,halmashauri,Taifa,January,Membe,wagombea,mapinduzi,chama,maoni,Amina,Migiro
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s72-c/nat%2Bwa.jpg)
Nay wa Mitego Amvaa January Makamba..Adai January Ndio Mnunuzi Mkuu wa Akina Dr Slaa, Lupumba, Twaweza na Wasanii
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s640/nat%2Bwa.jpg)
Msanii wa bongo fleva, Nay wa Mitego amemvaa mjumbe wa kamati ya Kampeni ya CCM,January Makamba na kudai yeye ni mnunuaji mkuu wa tafiti na wasanii kwa lengo la kukisaidia chama chake.Nay alimjibu January Makamba aliyepost ujumbe ukionyesha kushangaa tuhuma dhidi ya CCM kuwa imekuwa ikinunua wanasiasa,tafiti pamoja na wasanii kwa lengo la kuulaghai umma.
"Zitto kanunuliwa. Slaa kanunuliwa. Lipumba kanunuliwa. Twaweza imenunuliwa. Synovate...
10 years ago
TheCitizen20 Jan
A conversation with January Makamba
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SgGp23_wVqM/VXHUcd1eYLI/AAAAAAAHcUM/7zpDtUDgEIk/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
January Makamba aridhishwa na TTCL
NAIBU Waziri wa Wizara ya Sayansi na Teknolojia, January Makamba, ameridhishwa na shughuli zinazofanywa na kampuni ya simu Tanzania (TTCL), hasa kwa kuanzisha kituo cha mtandao kitakachotoa huduma kwa nchi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ivj69U0teRRI4jUPUqkNTfOW8zS7te6TRpFCfuHAuwQ4G0-DHkvTwzCPn7*CBYENcAfMwERC5VTv9DEMECKfY0bJFXT1jmoB/jan2.jpg?width=650)
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
UTEGA wamshitaki January Makamba
UMOJA wa Wakulima wa Chai (UTEGA) Halmashauri ya Bumbuli, wilayani Lushoto, Tanga unatarajia kumburuza mahakamani Mbunge wa Bumbuli, January Makamba. Uamuzi wa UTEGA ulitolewa hivi karibuni katika mkutano mkuu maalumu...