Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


January,makamba,wanaCCM,halmashauri,Taifa,January,Membe,wagombea,mapinduzi,chama,maoni,Amina,Migiro

Wagombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) wametoa maoni yao kwa kupitishwa katika tano bora.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UPDATES KUTOKA DODOMA ASUBIHI HII: TANO BORA YA WAGOMBEA URAIS WA CCM NI MEMBE, MAGUFULI, MIGIRO,MAKAMBA NA BALOZI AMINA SALUM

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari asubuhi hii nje ya Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM Mjini Dodoma, akithibitisha taarifa iliyokuwa ikizagaa mitandaoni ya Wagombea Urais walioingia katika hatua ya tano bora, ambao aliwataja kuwa ni Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Mh. Bernard Membe, Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Mh....

 

10 years ago

Dewji Blog

January Makamba adhaminiwa na wanaCCM 8,300 mkoani Singida

DSC06942

 

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, akipokewa na baadhi ya wanaCCM na wananchi wa mkoa wa Singida jana (26/6/2015) akiwa kwenye harakati zake za kusaka wadhamini ili aweze kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu ujao.

DSC06974

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, akiwashukuru wanaCCM 8,300 wa mkoa wa Singida, waliomdhamini ili aweze kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi ya...

 

10 years ago

Bongo5

Tu8 January haina uhusiano wowote na January Makamba — Fid Q

Rapper Fareed Kubanda aka Fid Q amedai kuwa kampeni aliyoanzisha mwaka jana ya Tu8 January ambayo ilishuhudia kufanyika kwa ziara za wasanii katika baadhi ya maeneo nchini, haina uhusiano wowote na January Makamba. Akiongea kwenye kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen ya Kenya, Fid alisema kampeni hiyo ilijihusisha na kuwataka vijana kujitokeza kwenda kujiandikisha […]

 

9 years ago

Vijimambo

Nay wa Mitego Amvaa January Makamba..Adai January Ndio Mnunuzi Mkuu wa Akina Dr Slaa, Lupumba, Twaweza na Wasanii


Msanii wa bongo fleva, Nay wa Mitego amemvaa mjumbe wa kamati ya Kampeni ya CCM,January Makamba na kudai yeye ni mnunuaji mkuu wa tafiti na wasanii kwa lengo la kukisaidia chama chake.Nay alimjibu January Makamba aliyepost ujumbe ukionyesha kushangaa tuhuma dhidi ya CCM kuwa imekuwa ikinunua wanasiasa,tafiti pamoja na wasanii kwa lengo la kuulaghai umma.
"Zitto kanunuliwa. Slaa kanunuliwa. Lipumba kanunuliwa. Twaweza imenunuliwa. Synovate...

 

9 years ago

Mwananchi

January: WanaCCM msilalamikie kasi ya Rais Magufuli

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mbunge wa Bumbuli mkoani Tanga, January Makamba amesema wanachama wa chama hicho watakaoguswa na kasi ya utendaji wa Rais John Magufuli, waache kulalamika kwa sababu ana lengo la kuijenga Tanzania mpya.

 

10 years ago

TheCitizen

A conversation with January Makamba

January Makamba and author Fr Privatus Karugendo talk about their new book and the influence it has had on the young people of Tanzania

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Can January Makamba Be the Next President of Tanzania?


Can January Makamba Be the Next President of Tanzania?
AllAfrica.com
The Economist doesn't often write about Tanzania. When it does, the country's political and business elites pay attention. So, a few weeks before the 2010 general election, when the Economist published a long piece on Tanzania, it was met with surprise.

 

10 years ago

Tanzania Daima

January Makamba aridhishwa na TTCL

NAIBU Waziri wa Wizara ya Sayansi na Teknolojia, January Makamba, ameridhishwa na shughuli zinazofanywa na kampuni ya simu Tanzania (TTCL), hasa kwa kuanzisha kituo cha mtandao kitakachotoa huduma kwa nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani