LOWASSA ATISHA MWANZA WENGI WAZIMIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bk6e3DjksM0/Vhv4PK8AU9I/AAAAAAAAbAM/B8Xxv0lEOHE/s72-c/OTH_0900.jpg)
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwaaga wananchi wa Jiji la Mwanza, mara baada ya kuhutubia Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.
Watu wa huduma ya kwanza wa kikosi cha Msalaba Mwekundu, wakiwasaidia wananchi mbali mbali waliopoteza fahamu kutokana na kukosa hewa, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrKkh4fhpb2L-jRFRsfzly2aTMk6SgfyA2YyE7oLn1ioKbodLUpRdE2ITwu4vzZ-pkKeaksX82U-jwLQR-wH7laT/msiba.jpg?width=650)
MSIBA WA FILIKUNJOMBE, WENGI WAZIMIA LUDEWA
10 years ago
GPLWENGI WAJITOKEZA KWENYE USAILI WA SHINDANO LA TMT JIJINI MWANZA
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Mwenyekiti atisha waandishi
WAANDISHI wa habari wa mjini Dodoma, wamenusurika kushambuliwa kwa kipigo na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kongogo, Daud Husein baada ya waandishi hao kubaini maonevu na ubabe anaowatendea wananchi. Mwenyekiti huyo,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G_xdTr3ggho/VXVLMb4yIMI/AAAAAAAHc80/6aVTU1KK0l0/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI WENGI KATIKA MIKOA YA MWANZA NA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-G_xdTr3ggho/VXVLMb4yIMI/AAAAAAAHc80/6aVTU1KK0l0/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2EuJt8nLss4/VXVLNbu1HAI/AAAAAAAHc9A/WDXitC0BbKA/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FX9mijdaBs8/VXVLNn5D0pI/AAAAAAAHc9I/WzFn1v_UhvQ/s640/4.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2iamuBHF1jrsq0XKNgWCFsWJuisCwzkj-fgSVqXWAFDFTcmgxljPDD4i3QrwJ30fUd7fzDNq5iWY72iJUf-eXeh/MWANASHERIA.jpg?width=650)
MWANASHERIA ATISHA KWA ‘UMODO’ E. A
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Lowassa: Mwanza jiandaeni
10 years ago
Mtanzania06 Jun
Lowassa aiteka Mwanza
Elias Msuya na Fredrick Katulanda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata mapokezi makubwa jijini Mwanza alikokwenda kutafuta udhamini kwa ajili ya kuomba kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo jumla ya wanachama 2,927 wamejitokeza kumdhamini.
Lowassa aliyewasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza saa tano asubuhi, alipokelewa kwa maandamano ya pikipiki, magari na watu watembeao kwa miguu kuelekea ukumbi wa mikutano wa Mahatma Gandhi uliopo Nyamagana.
Mapokezi hayo...
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Lowassa, Magufuli waikwepa Mwanza