Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LOWASSA ATISHA MWANZA WENGI WAZIMIA

 Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwaaga wananchi wa Jiji la Mwanza, mara baada ya kuhutubia Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015. Watu wa huduma ya kwanza wa kikosi cha Msalaba Mwekundu, wakiwasaidia wananchi mbali mbali waliopoteza fahamu kutokana na kukosa hewa, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MSIBA WA FILIKUNJOMBE, WENGI WAZIMIA LUDEWA

Gabriel Ng’osha Chema hakidumu! Vilio na majonzi vimelitawala Jimbo la Ludewa na nchi nzima kwa jumla, huku mamia ya wakazi wa jimbo hilo lililokuwa likiongozwa na mchapakazi, marehemu Deo Filikunjombe aliyeaga dunia Alhamisi iliyopita kwa ajali ya helkopta iliyotokea katika Hifadhi ya Selous eneo la Msolwa mkoani Morogoro, wamezimia kutokana na mapenzi ya dhati waliyokuwa nayo kwa shujaa wao huyo. Mke wa Filikunjombe akilia...

 

10 years ago

GPL

WENGI WAJITOKEZA KWENYE USAILI WA SHINDANO LA TMT JIJINI MWANZA

Baadhi ya washiriki kutoka Kanda ya Ziwa wakipewa maelekezo kutoka kwa mfanyakazi wa TMT kwa ajili ya kuanza usaili. Washiriki wa shindano la TMT 2015 jijini Mwanza wakipewa semina elekezi. Washiriki wakiwa tayari kuingia chumba cha majaji kwa ajili ya kuanza usaili. Na Andrew…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti atisha waandishi

WAANDISHI wa habari wa mjini Dodoma, wamenusurika kushambuliwa kwa kipigo na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kongogo, Daud Husein baada ya waandishi hao kubaini maonevu na ubabe anaowatendea wananchi. Mwenyekiti huyo,...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI WENGI KATIKA MIKOA YA MWANZA NA GEITA

Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho kutoka kwa Katibu wa CCM Wilayani Chato Mkoani Geita.Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwa katika picha na baadhi ya Wadhamini wake katika Ofisi ya Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Chato Mkoani Geita.Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John...

 

11 years ago

GPL

MWANASHERIA ATISHA KWA ‘UMODO’ E. A

Stori: Musa Mateja
Mwanadada Corazon Kwamboka ambaye kitaaluma ni mwanasheria, raia wa Kenya anaonekana kutingisha katika soko la umodo Afrika Mashariki huku baadhi ya warembo wenzake wakimpigia saluti. Mwanamitindo Corazon Kwamboka. Mtandao mmoja wa mambo ya mitindo wa Kenya umeandika kuwa, siku chache baada ya Corazon kupiga picha zake za mapozi na kuziingiza mtandaoni, wengi wameonesha kumkubali huku kampuni kibao za...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mwanza jiandaeni

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa jana alitua jijini Mwanza na kuwataka wakazi wa jiji hilo wajiandae kupokea ushindi.

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa aiteka Mwanza

LOWASSA Elias Msuya na Fredrick Katulanda
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amepata mapokezi makubwa jijini Mwanza alikokwenda kutafuta udhamini kwa ajili ya kuomba kuwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambapo jumla ya wanachama 2,927 wamejitokeza kumdhamini.
Lowassa aliyewasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza saa tano asubuhi, alipokelewa kwa maandamano ya pikipiki, magari na watu watembeao kwa miguu kuelekea ukumbi wa mikutano wa Mahatma Gandhi uliopo Nyamagana.
Mapokezi hayo...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa, Magufuli waikwepa Mwanza

Wakati kampeni zikiwa zimefikia katikati, vyama vya CCM na Chadema bado hazijajitosa mkoani Mwanza kufanya mikutano yake licha ya kupita mikoa inayouzunguka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani