WAZIRI MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI WENGI KATIKA MIKOA YA MWANZA NA GEITA
![](http://4.bp.blogspot.com/-G_xdTr3ggho/VXVLMb4yIMI/AAAAAAAHc80/6aVTU1KK0l0/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa fomu yenye orodha ya Wadhamini waliojitokeza kumdhamini katika mbio za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia chama hicho kutoka kwa Katibu wa CCM Wilayani Chato Mkoani Geita.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiwa katika picha na baadhi ya Wadhamini wake katika Ofisi ya Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Chato Mkoani Geita.
Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato Mheshimiwa Dkt. John...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDKT.MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI MIKOA YA KAGERA, MARA NA MWANZA
10 years ago
VijimamboDK JOHN MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI KUWANIA URAIS MIKOA YA KAGERA,MARA NA MWANZA
10 years ago
MichuziDKT.MAGUFULI AZIDI KUPATA WADHAMINI KATIKA MIKOA YA KILIMANJARO NA DAR ES SALAAM
10 years ago
VijimamboDKT. MAGUFULI AWASILI KISIWANI ZANZIBAR NA KUPATA WADHAMINI WENGI KATIKA MIKOA YA UNGUJA NA PEMBA
10 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI APATA WADHAMINI WENGI KATIKA WILAYANI KONGWA, DODOMA
10 years ago
MichuziDKT. MAGUFULI ATAPA WADHAMINI KATIKA MIKOA YA UNGUJA NA PEMBA, ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Waziri Membe apata wadhamini zaidi ya 800 katika mikoa ya Lindi na Mtwara
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, waliofika kwenye Ofisi ya CCM mkoani humo Juni 08.2015, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 300.(Picha zote na John Badi).
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s72-c/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
WAZIRI MAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM MARA BAADA YA KUKAMILISHA ZOEZI LA KUPATA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s640/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-laWDp0u2wjM/VYjlndsCbBI/AAAAAAAHioQ/TucGqV3_NSA/s640/unnamed%2B%252866%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-64M6uLD_OFo/VYjlnO4pnHI/AAAAAAAHioU/7RcMNnw12sc/s640/unnamed%2B%252867%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NODrx5G4V1w/VYjln_mOoNI/AAAAAAAHioo/ECfeYXZYxhg/s640/unnamed%2B%252868%2529%2B-%2BCopy.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Dk. Magufuli azidi kuchanja mbuga Mwanza, Katika majimbo ya Magu, Sumve,Kwimba na Misungwi
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi, Mwanza jana, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Dk Magufuli akiingia kwenye gari baada ya kuhutubia akiwa juu ya gari mjini Ngudu, Kwimba leo
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni...