Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANASHERIA ATISHA KWA ‘UMODO’ E. A

Stori: Musa Mateja
Mwanadada Corazon Kwamboka ambaye kitaaluma ni mwanasheria, raia wa Kenya anaonekana kutingisha katika soko la umodo Afrika Mashariki huku baadhi ya warembo wenzake wakimpigia saluti. Mwanamitindo Corazon Kwamboka. Mtandao mmoja wa mambo ya mitindo wa Kenya umeandika kuwa, siku chache baada ya Corazon kupiga picha zake za mapozi na kuziingiza mtandaoni, wengi wameonesha kumkubali huku kampuni kibao za...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.

Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwenyekiti atisha waandishi

WAANDISHI wa habari wa mjini Dodoma, wamenusurika kushambuliwa kwa kipigo na Mwenyekiti wa Kijiji cha Kongogo, Daud Husein baada ya waandishi hao kubaini maonevu na ubabe anaowatendea wananchi. Mwenyekiti huyo,...

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA ATISHA MWANZA WENGI WAZIMIA

 Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwaaga wananchi wa Jiji la Mwanza, mara baada ya kuhutubia Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015. Watu wa huduma ya kwanza wa kikosi cha Msalaba Mwekundu, wakiwasaidia wananchi mbali mbali waliopoteza fahamu kutokana na kukosa hewa, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi...

 

11 years ago

Habarileo

Tuhuma za kutibu kwa ngono zipo kwa mwanasheria

JALADA la kesi ya waganga wa jadi wawili wanaotuhumiwa kubaka baada ya kutoa tiba kwa wanawake ili wapate watoto, kwa masharti ya kushiriki nao ngono bila kinga, limepelekwa kwa Mwanasheria wa Kanda wa Serikali kwa hatua zaidi.

 

10 years ago

Habarileo

Kificho ataka ushirikiano kwa Mwanasheria Mkuu mpya

SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewataka wajumbe wa baraza hilo kutoa kila aina ya ushirikiano kwa Mwanasheria Mkuu mpya Said Hassan Said ili kuweza kutekeleza majukumu yake vizuri.

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KUSAMBAA KWA PICHA ZA MWANASHERIA AKIFANANISHWA NA JAMBAZI HIKI NDICHO ALICHOKISEMA

Mwanasheria wa serikali mara baada ya kumvisha pete mchumba wake(hii ndio moja ya picha inayo sambazwa katika mitandao ya kijamii)
Kutokana na kusambaa kwa picha katika mitandao ya kijamii zinazoonyesha vijana wanaosadikika kuwa ni majambazi waliokamatwa na jeshi la polisi siku ya jana, kijana aliyezungushiwa duara ambaye anaonekana katika picha akiwa na wenzake, anafananishwa na kijana anayeonekana  akiwa na mwenziwake katika shughuli ya kumvalisha pete ya uchumba mwenzi huyo, ambapo watu...

 

10 years ago

Michuzi

WATUMISHI WAPYA 222 WA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI WAASWA KUFANYA KAZI KWA KUJITUMA NA UZALENDO

Kaimu Naibu Mwanasheria Mkuu Wa Serikali, Sarah Mwaipopo akisisitiza jambo wakati akifunga Mafunzo Elekezi ya awali kwa Watumishi wapya wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wapatao 222. Kaimu Naibu Mwanasheria Mkuu Wa Serikali, Sarah Mwaipopo akihutubia Watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Hawapo Pichani) Wakati wa Kufunga Mafunzo ya awali kwa Watumishi wapya. Wengine pichani kuanzia kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Divisheni ya Mashtaka, Bi Mary Lyimo na Mkuruegenzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDD AKANUSHA MADAI MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA GAZETI LA MTANZANIA KUHUSU KUJIUZULU KWA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akikanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti la Mtanzania la Jumatano 24 Septemba, 2014.Waziri Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mohammed Aboud akichangia mada wakati wa mkutano na waandishi wa habari Gazeti hilo.Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo wakifutailia kwa makini taarifa toka Balozi Seif Ali Idd. (Picha zote na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma)
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma. 
MAKAMU wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani