BAADA YA KUSAMBAA KWA PICHA ZA MWANASHERIA AKIFANANISHWA NA JAMBAZI HIKI NDICHO ALICHOKISEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TwemQV8fRCg/VTeIwlVB48I/AAAAAAABMMo/_BHN-bVWe9M/s72-c/11031134_1060472877345892_9130118405578499426_n.jpg)
Mwanasheria wa serikali mara baada ya kumvisha pete mchumba wake(hii ndio moja ya picha inayo sambazwa katika mitandao ya kijamii)
Kutokana na kusambaa kwa picha katika mitandao ya kijamii zinazoonyesha vijana wanaosadikika kuwa ni majambazi waliokamatwa na jeshi la polisi siku ya jana, kijana aliyezungushiwa duara ambaye anaonekana katika picha akiwa na wenzake, anafananishwa na kijana anayeonekana akiwa na mwenziwake katika shughuli ya kumvalisha pete ya uchumba mwenzi huyo, ambapo watu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Oct
Hiki ndicho alichokisema Kingwendu baada ya kukosa ubunge
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm19NNJpbti4JTbV*UwKNIN8TQUyRsTNK7iBs4hgT4Iqah16aWzYDkT22qtxB8szLBw71RgYCzTCDadcKA5Aus0q/dudu.jpg?width=600)
ALICHOKISEMA DUDUBAYA BAADA YA KUSAMBAA KWA TAARIFA ZA KUMKATA SIKIO MAMA YAKE MKUBWA
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Hiki Ndicho Alichokisema Meninah Kuhusu Wema na Kajala
Mrembo na Staa wa Bongo Fleva, ambae nyota na jina lake lilianza kusikika Kupitia shindano la Bongo Star Search (BSS), Meninah La Diva amesema angekuwa na uwezo angewapatanisha mastaa wawili wa Bongo Movies , Wema Sepetu na Kajala Masanja ambao alisema kuwa anawependa sana.
Meninah aliyasema hayo leo alipokuwa akifanya mahojiano na mtangazaji Millard Ayo kwenye c kipindi cha Amplifaya, alipoulizwa kuwa angekuwa na uwezo angewapatanisha mastaa gani ambao wamegombana au hawaelewani kwa namna...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-64EYFkD91oE/VW2qL_Vzc-I/AAAAAAADp1M/s9M5YJGIE7o/s72-c/makongoro_nyerere.jpg)
MBIO ZA URAIS HIKI NDICHO ALICHOKISEMA MAKONGORO JUU YA WAGOMBEA WENZIE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-64EYFkD91oE/VW2qL_Vzc-I/AAAAAAADp1M/s9M5YJGIE7o/s640/makongoro_nyerere.jpg)
Mbio za kusaka urais kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimezidi kushika kasi baada ya mtoto wa tano wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Charles Makongoro Nyerere kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho.Wakati Makongoro akichukua uamuzi huo kwa mara ya kwanza katika historia ya familia ya Mwalimu Nyerere, mkoani Mbeya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya naye ameingia kwenye mbio hizo.
Akitangaza nia yake katika eneo la Mwitongo kijijini Butiama jana,...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3XKn0FD80-w/default.jpg)
9 years ago
Bongo Movies27 Dec
Picha:Hiki Ndicho Alichokifanya Diamond Ndani ya Dar Live
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alifanya shoo baab’kubwa usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
Na hizi ni baadahi ya picha za shoo hiyo.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-egCIxOIZnMg/Vgv-XKtJ0wI/AAAAAAAAAZE/dI4DXohV8yk/s72-c/llll.jpg)