Hiki ndicho alichokisema Kingwendu baada ya kukosa ubunge
Aliyekuwa mgombea wa ubunge wa jimbo la Kisarawe, Rashid Mwinshehe maarufu kama Kingwendu, amesema baada ya kushindwa, anajipanga upya kwa mwaka 2020. Kingwendu aliyekuwa akigombea kupitia CUF, amesema licha ya kushindwa katika chaguzi huo, ameweza kujitangaza Afrika Mashariki na kuonesha uwezo wake. “Nimejaribu na nimeweza lakini bahati haikuwa yangu,” amesema. “Katika ushindani kuna mawili, kushinda […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-TwemQV8fRCg/VTeIwlVB48I/AAAAAAABMMo/_BHN-bVWe9M/s72-c/11031134_1060472877345892_9130118405578499426_n.jpg)
BAADA YA KUSAMBAA KWA PICHA ZA MWANASHERIA AKIFANANISHWA NA JAMBAZI HIKI NDICHO ALICHOKISEMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TwemQV8fRCg/VTeIwlVB48I/AAAAAAABMMo/_BHN-bVWe9M/s1600/11031134_1060472877345892_9130118405578499426_n.jpg)
Kutokana na kusambaa kwa picha katika mitandao ya kijamii zinazoonyesha vijana wanaosadikika kuwa ni majambazi waliokamatwa na jeshi la polisi siku ya jana, kijana aliyezungushiwa duara ambaye anaonekana katika picha akiwa na wenzake, anafananishwa na kijana anayeonekana akiwa na mwenziwake katika shughuli ya kumvalisha pete ya uchumba mwenzi huyo, ambapo watu...
10 years ago
Bongo Movies17 Mar
Hiki Ndicho Alichokisema Meninah Kuhusu Wema na Kajala
Mrembo na Staa wa Bongo Fleva, ambae nyota na jina lake lilianza kusikika Kupitia shindano la Bongo Star Search (BSS), Meninah La Diva amesema angekuwa na uwezo angewapatanisha mastaa wawili wa Bongo Movies , Wema Sepetu na Kajala Masanja ambao alisema kuwa anawependa sana.
Meninah aliyasema hayo leo alipokuwa akifanya mahojiano na mtangazaji Millard Ayo kwenye c kipindi cha Amplifaya, alipoulizwa kuwa angekuwa na uwezo angewapatanisha mastaa gani ambao wamegombana au hawaelewani kwa namna...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-64EYFkD91oE/VW2qL_Vzc-I/AAAAAAADp1M/s9M5YJGIE7o/s72-c/makongoro_nyerere.jpg)
MBIO ZA URAIS HIKI NDICHO ALICHOKISEMA MAKONGORO JUU YA WAGOMBEA WENZIE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-64EYFkD91oE/VW2qL_Vzc-I/AAAAAAADp1M/s9M5YJGIE7o/s640/makongoro_nyerere.jpg)
Mbio za kusaka urais kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimezidi kushika kasi baada ya mtoto wa tano wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Charles Makongoro Nyerere kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho.Wakati Makongoro akichukua uamuzi huo kwa mara ya kwanza katika historia ya familia ya Mwalimu Nyerere, mkoani Mbeya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya naye ameingia kwenye mbio hizo.
Akitangaza nia yake katika eneo la Mwitongo kijijini Butiama jana,...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3XKn0FD80-w/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-egCIxOIZnMg/Vgv-XKtJ0wI/AAAAAAAAAZE/dI4DXohV8yk/s72-c/llll.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Apr
BAADA YA BEKI WA PSG DAVID LUIZ KUPIGWA MATOBO JANA NA SUAREZ HIKI NDICHO KINACHOENDELEA JUU YAKE.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/10/279FA69200000578-0-image-a-10_1429177156301.jpg)
Standing tall or rooted to the ground? This web jokester likens Luiz to Paris's famous Eiffel Tower
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/10/279FA69A00000578-0-image-a-11_1429177160312.jpg)
This is just nuts! Luiz holds a superimposed jar of Nutella in front of a Parisian skyline in another meme
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/10/279FA6AE00000578-0-image-a-12_1429177163768.jpg)
Luiz is spared in this one as the PSG badge takes centre stage
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/10/279FA69E00000578-0-image-a-13_1429177169149.jpg)
Familiar faces went head-to-head as ex-Chelsea defender Luiz met ex-Liverpool star Suarez - Keanu Reeves' Neo from the Matrix films had the words - in French no less - to say it all
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Hiki ndicho kinachomstahili Warioba?
MWAKA 2012, Tume ya Rais ya Mabadiliko ya Katiba iliundwa chini ya uongozi wa Jaji mstaafu Joseph Warioba. Juni 4, 2013 rasimu ya kwanza ikatoka, na wananchi kupitia makundi mbalimbali...