Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha:Hiki Ndicho Alichokifanya Diamond Ndani ya Dar Live

Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alifanya  shoo baab’kubwa usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.

Na hizi ni baadahi ya picha za shoo hiyo.

DIAMOND881 DIAMOND123 DIAMOND6231 DIAMOND24512 DIAMOND11 DIAMOND8721 DIAMOND89913

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Hiki ndicho alichokifanya Ras Inno kwenye tamasha la ZIFF 2014 linaloendelea visiwani Zanzibar

Na. Mwandishi wetu, Zanzibar

MKALI wa muziki wa rege nchini Innocent Nganyagwa anajiandaa kutoa filamu inayohusu maisha yake kama sehemu ya kufunza kizazi kijacho kuhusu  muziki huo.

Filamu hiyo ambayo itabeba maisha yake ya kuishi katika muziki wa rege inatolewa kama ile ya Jimmy Clief The hader they Come.

Nganyagwa mwenye albamu nne na tuzo tano za hapa nyumbani alisema pamoja na kukaa kimya kwa muda mrefu alikuwa hajaondoka katika muziki wa rege lakini alikuwa anafundisha vijana ili rege...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KUSAMBAA KWA PICHA ZA MWANASHERIA AKIFANANISHWA NA JAMBAZI HIKI NDICHO ALICHOKISEMA

Mwanasheria wa serikali mara baada ya kumvisha pete mchumba wake(hii ndio moja ya picha inayo sambazwa katika mitandao ya kijamii)
Kutokana na kusambaa kwa picha katika mitandao ya kijamii zinazoonyesha vijana wanaosadikika kuwa ni majambazi waliokamatwa na jeshi la polisi siku ya jana, kijana aliyezungushiwa duara ambaye anaonekana katika picha akiwa na wenzake, anafananishwa na kijana anayeonekana  akiwa na mwenziwake katika shughuli ya kumvalisha pete ya uchumba mwenzi huyo, ambapo watu...

 

9 years ago

Bongo5

Sold Out: Diamond Platnumz apafunga Dar Live (Picha)

24

Ilikuwa ni siku ya Christmas, ni Diamond Platnumz stejini na Dar Live ndiyo uwanja wa show, unategemea nini?

24

Ni sold out, ukinyanyua mguu mmoja huwezi kuurudisha tena, nyomi la kufa mtu.

2

Well, hitmaker huyo wa Utanipenda, jana amedhihirisha kuwa ni nyumbani ndiko anakopendwa zaidi kwa kuufunga uwanja wa Dar Live uliopo Mbagala.

3

Ilikuwa ni show ya mtu mmoja iliyovuta maelfu ya mashabiki wa muziki kumshuhudia akiimba wimbo wake mpya Utanipenda na hits zake zingine. Hizi ni picha za show...

 

9 years ago

Global Publishers

Shoo ya kifalme Diamond ndani ya Dar live leo

ymCTBkpSimba wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.

MWANDISHI WETU
Dar es Salaam
SIKUKUU ya Krismasi si ndiyo leo? Jibu ni ‘ndiyooooo!’, sasa habari kamili ni kuwa wakazi wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani, wote wanatarajiwa kukutana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem ambapo Simba wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ atakuwa akifanya makamuzi.

Diamond, staa ambaye anasadikika kupata umaarufu mkubwa nje ya mipaka ya nchi zaidi ya wasanii wengi wa Bongo Fleva katika...

 

9 years ago

Michuzi

Funga Mwaka Concert na Diamond Ndani ya Dar Live.....

IMG_7348Diamond Platnumz akisema na mashabiki wake waliofurika Dar Live usiku wa kuamkia leoIMG_7989Diamond akicheza na mashabiki wake waliofurika Dar Live. IMG_7359Akicheza na wacheza shoo wake wa kike.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ, IDRIS SULTAN NDANI YA DAR LIVE

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' wakati akiwasili katika Ukumbi wa Kisasa wa Dar Live sambamba na mshindi wa BBA, Idris Sultan. Diamond ndani ya Dar Live.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani