Hiki ndicho alichokifanya Ras Inno kwenye tamasha la ZIFF 2014 linaloendelea visiwani Zanzibar
Na. Mwandishi wetu, Zanzibar
MKALI wa muziki wa rege nchini Innocent Nganyagwa anajiandaa kutoa filamu inayohusu maisha yake kama sehemu ya kufunza kizazi kijacho kuhusu muziki huo.
Filamu hiyo ambayo itabeba maisha yake ya kuishi katika muziki wa rege inatolewa kama ile ya Jimmy Clief The hader they Come.
Nganyagwa mwenye albamu nne na tuzo tano za hapa nyumbani alisema pamoja na kukaa kimya kwa muda mrefu alikuwa hajaondoka katika muziki wa rege lakini alikuwa anafundisha vijana ili rege...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi19 Jun
MASHINDANO YA NGALAWA YANOGESHA TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR
![DSC_0217](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_02172.jpg)
11 years ago
Dewji Blog15 Jun
Balozi Sefu Iddi abariki tamasha la 17 la ZIFF 2014 visiwani Zanzibar
Makamu wa Rais wa Pili wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na baadhi ya wageni alipowasili kwenye ufunguzi wa Tamasha la 17 la ZIFF Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya ZIFF Mh. Mahmoud Thabit Kombo.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Mgeni rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Sefu Ali Iddi akisalimiana na Mgeni maalum mwalikwa mwigizaji wa filamu ya MANDELA “Long Walk to Freedom” Terry Pheto ambayo ilifungua tamasha hilo la 17 la ZIFF usiku wa kuamkia leo visiwani...
11 years ago
Dewji Blog19 Jun
Mashindano ya resi za Ngalawa yanogesha tamasha la 17 la ZIFF 2014 visiwani Zanzibar
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya resi za Ngalawa wakijiandaa tayari kwa kuanza mashindano hayo katika shamra shamra za tamasha la 17 la ZIFF 2014 linaloendelea visiwani Zanzibar.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
NGALAWA zote 11 zilizoingia majini kukamilisha mzunguko wa saa mbili wa resi za ngalawa mjini Zanzibar zilimarisha mashamshamu hayo bila najali na timu tatu zilipewa zawadi za ushindi.
Resi za Ngalawa kama zinavyojulikana ni utamaduni halisi wa...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_02172.jpg)
MASHINDANO YA NGALAWA YANOGESHA TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0157.jpg)
BALOZI SEFU IDDI ABARIKI TAMASHA LA 17 LA ZIFF 2014 VISIWANI ZANZIBAR
9 years ago
Bongo Movies27 Dec
Picha:Hiki Ndicho Alichokifanya Diamond Ndani ya Dar Live
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alifanya shoo baab’kubwa usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
Na hizi ni baadahi ya picha za shoo hiyo.
11 years ago
Michuzi21 Jun
RAS INNOCENT NGANYAGWA AKONGA NYOYO ZA WAPENZI WA REGGAE KATIKA TAMASHA LA ZIFF 2014
![DSC_0397](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/UEFQpnVXBmPAoOQCeMNYTOVlx235ECv9OEWUFhkzBgOHPv0sNsuPMhqiUkl0xJDMJNJQdai8S4M1BlgiLbHZ4rpwGzvt17ekNbJNP291HhJFPw=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0397.jpg)
![DSC_0438](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Aj1rvhw5jWLcTaxoW_MMpMLgoe9PpQvHU6rqV_NG3Tsli330ftRaEl3jfruq-jXGcRrCgF11Odks3pOQ6mmJIJ7whyeFQ3aPiZ7n03WoP26ydQ=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0438.jpg)
![DSC_0461](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/xNek0aphFu6lqooka1vFvNPYJ8jlBIQzBqbYYg3k1q7w6cyhbYVP67bi7mEu1Opkv6apbypRtF8VDyQaG-EBlX2KxViwQY_I9ZTFcn61pY218g=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0461.jpg)
MKALI wa muziki wa rege nchini Innocent Nganyagwa anajiandaa kutoa filamu inayohusu maisha yake kama sehemu...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0397.jpg)
RAS INNOCENT NGANYAGWA AKONGA NYOYO ZA WANZIBARI TAMASHA LA ZIFF
9 years ago
Bongo Movies29 Dec
Hiki Ndicho Kilichotoakea Kwenye House Party ya Shilole ‘Karunguyeye’ Usiku wa Jana
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole aka shishi bybee ambaye amejipa jina la Karunguyeye siku ya jana alifanya pati nyumbani kwake ‘House Party’ na kuwaalika baadhi ya mastaa wenzake.
Kajala, Mwasiti, Linnah,Baba Levo, Baby Madah,Millard Ayo, Tudd Thomas na Makomandoo hao nibaadhi ya watu waliohudhulia pati hiyo.
Hizi ni baadhui ya picha za pati hiyo.