MH. LOWASSA ATUA KIGOMA LEO, AKOMBA WADHAMINI 11,250
![](http://2.bp.blogspot.com/-EOBiEL-iTxM/VXwsS8oh5PI/AAAAAAAHfLY/kZkfC8I0S6g/s72-c/MMGL1037.jpg)
Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akiusalimia umati wa wanaCCM pamoja na wananchi wa Mji wa Kigoma, wakati alipowasili kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Kigoma, kusaka wadhamini wa kumsainia fomu za kupata ridhaa za Chama kuwania Urais wa Tanzania. Mh. Lowassa amedhaminiwa na wanaCCM 11,250 wa Mkoa wa Kigoma, leo Juni 13, 2015.
Umati wa WanaCCM pamoja na wananchi wa Mji wa Kigoma, ukiwa umefurika kwenye Uwanja wa Ofisi Kuu ya CCM Mkoa wa Kigoma, kuja kumuona Mh. Edward Lowassa (anaeonekana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Vht6gFvr0JA/VXwqj_VIqmI/AAAAAAAHfK8/X9UWwXnuMIY/s72-c/MMGL0753.jpg)
LOWASSA ATUA KIGOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vht6gFvr0JA/VXwqj_VIqmI/AAAAAAAHfK8/X9UWwXnuMIY/s640/MMGL0753.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--4kM1gcTAlk/VXwqoX9-Q5I/AAAAAAAHfLE/9As1JH7Jw3Q/s640/MMGL0779.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eDVlr-85bb0/VXwsEE6kOFI/AAAAAAAHfLQ/MneE7akQd2A/s640/MMGL0804.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-exS0vTEeFew/VXwscDsei7I/AAAAAAAHfLg/5h8JW9-Q-qY/s640/MMGL0806.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U2td5NnwGwQ/VXwsiK6BR7I/AAAAAAAHfLo/AHcnkROrCJk/s640/MMGL0846.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro0ohKMX7o8/VXwvN3bsjgI/AAAAAAAHfMA/4j3J1-HcNNo/s640/MMGL0868.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0yu_dQjfHA8/VXM_Ff3JN8I/AAAAAAAAUmE/Woo6b_bxjso/s72-c/Lowassa_Borafia.jpg)
MH. LOWASSA ATUA ZANZIBAR KUSAKA WADHAMINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0yu_dQjfHA8/VXM_Ff3JN8I/AAAAAAAAUmE/Woo6b_bxjso/s640/Lowassa_Borafia.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_8_S96F077c/VXM_QWaj9QI/AAAAAAAAUmM/Lwmx_ipXStE/s640/Lowassa_Borafia2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
MCHEZA KWAO HUTUNZWA; Lowassa atua Arusha na kupata wadhamini 120,335
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akikimbia kuelekea jukwaani kuwashjukuru wananchin na wana CCM wa mkoa wa Arusha walioijitokeza wakati akiomba wadhamini Juni 24, 2015. Mh. Lowassa, alipata jumla ya wadhamini 120,335.(Picha na K-VIS MEDIA).
10 years ago
MichuziJANUARI MAKAMBA ATUA BUKOBA LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA NA KUZOA WADHAMINI LUKUKI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LU3q-gQ1NLI/VYQMrzkNjkI/AAAAAAAHheA/qnxECnXFa8E/s72-c/0e1ccb0d84a477f4f15b4486a056c70d.jpg)
Dkt Asha-Rose Migiro apata wadhamini wa kutosha mkoani Kigoma leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-LU3q-gQ1NLI/VYQMrzkNjkI/AAAAAAAHheA/qnxECnXFa8E/s640/0e1ccb0d84a477f4f15b4486a056c70d.jpg)
Katibu wa ccm wilaya ya Kigoma Novati Kibadi akimkabithi form Dkt. Migiro zenye majina 45 alizodhaminiwa na wakazi wa kigoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-dDaDt4fTN0M/VYQM6O7GhXI/AAAAAAAHheI/fHiTzw0MihQ/s640/635f344e0a5a271facb75cb445f73bbd.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-S0RPUX0Ubc8/VYQNJae0QFI/AAAAAAAHheQ/t6GJhuR-G4s/s640/6830d2965c7515c498dc4eaa246590d9.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N97fmeI5axQ/VYQNK871HsI/AAAAAAAHheY/8Dc8Uq3JeNQ/s640/8bcf10c5e902774b7209a7974fd22a45.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Frnhohb87is/VYQNfY2Tu9I/AAAAAAAHheg/hv_0L4J4rDk/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
MH. LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s72-c/MMGL0538.jpg)
LOWASSA AZIDI KUVUNJA REKODI YA WADHAMINI, APATA 9516 MKOANI TABORA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-virgMNFQR-E/VXrkZqOQMJI/AAAAAAAHfAM/5BLkrMq-Hrk/s640/MMGL0538.jpg)
Waziri Mkuu wa Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM waliofika kumdhamini pamoja na wananchi wengine, kwenye viwanja vya ofisi za CCM Tabora Mjini, leo Juni 12, 2015. Mh. Lowassa amepata udhamini wa wana CCM 9516 kwa mkoani Tabora, ikiwa ni muendelezo safari yake ya kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi kimteue kuwania nafasi ya urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-q2BYbb85ZWw/VYw7KctJ3DI/AAAAAAAHkBc/MnGc3okkZ2o/s72-c/MMGL0065.jpg)
LOWASSA AZIDI KUJIPATIA WADHAMINI LUKUKI, WANACCM 42, 405 WAMDHAMINI MKOANI MANYARA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-q2BYbb85ZWw/VYw7KctJ3DI/AAAAAAAHkBc/MnGc3okkZ2o/s640/MMGL0065.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BAjdDyhj9ZY/VYw7NdUaXTI/AAAAAAAHkBs/bzufce38VV4/s640/MMGL0089.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jhaCgPWmE9A/VYw7LHN2KRI/AAAAAAAHkBk/uLs29jrYi-8/s640/MMGL0127.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fItnEA5FhYw/VfRMU-BoYVI/AAAAAAAABu4/izD8sebFzC0/s72-c/OTH_2203.jpg)
LOWASSA ATUA SINGIDA MJINI LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fItnEA5FhYw/VfRMU-BoYVI/AAAAAAAABu4/izD8sebFzC0/s640/OTH_2203.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WJWAy7qSvZg/VfRMVKdJHxI/AAAAAAAABvA/e0OblFoHic4/s640/OTH_2295.jpg)