LOWASSA ATUA SINGIDA MJINI LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-fItnEA5FhYw/VfRMU-BoYVI/AAAAAAAABu4/izD8sebFzC0/s72-c/OTH_2203.jpg)
Wananchi wa Mji wa Singida wakiishangilia Chopa ya Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati ikiwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini Singida leo Septemba 12, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Waziri Mkuu mstaafu, Mh. Fredrick Sumaye wakiwapungua wananchi wa mji wa Singida, mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Peoples, Mjini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HJ1NS4q3tqo/Veh6jtJf57I/AAAAAAAAA8w/0DYhyHz_ZPs/s72-c/OTH_5085.jpg)
LOWASSA ATUA MPANDA KWA CHOPA, APATA MAPOKEZI MAKUBWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-HJ1NS4q3tqo/Veh6jtJf57I/AAAAAAAAA8w/0DYhyHz_ZPs/s640/OTH_5085.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M3_Ms9RieBs/Veh6mIunxZI/AAAAAAAAA84/BNGat4ftJdo/s640/OTH_5107.jpg)
10 years ago
MichuziJANUARI MAKAMBA ATUA BUKOBA LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA NA KUZOA WADHAMINI LUKUKI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ldhhsHFshC4/VYQovTw5PZI/AAAAAAAHhgw/sq6bka5ZxMs/s72-c/0D6A4458.jpg)
WANACCM 53,156 WAMDHAMINI MH. LOWASSA JIJINI MBEYA LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ldhhsHFshC4/VYQovTw5PZI/AAAAAAAHhgw/sq6bka5ZxMs/s640/0D6A4458.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-59AAqYuuq9o/UuvUAI477TI/AAAAAAAFJ9I/URFXWteKT-8/s72-c/unnamed+(19).jpg)
MBUNGE WA SONGEA MJINI, DK EMMANUEL NCHIMBI APATA MAPOKEZI MAKUBWA JIMBONI KWAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-59AAqYuuq9o/UuvUAI477TI/AAAAAAAFJ9I/URFXWteKT-8/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yf3zBtYuylU/UuvUAWYGlEI/AAAAAAAFJ9M/uASLv7pnc_Y/s1600/unnamed+(20).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ds_Fq_yBwtE/VYH3Kzt3a8I/AAAAAAADsIc/HW6n2DJf__0/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE APATA MAPOKEZI MAKUBWA MOSHI MJINI AZOA WADHAMINI WAKUTOSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ds_Fq_yBwtE/VYH3Kzt3a8I/AAAAAAADsIc/HW6n2DJf__0/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-F3LQa-vYgUs/VYH3Kzh1WII/AAAAAAADsIg/-RL1Z9cKzRU/s640/2.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-vNjc9Y0q-V4/Vhll047g17I/AAAAAAAAu0E/v4y7fbn1Q6M/s72-c/OTH_7102.jpg)
LOWASSA APATA MAPOKEZI YA NGUVU MJINI TARIME
![](http://2.bp.blogspot.com/-vNjc9Y0q-V4/Vhll047g17I/AAAAAAAAu0E/v4y7fbn1Q6M/s640/OTH_7102.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2nHQ1Ah0Qbk/Vhll177xGJI/AAAAAAAAu0I/vtF0WIAUzl0/s640/OTH_7127.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cJn5-CZMyo0/VhlnhHejGiI/AAAAAAAAu5k/tFhXYSWB8Zc/s640/OTH_7868.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-K4kwW5Ep4f0/VhlnV8s1hxI/AAAAAAAAu4o/LtcNTx2O_S8/s640/OTH_7752.jpg)
10 years ago
CloudsFM02 Dec
DIAMOND PLATINUMZ ATUA DAR APATA MAPOKEZI YA NGUVU.
Msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametua nchini muda huu akitokea Afrika Kusini alipokwenda kushiriki zoezi la utoaji tuzo za Channel O ambapo alijinyakulia tuzo tatu kwa mpigo. Tuzo alizonyakua staa huyo ni pamoja na Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One.
9 years ago
Bongo504 Sep
Mshambuliaji Dimitar Berbatov apata mapokezi makubwa Ugiriki
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
Rais Kikwete awasili Dar, apata mapokezi makubwa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mmoja wa abiria wakati ndege aliyopanda ilipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29, 2014.
Rais Jakaya...