Lowassa atua kwa Nape, Sumaye, Tambwe wamvaa
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alitua katika Jimbo la Mtama ambalo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye anawania ubunge na kuahidi kujenga viwanda ili kuwasaidia wananchi kuondokana na umaskini ambao alisema anauchukia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
LOWASSA ATUA MPANDA KWA CHOPA, APATA MAPOKEZI MAKUBWA


10 years ago
GPLAMISSI TAMBWE ATUA YANGA, SIMBA YAMNASA BEKI HASSAN KESSY
10 years ago
MichuziLOWASSA- NAWAPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA NA NAPE KWA KAZI KUBWA WANAYOIFANYA YA KUKIIMARISHA CHAMA
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Lowassa, Sumaye ‘kifungoni’
11 years ago
Habarileo14 Feb
Lowassa, Sumaye Ngeleja wahojiwa
AGIZO la Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kutaka kamati za usalama na maadili za chama hicho kubana wanachama wanaokiuka maadili, limeanza kutekelezwa kitaifa kwa wanachama watatu wa chama hicho kuhojiwa.
10 years ago
GPL
LOWASSA, SUMAYE NYUMA YA PAZIA
10 years ago
IPPmedia02 Sep
Lowassa, Sumaye, Mbowe, Mbatia: No comment for now
IPPmedia
IPPmedia
Former Chadema Secretary General Dr Wilbroad Slaa addresses news conference in Dar es Salaam yesterday on his weeks of absence from political forums. The former secretary general of the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ...
Richmond saga 'ex-PM making' - SlaaDaily News
all 5
10 years ago
Habarileo16 Oct
Mzindakaya awanyooshea kidole Lowassa, Sumaye
MWANASIASA mkongwe, Dk Chrisant Mzindakaya amesema mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Ukawa Edward Lowassa, anasukumwa na kundi la watu wenye uchu na uroho wa madaraka kwa kupitia mgongoni mwake kwa manufaa yao binafsi.
10 years ago
Dewji Blog07 Jun
Lowassa atua Zanzibar

Waziri Mkuu wa zamani naMbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowasa, (kulia), akipokewa na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Mjini Unguja, Borafia Silima Juma, wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mkoa wa Mjini, Unguja Jumamosi usiku, Juni 6, 2015. Mh. Lowassa, yuko Zanzibar kutafuta wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015. (Picha na K-VIS MEDIA)
