Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa, Sumaye ‘kifungoni’

 Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imetangaza uamuzi mzito dhidi ya wanachama wake sita ambao hivi karibuni waliitwa na Kamati Ndogo ya Maadili na kuwahoji kutokana na tuhuma za kuanza kabla ya wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa urais wa mwaka 2015.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

LOWASSA, SUMAYE NYUMA YA PAZIA

Na Mwandishi Wetu WAKATI jana Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikitikisa Jiji la Dar kwa kuanza kampeni za uchaguzi mkuu, Oktoba 25, mwaka huu, nyuma ya pazia ya tukio la Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye kuhama chama hicho kwenda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kumeibuka mambo kibao, Uwazi limebainishiwa.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1NR00K6 ...

 

11 years ago

Habarileo

Lowassa, Sumaye Ngeleja wahojiwa

AGIZO la Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kutaka kamati za usalama na maadili za chama hicho kubana wanachama wanaokiuka maadili, limeanza kutekelezwa kitaifa kwa wanachama watatu wa chama hicho kuhojiwa.

 

9 years ago

IPPmedia

Lowassa, Sumaye, Mbowe, Mbatia: No comment for now


IPPmedia
Lowassa, Sumaye, Mbowe, Mbatia: No comment for now
IPPmedia
Former Chadema Secretary General Dr Wilbroad Slaa addresses news conference in Dar es Salaam yesterday on his weeks of absence from political forums. The former secretary general of the opposition Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ...
Richmond saga 'ex-PM making' - SlaaDaily News

all 5

 

9 years ago

Habarileo

Mzindakaya awanyooshea kidole Lowassa, Sumaye

MWANASIASA mkongwe, Dk Chrisant Mzindakaya amesema mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Ukawa Edward Lowassa, anasukumwa na kundi la watu wenye uchu na uroho wa madaraka kwa kupitia mgongoni mwake kwa manufaa yao binafsi.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi yawagomea Lowassa, Sumaye, Mbowe Mwanza

Shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Geita, Aphonce Mawazo aliyeuawa wiki iliyopita iko katika sintofahamu baada ya chama hicho kudai kuzuiwa na polisi kuuchukua mwili huo katika Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC) ulikohifadhiwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa, Sumaye wakosa hafla ya kuapishwa JPM

Mawaziri wakuu wa zamani, Edward Lowassa na Frederick Sumaye jana walikuwa miongoni mwa makada wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao hawakuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais John Magufuli.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa, Sumaye, Ngeleja wajieleza Kamati ya Mangula

>Waliowahi kuwa Mawaziri Wakuu; Edward Lowassa na Frederick Sumaye jana walifika mbele ya Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM kutoa maelezo juu ya tuhuma za kufanya kampeni za urais kabla ya wakati

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa atua kwa Nape, Sumaye, Tambwe wamvaa

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alitua katika Jimbo la Mtama ambalo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye anawania ubunge na kuahidi kujenga viwanda ili kuwasaidia wananchi kuondokana na umaskini ambao alisema anauchukia.

 

9 years ago

Raia Mwema

Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri

AMA kweli Wahenga walisema; ndugu wakigombana chukua jembe ukalime,siku wakipatana chukua kapu uk

Mayage S. Mayage

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani