Lowassa, Sumaye wakosa hafla ya kuapishwa JPM
Mawaziri wakuu wa zamani, Edward Lowassa na Frederick Sumaye jana walikuwa miongoni mwa makada wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao hawakuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais John Magufuli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Mkapa, Sumaye wakosa uzinduzi Bunge la Katiba
>Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na mawaziri wakuu wastaafu, Frederick Sumaye na Cleopa Msuya, jana hawakuhudhuria uzinduzi wa Bunge la Maalumu la Katiba kama ambavyo ilitangazwa na Katibu wa Bunge la Katiba
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/wFl2t2tpDaI/default.jpg)
HAFLA YA KUAPISHWA KWA WAZIRI MKUU.
SIMU.TV: Viongozi Mbalimbali wawasili katika ukumbi wa Ikulu Ya Chamwino Dodoma kushuhudia kiapo cha Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa. SIMU.TV: Mhe. Kassim Majaliwa ni waziri wa 11 tangu Tanzania ipate uhuru wake toka kwa wakoloni.https://youtu.be/w8QL1Xqn-uE SIMU.TV: Makamu wa Rais Mstaafu Mhe. Gharib Bilal awasili kushuhudia kiapo cha Mhe. Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. https://youtu.be/UDtuYyt5jVISIMU.TV: Hatimaye Waziri mkuu mteule na Rais Magufuli wawasili ndani ya ukumbi wa Ikulu...
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s640/j1.jpg)
HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEKEA KUAPISHWA KWA RAIS DK. MAGUFULI
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi usiku kwa ajili ya mchapalo maalum ulioandaliwa na Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli kusherehekea kuapishwa kwake. Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.… ...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PiJUG1k8eHU/VjvJBBS2NaI/AAAAAAAIEh4/iPUigMuECb8/s72-c/j4.jpg)
HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEHEA KUAPISHWA KWA RAIS DKT MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-PiJUG1k8eHU/VjvJBBS2NaI/AAAAAAAIEh4/iPUigMuECb8/s640/j4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OdeDs3NfXn4/VjvLBP8KQwI/AAAAAAAIEjg/V3FbetKVVc0/s640/j5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Eu3NqRs9qsg/VjvMpvz3AgI/AAAAAAAIEk0/_rrWsyVNwco/s640/j6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ylgyM61Pknk/VjvGQ5WjUhI/AAAAAAAIEeQ/jD43al7C6yU/s640/j16.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jg0wNQVSgfU/U4BdHWXDFHI/AAAAAAAFkuM/dc3sRMKFZRo/s72-c/20140524_102810.jpg)
wengi wajitokeza kwenye hafla ya kuapishwa kwa Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jg0wNQVSgfU/U4BdHWXDFHI/AAAAAAAFkuM/dc3sRMKFZRo/s1600/20140524_102810.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s72-c/j1.jpg)
HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEHEA KUAPISHWA KWA RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s640/j1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fVR6X_9naFk/VjvG8BgfcvI/AAAAAAAIEfE/OwnOs2yzKFU/s640/j2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0wCTSx1Bo-E/VjvILEfyaHI/AAAAAAAIEgg/8wDoy7L5xkw/s640/j3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PiJUG1k8eHU/VjvJBBS2NaI/AAAAAAAIEh4/iPUigMuECb8/s640/j4.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-seo3T2PCW_Q/VoYteNT4CgI/AAAAAAAIPoc/EuBX-VtFyfQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
FATILIA LIVE HAFLA YA KUAPISHWA KWA MAKATIBU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU INAYOYANYIKA IKULU HIVI SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-seo3T2PCW_Q/VoYteNT4CgI/AAAAAAAIPoc/EuBX-VtFyfQ/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
BOFYA HAPA KUONA LIVE HAFLA HIYO
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Lowassa, Sumaye ‘kifungoni’
 Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imetangaza uamuzi mzito dhidi ya wanachama wake sita ambao hivi karibuni waliitwa na Kamati Ndogo ya Maadili na kuwahoji kutokana na tuhuma za kuanza kabla ya wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa urais wa mwaka 2015.
11 years ago
Habarileo14 Feb
Lowassa, Sumaye Ngeleja wahojiwa
AGIZO la Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kutaka kamati za usalama na maadili za chama hicho kubana wanachama wanaokiuka maadili, limeanza kutekelezwa kitaifa kwa wanachama watatu wa chama hicho kuhojiwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10