Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkapa, Sumaye wakosa uzinduzi Bunge la Katiba

>Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na mawaziri wakuu wastaafu, Frederick Sumaye na Cleopa Msuya, jana hawakuhudhuria uzinduzi wa Bunge la Maalumu la Katiba kama ambavyo ilitangazwa na Katibu wa Bunge la Katiba

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Lowassa, Sumaye wakosa hafla ya kuapishwa JPM

Mawaziri wakuu wa zamani, Edward Lowassa na Frederick Sumaye jana walikuwa miongoni mwa makada wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambao hawakuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais John Magufuli.

 

11 years ago

Dewji Blog

Sherehe za uzinduzi wa mbio za Mwenge zawakumbusha Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kuwa Wazalendo

 

MW1A Makamu wa Rais wa Jahuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohamed Gharib Bilal akipokea kijingi cha moto kutoka kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara, tayari kwa kuuwasha Mwenge wa Uhuru na kuzindua rasmi mbio za mwenge huo leo mjini Bukoba Mkoani Kagera.

Na: Aron Msigwa na Frank Shija- MAELEZO

Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal ametoa wito kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kufanya maamuzi yanayozingatia maslahi mapana ya taifa ili kufanikisha...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkapa amvaa Sumaye akidai anapotosha wananchi

Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa juzi alianza kuruka na chopa katika kampeni za mwisho za kumnadi mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli na alitumia fursa hiyo kumvaa aliyekuwa waziri wake mkuu kwa miaka 10, Frederick Sumaye.

 

9 years ago

Habarileo

Mkapa kunogesha uzinduzi kampeni za CCM Kagera

RAIS mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa leo anatarajiwa kuzindua kampeni za CCM mkoa wa Kagera kwenye Uwanja wa Uhuru mjini hapa.

 

11 years ago

Michuzi

SUMAYE AFUNGUKA YA MOYONI WAKATI WA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO

Waziri Mkuu Mstaafu,Mh Frederick Sumaye alipokuwa akizungumza jana kwenye uzinduzi wa albamu mpya ya Mwimbaji mahiri wa nyimbo za Injili nchini,Rose Muhando iliyojulikana kwa jina la Shikilia Pindo la Yesu,uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MSTAAFU,MKAPA KUWA MGENI RASMI KATIKA UZINDUZI WA FILAMU “HAMU YA MAFANIKIO”

 Meneja Mkuu wa Mauzo ,Wateja Wadogo na Wakubwa wa Benki ya DCB,Haika Machaku ,akizungumza na waandishi  wa habari juu ya uzinduzi wa filamu iitwayo Hamu ya Mafanikio itakayozinduliwa siku ya Jumamosi,25 June 2015 katika ukumbi wa Cinema wa Dar Free Zone.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa CONSNET GROUP LTD,Sanctus Mtsimbe. Mkurugenzi Mtendaji wa CONSNET GROUP LTD,Sanctus Mtsimbe akizungumza na Waandishi wa Habari juu wa uzinduzi wa filamu hiyo siku ya Jumamosi,25 June 2015 katika ukumbi wa...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

 Sisi Wawakilishi wa Jumuiya na Taasisi za Dini, tuliopendekezwa na Taasisi zetu na baadaye kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kushauriana na Rais wa Zanzibar kuwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, na kula kiapo cha utekelezaji wa jukumu hili kubwa.Tukiamini kuandaa Katiba Mpya kwa maridhiano ya Kitaifa kwa wananchi wote, tulipokea jukumu hili kama wajibu wetu Kitaifa.  Aidha tunaamini kwamba katika kupata maridhiano ya Kitaifa ni muhimu kuheshimu kila wazo na...

 

11 years ago

TheCitizen

Mkapa, Mwinyi set to rescue Katiba process

Former presidents Benjamin Mkapa and Ali Hassan Mwinyi will be among the eminent persons who will lead a team of 100 delegates to put back on track the stalled Constitution making process, The Citizen has learnt.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani