RAIS MSTAAFU,MKAPA KUWA MGENI RASMI KATIKA UZINDUZI WA FILAMU “HAMU YA MAFANIKIO”
Meneja Mkuu wa Mauzo ,Wateja Wadogo na Wakubwa wa Benki ya DCB,Haika Machaku ,akizungumza na waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa filamu iitwayo Hamu ya Mafanikio itakayozinduliwa siku ya Jumamosi,25 June 2015 katika ukumbi wa Cinema wa Dar Free Zone.Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa CONSNET GROUP LTD,Sanctus Mtsimbe.
Mkurugenzi Mtendaji wa CONSNET GROUP LTD,Sanctus Mtsimbe akizungumza na Waandishi wa Habari juu wa uzinduzi wa filamu hiyo siku ya Jumamosi,25 June 2015 katika ukumbi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kxy1YyVrkYk/VQ1nxeIqANI/AAAAAAADdAQ/yCEBQ-ZnEH8/s72-c/Ali_Hassan_Mwinyi.jpg)
MHESHIMIWA ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWA MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA CHAUKIDU APRIL 23
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fapi.ning.com%2Ffiles%2FebhDxq3vSqjYFAE7ALRDjqlG6buY47wYiglzHj0palxIn1Kzu*mk5fwYtuNfsA7ODuIYKOuimnMgTmBayAtcodIb1CT7ki6G%2F1.gif&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kxy1YyVrkYk/VQ1nxeIqANI/AAAAAAADdAQ/yCEBQ-ZnEH8/s1600/Ali_Hassan_Mwinyi.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DaP7jSFixbM/VQ1nyR4J9zI/AAAAAAADdAY/aRBoUKNMo2Y/s1600/Chaukidu_Flyer%5B1%5D.bmp)
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411(Tumaini), 301-793-2833 (Asha) na 202-830-6555 (Dr. Magembe) kununua tiketi moja kwa...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Rais Magufuli kuwa mgeni rasmi katika Mkesha Mkubwa wa Kitaifa wa kuliombea Taifa
10 years ago
MichuziMH. PINDA KUWA MGENI RASMI UZINDUZI WA JUKWAA LA KILIMO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s72-c/MAKONDA.jpg)
PAUL MAKONDA KUWA MGENI RASMI UZINDUZI WA CHAMA CHA WAPISHI WA KEKI NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rLVISgdqld0/VkLphBPskfI/AAAAAAADCG0/SJgF1_06ams/s400/MAKONDA.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini DSM, mwenyekiti wa muda wa umoja huo PHILIP MBONDE amesema umoja huo utaweza kuwaunganisha wapishi wa keki na wanaojishughulisha na biashara ya cake nchini na kuweza kujumuika pamoja katika majukumu mbali mbali.
“ Hili ni jambo jipya hapa nchini, wapo wajasiriamali...
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Rais Kikwete kuwa Mgeni rasmi katika Kikao cha kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI Mhe. Hawa A. Ghasia akiwakaribisha wajumbe wa Kikao kazi cha Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu Msingi kinachofanyika katika ukumbi wa Chimwaga, Chuo Kikuu cha Dodoma kuanzia tarehe 01-03 Oktoba, 2014. Lengo la kikao hicho ni kuainisha Mafanikio na Changamoto katika utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa katika Sekta ya Elimu.
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kwa kushirikiana na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo wameandaa kikao cha kazi kuhusu...
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ Desemba 7, 2014
Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto (kulia). Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.
Na Mwandishi Wetu.
WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda ametajwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa albamu ‘Usilie’ ambayo itapatikana kwenye DVD Desemba 7, mwaka huu.
Akizungumza Dar es Salaam jana kwenye mkutano na waandishi wa habari, Mkurugenzi wa kwaya ya ‘Family Singers’ Daniel Misheto, alisema hafla hiyo itafanyika kwenye Ukumbi wa PTA uliopo Uwanja wa Sabasaba, Dar es...
10 years ago
VijimamboNYAMA CHOMA YA SHEREHE YA MUUNGANO, RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AWA MGENI RASMI
10 years ago
MichuziFILAMU YA HAMU YA MAFANIKIO ‘DESIRE TO SUCCEED’ IMENDULIWA JANA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-GN-49MkWW-o/VQtVMkGKn7I/AAAAAAAAIFg/sEN5ZpO1jD0/s72-c/IMG_2090.jpg)
Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi TUZO YA JAMII
![](http://2.bp.blogspot.com/-GN-49MkWW-o/VQtVMkGKn7I/AAAAAAAAIFg/sEN5ZpO1jD0/s640/IMG_2090.jpg)
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa tuzo hizo Gadiel Urioh, tuzo hizo zitatolewa kwenye ukumbi wa Julius Nyerere Convention Center jijini Dar Es Salaam.
Utaratibu mzima wa upigaji kura umefafanuliwa kwenye video na / ama taarifa kwa vyombo vya habari hapa chini
![](http://3.bp.blogspot.com/-BXEQa34Cdw0/VQtVMQwtdmI/AAAAAAAAIFY/iWUQiy6FYqE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ktM1bdUAnv4/VQtVMrW-CNI/AAAAAAAAIFc/t3j4zanEPdY/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FzoBrhudSMg/VQtVNAXY_sI/AAAAAAAAIFk/mJAC-ZoHn14/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AG1aAGRcMHo/VQtVNX3mZ9I/AAAAAAAAIFo/jCn62-MUeZE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0004.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwTVYv2PME0/VQtVNbW2g-I/AAAAAAAAIFw/02uywSGMzvE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ex3dfsFRPLI/VQtVNrEQqRI/AAAAAAAAIF0/RqAJ3Txhm5s/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0006.jpg)