Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkapa amvaa Sumaye akidai anapotosha wananchi

Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa juzi alianza kuruka na chopa katika kampeni za mwisho za kumnadi mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli na alitumia fursa hiyo kumvaa aliyekuwa waziri wake mkuu kwa miaka 10, Frederick Sumaye.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

VITA YA URAIS 2015: Sumaye amvaa January Makamba

WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu mapigo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkapa, Sumaye wakosa uzinduzi Bunge la Katiba

>Rais mstaafu, Benjamin Mkapa na mawaziri wakuu wastaafu, Frederick Sumaye na Cleopa Msuya, jana hawakuhudhuria uzinduzi wa Bunge la Maalumu la Katiba kama ambavyo ilitangazwa na Katibu wa Bunge la Katiba

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Rushwa inaumiza wananchi

WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, ametaja aina tatu ya rushwa zinazoitafuna nchi, ambazo ni rushwa kujikimisha haramu, rushwa ulafi na rushwa madaraka uroho.

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AKUTANA NA MZEE MKAPA NA MAMA ANNA MKAPA JIJINI MWANZA

PG4A2748Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako atakuwa  mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza.
PG4A2753Waziri Mkuu Mizengo  Pinda akizungumza na  Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa na mkewe Mama Anna Mkapa kwenye Ikulu ya Mwanza  ambako  atakuwa   mgeni rasmi katiaka harambee ya Mkapa Foundation inayotarajiwa kufanyika  jijini Mwanza. (Picha na Ofisi ya Waziri...

 

10 years ago

GPL

AMTWANGA MKEWE AKIDAI AMEMFUMANIA

Na Mwandishi Wetu, Mbeya SHANGAA! Mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Tumaini Mwashambo (28), mkazi wa Mtaa wa Half Londan, Kata ya Sogea wilayani Momba, Mbeya amejikuta akipokea kipigo kikali kutoka kwa mumewe, Jamsoni Vicent (34) akidai amemfumania na mtoto wa miaka 16 ‘Serengeti boi’. Tumaini Mwashambo anayedaiwa kupigwa na mumewe. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Jamsoni alisema ni mara ya pili...

 

11 years ago

Habarileo

Ajinyonga akidai kadanganywa na mwanaume

MAMA lishe Sofia Kihagu (28), mkazi wa Tabata Msimbazi amekutwa amejinyonga chumbani kwake hadi kufa kwa madai ya kudanganywa na mwanaume.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muhubiri awabaka wanawake akidai kuwaponya

Muhubiri wa zamani aliyedai kuwa na 'nguvu za kuponya' amepewa adhabu ya kifungo cha nje cha miaka ishirini kwa kuwabaka wanawake watatu

 

11 years ago

Habarileo

Aua mke mjamzito akidai mvivu wa kulima

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariMJAMZITO Agatha Isack (19) amekufa kwa kipigo kutoka kwa mumewe akisaidiwa na mwanamke anayeaminika kuwa hawara yake, akimtuhumu kuwa mvivu wa kulima shambani.

 

11 years ago

Mwananchi

Baba anyonga mtoto akidai si wa kwake, atoroka nyumbani

>Mtoto mchanga wa umri wa wiki mbili, ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, katika ugomvi wa kifamilia, uliotokea katika Kijiji cha Ibamba, wilayani Bukombe, katika Mkoa wa Geita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani