Ajinyonga akidai kadanganywa na mwanaume
MAMA lishe Sofia Kihagu (28), mkazi wa Tabata Msimbazi amekutwa amejinyonga chumbani kwake hadi kufa kwa madai ya kudanganywa na mwanaume.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-5bpIq0OwpzFCEN7z53*v7tfUR7NGFFbOgDIgFeHT0mW9axe1z1vNzZ0Fldw4weCkz3X2MRX7zemD4zBIrdiPXu/AJINYONGA.jpg?width=650)
MWANAUME AJINYONGA...
Na Waandishi Wetu
NI simulizi ya majonzi! Fundi seremala Samuel Masanja, mkazi wa Ilala jijini Dar amechukua ‘maamuzi’ magumu ya kujinyonga hadi kufa kwa kile kinachodaiwa kuwa ni msongo wa mawazo kwa sababu ya madeni yaliyosababishwa na kuwepo kwa uhusiano wake na kimada mmoja. Kwa mujibu wa mtu wa karibu na marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Stany, kipindi cha uhai wake Samuel hakuwa na maelewano mazuri na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/80HUFF25OCAeFNItJTYx088ZRml53FVnEYtyGwTf60*uVBZmMgtgI8eINtiH7kzoai6fwpAwd*nvspFFhr2Tw0HEEXE7xHR0/Mbeya.jpg?width=650)
AMTWANGA MKEWE AKIDAI AMEMFUMANIA
Na Mwandishi Wetu, Mbeya SHANGAA! Mwanamke mmoja aliyetajwa kwa jina la Tumaini Mwashambo (28), mkazi wa Mtaa wa Half Londan, Kata ya Sogea wilayani Momba, Mbeya amejikuta akipokea kipigo kikali kutoka kwa mumewe, Jamsoni Vicent (34) akidai amemfumania na mtoto wa miaka 16 ‘Serengeti boi’. Tumaini Mwashambo anayedaiwa kupigwa na mumewe. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Jamsoni alisema ni mara ya pili...
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Muhubiri awabaka wanawake akidai kuwaponya
Muhubiri wa zamani aliyedai kuwa na 'nguvu za kuponya' amepewa adhabu ya kifungo cha nje cha miaka ishirini kwa kuwabaka wanawake watatu
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Mkapa amvaa Sumaye akidai anapotosha wananchi
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa juzi alianza kuruka na chopa katika kampeni za mwisho za kumnadi mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli na alitumia fursa hiyo kumvaa aliyekuwa waziri wake mkuu kwa miaka 10, Frederick Sumaye.
11 years ago
Habarileo04 May
Aua mke mjamzito akidai mvivu wa kulima
MJAMZITO Agatha Isack (19) amekufa kwa kipigo kutoka kwa mumewe akisaidiwa na mwanamke anayeaminika kuwa hawara yake, akimtuhumu kuwa mvivu wa kulima shambani.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Baba anyonga mtoto akidai si wa kwake, atoroka nyumbani
>Mtoto mchanga wa umri wa wiki mbili, ameuawa kwa kunyongwa shingo na baba yake mzazi, katika ugomvi wa kifamilia, uliotokea katika Kijiji cha Ibamba, wilayani Bukombe, katika Mkoa wa Geita.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1wRLyT8SjvKDnl6l0aEDBybXGewpyBis9AJySvrbf-JqlCAVlUbjAvd8Ylag-I8d6hFZ9eGUq1AdrEahDUyD8RP/1.jpg)
NABII AWALAZIMISHA WAFUASI WAKE KULA NYOKA AKIDAI CHOCOLATE
KATIKA hali ya kushangaza, nabii mmoja nchini Afrika Kusini ajulikanaye kwa jina la Penuel Mnguni, kutoka End Time Disciples Ministries, wikiendi iliyopita aliamua kuwalazimisha waumini wake kuna nyoka akidai kuwa amembadili nyoka huyo kuwa chocolate. Nabii huyo alidai kuwa nyoka hawezi kumdhuru mtu yeyote anayemla na hiyo ni ishara kula tayari amebarikiwa. Tuna mamlaka ya kubadilisha kitu chochote na kitakubali maana tuna...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Kijana aishi kwa kula mifuko ya plastiki akidai ‘ni mitamu’
Kijana mwenye umri wa miaka 23 amejikuta katika wakati mgumu, baada ya kuathiriwa na tabia ya kula mifuko na bidhaa za plastiki.
10 years ago
GPLMAMA MJANE ANA SIKU TATU HAJATOKA NJE AKIDAI KUTISHIWA KUUWAWA KISA ARDHI
Mama Aureria Msuya (mjane) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Waandishi wa habari wakizungumza na mama huyo(hayupo pichani) akiwa kajifungia ndani.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania