MAMA MJANE ANA SIKU TATU HAJATOKA NJE AKIDAI KUTISHIWA KUUWAWA KISA ARDHI
Mama Aureria Msuya (mjane) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Waandishi wa habari wakizungumza na mama huyo(hayupo pichani) akiwa kajifungia ndani.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Sep
Mjane alazimika kulala nje siku tatu Arusha Kisha hiki hapa:
Mjane Agnes Paulo Makuru amelazimika kulala nje kwa siku ya tatu sasa na mali zake kutolewa nje, baada ya mahakama kutengua uamuzi wa awali uliomtaja kuwa mrithi halali wa Nyumba ya Marehemu mumewe katika maeneo ya Kona ya Mbauda na Mto wa mbu Arusha.
Akiwa katika eneo la Kona Mbauda anapoendelea kulinda mali zake zilizotolewa nje, Agnes amesema kuwa walipata barua ya mahakama ikiwahamuru kukabidhi hati za nyumba mbili iliyoko eneo la kona ya Mbauda pamoja na nyumba iliyoko Mto wa Mbu...
10 years ago
Habarileo20 Sep
Marufuku kutoka nje siku tatu
SIERRA Leone jana ilianza siku tatu za kujifungia ndani kwa wananchi wote, ikiwa ni hatua ya kukabiliana na kusambaa kwa ugonjwa wa ebola.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq--rRXlKjKxGC*IQVPLL0LfT9s7h8wVhh9JmxkrwEjfugVI2eyAADbIWjAvHJQysSFizNofX87RJwjAxMhqFAQY/MUHIMBI.jpg)
MUHIMBILI VIFO NJE NJE KISA DAWA HAKUNA
10 years ago
Habarileo07 Sep
Mchungaji afa na miaka 114, mjane ana miaka 30
MCHUNGAJI Samuel Sadela (114), wa Kanisa la Gospel Apostolic huko Nigeria aliyehubiri kwa miaka 82 amefariki dunia na kuacha mjane mwenye umri wa miaka 30 aitwaye Christina aliyemuoa miaka saba iliyopita.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kf95AL0NnSE/U-4laRFyU1I/AAAAAAAF_48/ygC08bshZqs/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
Mjane wa Rais wa Awamu ya TATU wa ZANZIBAR MAREHEMU Idrisa Abdulwakil Afariki Dunia, azikwa leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-kf95AL0NnSE/U-4laRFyU1I/AAAAAAAF_48/ygC08bshZqs/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YC9GFKqnbTQ/U-4la98EYfI/AAAAAAAF_5A/Ksk7yLBQrAM/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
Bongo522 Dec
Tyga apanga kumchukua mwanae kutoka kwa Blac Chyna akidai mama yake anakula bata 24/7
11 years ago
Michuzi21 Mar
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe Alipompokea Binti Mfalme wa Sweden, Mtukufu Victoria Lugrid Alice Desiree mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/cqFp6Srv9Qo/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRkMQfncoUulvRxhJbyXcaPNw6BrOmm*Qm-4f6iq6onJ53F7erB4ZTgfzlzZspvKmYs8CJ2zk0Qp989xDA3LICiw/CHEKI.jpg)
CHEKIBUDI ANA WATOTO 7, MABINTI HAWAMTAKI KISA MANDEVU!