Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe Alipompokea Binti Mfalme wa Sweden, Mtukufu Victoria Lugrid Alice Desiree mara baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimpokea Binti Mfalme wa Sweden, Mtukufu Victoria Lugrid Alice Desiree mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere, nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Tarehe 19 hadi 21 Machi, 2014.
Mhe. Membe akiwa katika mazungumzo na Binti Mfalme wa Sweden, Mtukufu Victoria Lugrid Alice Desiree mara baada ya kuwasili nchini.
Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f7F1oiHzaNA/UynU6WNPU7I/AAAAAAAFVDo/wM5T6nKK7y0/s72-c/unnamed+(38).jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA BINTI MFALME WA SWEDEN HRH Crown Princess Victoria Lugrid Alice Desiree leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-f7F1oiHzaNA/UynU6WNPU7I/AAAAAAAFVDo/wM5T6nKK7y0/s1600/unnamed+(38).jpg)
10 years ago
Mwananchi06 May
Bernard Kamillius Membe: Waziri wa Mambo wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
11 years ago
MichuziBinti Mfalme wa Sweden aendelea na ziara yake nchini
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UFARANSA
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA BARAZA LA TISA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA JIJINI DAR LEO.
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE MHE MAHADHI JUMA MAALIM AFANYA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UFARANSA
9 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA NCHINI KUTEMBEA WAGENI WA KIMATAIFA MAKUMBUSHO YA TAIFA
10 years ago
Vijimambo08 Jan
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akutana na Balozi wa Syria