Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHEKIBUDI ANA WATOTO 7, MABINTI HAWAMTAKI KISA MANDEVU!

MIPANGO
Chekibudi wewe ni msanii mahiri wa filamu Bongo, je, una mpango gani wa kujiendeleza kwa sasa na uigizaji? Salim Liundi, Dar, 0659601205
CHEKIBUDI:  Asante, kuhusu kujiendeleza ni kwamba kazi zangu zipo nyingi na nitaendelea kutoa zenye ubora zaidi, pia nina mpango wa kufungua kampuni yangu. Msanii mahiri wa filamu Bongo,Nasoro Awardhi 'Cheki Budi'. VIPI KUTOKA KIMATAIFA?
Kwanza nakupa hongera kwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA MJANE ANA SIKU TATU HAJATOKA NJE AKIDAI KUTISHIWA KUUWAWA KISA ARDHI

Mama Aureria Msuya (mjane) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). Waandishi wa habari wakizungumza na mama huyo(hayupo pichani) akiwa kajifungia ndani.…

 

10 years ago

BBC News

DR Congo conflict: Gen Bruno Mandevu 'should be replaced'


BBC News
DR Congo conflict: Gen Bruno Mandevu 'should be replaced'
BBC News
A leading rights group in the Democratic Republic of Congo has called on the government to annul a controversial general's appointment to lead the fight against rebels. Gen Bruno Mandevu could not run operations against the FDLR rebel group because he ...
Congo: Is This The End Of FDLR?Strategy Page
DR Congo and Rwanda's FDLR rebels: Why Tanzania could end up eating ...Mail & Guardian Africa

all 4

 

10 years ago

GPL

WATOTO WACHOMWA MOTO, KISA HAWARA WA BABA

Stori: Shani Ramadhani
INASIKITISHA sana! Vijana wawili, Jumanne Omar (17) na Mgeni Rashidi Rajabu (16) (aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Keko), Dar, wakazi wa Mtoni Madafu, Temeke wameuawa kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali baada ya kudhaniwa kuwa ni wezi. Marehemu Jumanne Omar enzi za uhai wake. Tukio hilo la kinyama lilitokea wiki iliyopita Gongo la Mboto, Dar ambapo kijana...

 

11 years ago

GPL

CHEKIBUDI ADAIWA KUDHULUMU

Na Mayasa Mariwata STAA wa sinema za Kibongo, Nurdin Mohammed ‘Chekibudi’ amejikuta ameingia kwenye bifu kali na mwigizaji Helen Luanda ‘Zerishi’ baada ya mwanadada huyo kumtuhumu kuwa amemdhulumu kazi yake ya filamu. Staa wa sinema za Kibongo, Nurdin Mohammed ‘Chekibudi’. Akipiga stori na paparazi wetu, Zerishi alisema aliamua kumshirikisha Chekibudi kwenye kazi yake na kukubaliana naye...

 

10 years ago

GPL

DULLY: HAJAOA, ANA WATOTO WANNE, KILA MMOJA NA MAMA YAKE

Mwana muziki wa Bongo Fleva, Dully Sykes. Na Saphyna Mlawa
Dar es Salaam
UNAPOLITAJA jina la Dully Sykes katika ulimwengu wa Muziki wa Bongo Fleva hakuna shabiki wa muziki huo ambaye atasema hamfahamu kijana huyu aliyekulia mitaa ya Kariakoo na Ilala jijini Dar. Mtindo wake wa majivuno na kujisifia ni kati ya vitu vilivyomfanya achukiwe na wengi, hali ambayo mwenyewe aliiona kama sifa kubwa ambayo ilisababisha kujiita Mr...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chekibudi afikiria kutema uigizaji

MSANII wa siku nyingi katika tasnia ya filamu, Mohamed Nurdin ‘Chekibudi, amesema mwaka huu 2013 kwake ulikuwa mbaya kutokana na kushindwa kuachia kazi hata moja sokoni jambo linalomfanya kufikiria kuachana...

 

10 years ago

Habarileo

Terati waandamana na marungu hawamtaki diwani

WANANCHI zaidi ya 500 wameandamana mwishoni mwa wiki hadi eneo la Unga Limited ambako walizuiwa na polisi, kabla ya kufika kwa Mkuu wa Wilaya Arusha.

 

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Ndoa ya watoto yageuka majanga, nusura amuue mke kisa ng’ombe

>Ni muda wa saa 5:45 asubuhi tunafika nyumbani kwa  Simioni  Sagire, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mifugo katika kijiji cha Kwitete kata ya Nyamoko wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara.

 

10 years ago

Michuzi

MDAU PALLA ANA KWA ANA NA RAIS MSTAAF BENJAMINI MKAPA

Mwandishi wa habari wa kituo cha uhuru Fm Athumani Palla na mkewe Rukia Bakari wakiwa katika picha ya pamoja na Rais mstaafu Mh.Benjamin Mkapa Ofisini kwake Upanga hapo jana jijini Dar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani