Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chekibudi afikiria kutema uigizaji

MSANII wa siku nyingi katika tasnia ya filamu, Mohamed Nurdin ‘Chekibudi, amesema mwaka huu 2013 kwake ulikuwa mbaya kutokana na kushindwa kuachia kazi hata moja sokoni jambo linalomfanya kufikiria kuachana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mzee Majuto afikiria kukacha uigizaji

MCHEKESHAJI mkongwe katika tasnia ya filamu nchini, Amri Athuman ‘Mzee Majuto’, amesema mazingira ya soko la filamu kwa sasa yanamkatisha tamaa na hivyo kumfanya kila wakati afikirie kustaafu na kuhamia...

 

11 years ago

GPL

CHEKIBUDI ADAIWA KUDHULUMU

Na Mayasa Mariwata STAA wa sinema za Kibongo, Nurdin Mohammed ‘Chekibudi’ amejikuta ameingia kwenye bifu kali na mwigizaji Helen Luanda ‘Zerishi’ baada ya mwanadada huyo kumtuhumu kuwa amemdhulumu kazi yake ya filamu. Staa wa sinema za Kibongo, Nurdin Mohammed ‘Chekibudi’. Akipiga stori na paparazi wetu, Zerishi alisema aliamua kumshirikisha Chekibudi kwenye kazi yake na kukubaliana naye...

 

10 years ago

Habarileo

Kilosa kutema 721 kidato 1 kwa kukosa madarasa

HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro imekumbwa na upungufu wa vyumba vya madarasa na kusababisha wanafunzi 721 sawa na asilimia 20.4, waliofaulu mtihani wa darasala saba kushindwa kuchaguliwa kutokana na kukosa nafasi katika shule zilizoko kwenye maeneo yao.

 

11 years ago

GPL

CHEKIBUDI ANA WATOTO 7, MABINTI HAWAMTAKI KISA MANDEVU!

MIPANGO
Chekibudi wewe ni msanii mahiri wa filamu Bongo, je, una mpango gani wa kujiendeleza kwa sasa na uigizaji? Salim Liundi, Dar, 0659601205
CHEKIBUDI:  Asante, kuhusu kujiendeleza ni kwamba kazi zangu zipo nyingi na nitaendelea kutoa zenye ubora zaidi, pia nina mpango wa kufungua kampuni yangu. Msanii mahiri wa filamu Bongo,Nasoro Awardhi 'Cheki Budi'. VIPI KUTOKA KIMATAIFA?
Kwanza nakupa hongera kwa… ...

 

11 years ago

Michuzi

TIMU NZIMA YA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA YAELEKEA MKOANI MWANZA KWAAJILI YA KUANZA ZOEZI LA KUSAKA VIPAJI VYA UIGIZAJI TANZANIA

Timu nzima ya Tanzania Movie Talents kutoka kampuni ya Proin Promotions Limited wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuanza safari ya kuelekea Mwanza kwaajili ya shindano la kutafuta Vipaji vya Uigizaji Tanzania ambapo shindano hili litaanzia katika Kanda ya Ziwa katika Mkoa wa Mwanza Kuanzia tarehe 5 April 2014 mahali ni Isamilo Lodge. Mdau Karimu Muhidin Michuzi na Baadhi ya vijana wa kazi katika timu ya kusaka vipaji wakiwa tayari kwa safari ya Mwanza. Mabasi yakiwa tayari kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Avril afikiria kuingia kwenye utangazaji wa TV

11934732_674761035993224_863885011_n

Muimbaji wa Kenya, Avril huenda siku za usoni akaonekana kwenye screen yako akiendesha kipindi cha TV.

12145175_686805931419572_2121712968_n

Avril ameiambia Word Is ya gazeti la The Star la Kenya kuwa amekuwa akifuatwa na watu wengi wanaompa ofa ya kufanya talk show lakini bado hajazitilia maanani.

Yeye mwenyewe pia amesema kwa muda mrefu amekuwa akivutiwa kuendesha kipindi cha TV na kuna uwezekano wa kufanya hivyo siku za usoni.

“Ingawa muziki ni kitu ninachokipenda zaidi, nimewahi kupenda televisheni pia. Labda siku za usoni...

 

11 years ago

GPL

LUIZA MBUTU AFIKIRIA KUIKACHA TWANGA

MUIMBAJI mahiri na Kiongozi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Luiza Nyoni Mbutu amesema kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika dunia ya sasa, anafikiria kuachana na bendi hiyo na kuwa mama wa nyumbani tu. Mwimbaji mahiri na Kiongozi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Luiza Nyoni Mbutu Akizungumza na Amani juzi jijini Dar, Luiza alisema imefika mahali anawaza kuwa mama wa nyumbani...

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli afikiria kuondoa malori Dar es Salaam

Malori ya mizigo na mafuta yakiwa kwenye msururu kwenye Barabara ya Mandela, eneo la Tazara, Dar es Salaam jana. Serikali ipo mbioni kuhamishia malori yote eneo la Ruvu ili kupunguza msongamano jijini. (Picha na Fadhili Akida).WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema anafikiria namna ya kuondoa malori ya mizigo katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza tatizo la foleni na kuzuia uharibifu wa barabara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani