LUIZA MBUTU AFIKIRIA KUIKACHA TWANGA

MUIMBAJI mahiri na Kiongozi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Luiza Nyoni Mbutu amesema kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika dunia ya sasa, anafikiria kuachana na bendi hiyo na kuwa mama wa nyumbani tu. Mwimbaji mahiri na Kiongozi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Luiza Nyoni Mbutu Akizungumza na Amani juzi jijini Dar, Luiza alisema imefika mahali anawaza kuwa mama wa nyumbani...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Luiza Mbutu Mkongwe anayezeekea Twanga
Luiza Nyoni Mbutu
Stori: MAYASA MARIWATA
LUIZA Nyoni Mbutu ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi, ambaye haikuwa kazi rahisi mpaka kufika hapo alipo kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia.
AMEANZIA MBALI
Akizunguzia safari yake ya kimuziki, Luiza ambaye ni mzaliwa wa Jiji la Dar, alisema alijikita rasmi kwenye shughuli hizo mnamo mwaka 1996 katika Bendi ya Air Jaz ambayo ni ya Jeshi la Anga kwa ushawishi mkubwa wa dada ambaye naye alikuwa mwanamuziki, Modesta Nyoni yeye...
10 years ago
GPL
ONYESHO LA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU KUTIMIZA MIAKA 16 NDANI YA TWANGA PEPETA LAFANA MANGO GARDEN JIJINI DAR
11 years ago
GPL
LUIZA: NIKIONDOKA TWANGA NITASHUKA HESHIMA
10 years ago
Vijimambo30 Dec
ONYESHO LA MIAKA 16 YA LUIZER MBUTU NDANI YA TWANGA PEPETA SASA NI JANUARI 31

10 years ago
Michuzi
Luizer Mbutu kuimba nyimbo zote alizoshiri katika bendi ya Twanga Pepeta

Akizungumza na Ripota wetu jana Mbutu alizitaja baadhi ya nyimbo hizo kuwa ni ‘Kisa Cha Mpemba’, ‘Jirani’, ‘Fainali Uzeeni’, ‘Mtu Pesa’, ‘Safari 2005’, ‘Mwana Dar es Salaam’ , ‘Kuolewa’ pia kutakuwa na wimbo maalum siku hiyo.
Mbutu...
11 years ago
Michuzi.jpg)
MAKANDARASI WAZALENDO JV MBUTU WAKAMILISHA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU IGUNGA†NA KUKABIDHI RASMI
Itakumbukwa Daraja la Mbutu limejengwa na Wakandarasi Wazarendo walioungana kwa gharama ya shilingi bilioni 12. Na huu ni mradi mkubwa wa kwanza nchini kujengwa na Makandarasi wazarendo ambapo umekamilika kwa wakati kama matakwa ya mkataba yalivyohitaji.
Huu ni muendelezo wa juhudi za wizara ya...
10 years ago
GPL
MC AMKERA WAZIRI SHEREHE YA LUIZA
10 years ago
Bongo Movies07 Jun
Baby Madaha Kuikacha Bongo Fleva kwa Muda
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Baby Madaha ameamua kwasasa kijikita kwenye uigizaji zaidi kusimama kwa muda kufanya muziki kutokana na changamoto nyingi ambazo zinahitaji uvumilivu.
Baby Madaha alieleza kuwa moja ya changamoto za muziki, na hasa unapokuwa chini ya "manejimenti' ya kampuni ni kukosa uhuru wa maamuzi
Nipashe
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Chekibudi afikiria kutema uigizaji
MSANII wa siku nyingi katika tasnia ya filamu, Mohamed Nurdin ‘Chekibudi, amesema mwaka huu 2013 kwake ulikuwa mbaya kutokana na kushindwa kuachia kazi hata moja sokoni jambo linalomfanya kufikiria kuachana...