Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LUIZA MBUTU AFIKIRIA KUIKACHA TWANGA

MUIMBAJI mahiri na Kiongozi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Luiza Nyoni Mbutu amesema kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika dunia ya sasa, anafikiria kuachana na bendi hiyo na kuwa mama wa nyumbani tu. Mwimbaji mahiri na Kiongozi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Luiza Nyoni Mbutu Akizungumza na Amani juzi jijini Dar, Luiza alisema imefika mahali anawaza kuwa mama wa nyumbani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Luiza Mbutu Mkongwe anayezeekea Twanga

LuizaMbutuLuiza Nyoni Mbutu

Stori: MAYASA MARIWATA

LUIZA Nyoni Mbutu ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi, ambaye haikuwa kazi rahisi mpaka kufika hapo alipo kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia.

AMEANZIA MBALI
Akizunguzia safari yake ya kimuziki, Luiza ambaye ni mzaliwa wa Jiji la Dar, alisema alijikita rasmi kwenye shughuli hizo mnamo mwaka 1996 katika Bendi ya Air Jaz ambayo ni ya Jeshi la Anga kwa ushawishi mkubwa wa dada ambaye naye alikuwa mwanamuziki, Modesta Nyoni yeye...

 

10 years ago

GPL

ONYESHO LA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU KUTIMIZA MIAKA 16 NDANI YA TWANGA PEPETA LAFANA MANGO GARDEN JIJINI DAR

Rapa wa bendi hiyo, Frank Kabatano akifanya vitu vyake stejini. Waziri akimmwagia sifa Luiza Mbutu. Baadhi ya wageni waalikwa wakiserebuka.…

 

11 years ago

GPL

LUIZA: NIKIONDOKA TWANGA NITASHUKA HESHIMA

Stori: Imelda Mtema
KIONGOZI wa Bendi ya The African Stars, ‘Twanga wa Pepeta’, Luiza Mbutu, amesema akiihama bendi yake hiyo atajishushia heshima yake aliyoijenga siku nyingi hivyo hathubutu. Kiongozi wa Bendi ya The African Stars, ‘Twanga wa Pepeta’, Luiza Mbutu. Luiza alitoa kauli hiyo alipoulizwa na paparazi wetu kama ana mpango wowote wa kubadilisha ‘upepo’. “Nimetengeneza...

 

10 years ago

Vijimambo

ONYESHO LA MIAKA 16 YA LUIZER MBUTU NDANI YA TWANGA PEPETA SASA NI JANUARI 31

Mwanadada Luizer Mbutu, mmoja wa waimbaji mahiri wa muziki wa dansi, sasa anatarajiwa kuongoza onyesho kubwa la Twanga Pepeta la kusherehekea miaka yake 16 mfululizo ya kuitumikia bendi hiyo, Jumamosi ya Januari 31.Hii ni baada ya onyesho hilo kuahirishwa mara kadhaa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo vifo vya wasanii waliotarajiwa kushiriki tukio hilo la kihistoria. Mara ya mwisho onyesho hilo lilipangwa kufanyika Disemba 20.Kama ilivyopangwa hapo awali, katika onyesho hilo...

 

10 years ago

Michuzi

Luizer Mbutu kuimba nyimbo zote alizoshiri katika bendi ya Twanga Pepeta

MWANAMUZIKI mkongwe pia Kiongozi wa bendi ya Twanga Pepeta Luizer Mbutu amesema katika kupamba usiku wa Luizer Mbutu ikiwa ni maadhimisho ya miaka 16 ndani ya bendi bila kutoka ataimba nyimbo zote za bendi ambazo alishiriki kwa namna moja ama nyingine.
Akizungumza na Ripota wetu jana Mbutu alizitaja baadhi ya nyimbo hizo kuwa ni ‘Kisa Cha Mpemba’, ‘Jirani’, ‘Fainali Uzeeni’, ‘Mtu Pesa’, ‘Safari 2005’, ‘Mwana Dar es Salaam’ , ‘Kuolewa’ pia kutakuwa na wimbo maalum siku hiyo.
Mbutu...

 

11 years ago

Michuzi

MAKANDARASI WAZALENDO JV MBUTU WAKAMILISHA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU IGUNGA‏ NA KUKABIDHI RASMI

Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli amekuwa akiahidi kusimamia kikamilifu ujenzi wa daraja la Mbutu,taarifa za uhakika ni kuwa daraja hilo limekamilika na kukabidhiwa rasmi leo tarehe 11 Septemba 2014.
Itakumbukwa Daraja la Mbutu limejengwa na Wakandarasi Wazarendo walioungana kwa gharama ya shilingi bilioni 12. Na huu ni mradi mkubwa wa kwanza nchini kujengwa na Makandarasi wazarendo ambapo umekamilika kwa wakati kama matakwa ya mkataba yalivyohitaji.
Huu ni muendelezo wa juhudi za wizara ya...

 

10 years ago

GPL

MC AMKERA WAZIRI SHEREHE YA LUIZA

Na Issa Mnally/Mchanganyiko MSHEHERESHAJI wa onyesho la Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ kumpongeza mwimbaji kiongozi Luiza Mbutu kutimiza miaka 16 ya kuifanyia kazi mfululizo bila kuhama, Sakina Lyoka, Jumamosi iliyopita alimkera mgeni rasmi, Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Fenela Mkangara baada ya kukosea kutamka vizuri cheo chake. Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Fenela...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baby Madaha Kuikacha Bongo Fleva kwa Muda

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Baby Madaha ameamua kwasasa kijikita kwenye uigizaji zaidi kusimama kwa muda kufanya muziki kutokana na changamoto nyingi ambazo zinahitaji uvumilivu.

Baby Madaha alieleza kuwa moja ya changamoto  za muziki, na hasa unapokuwa chini ya "manejimenti' ya kampuni ni kukosa uhuru wa maamuzi

Nipashe

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chekibudi afikiria kutema uigizaji

MSANII wa siku nyingi katika tasnia ya filamu, Mohamed Nurdin ‘Chekibudi, amesema mwaka huu 2013 kwake ulikuwa mbaya kutokana na kushindwa kuachia kazi hata moja sokoni jambo linalomfanya kufikiria kuachana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani