Luizer Mbutu kuimba nyimbo zote alizoshiri katika bendi ya Twanga Pepeta
![](http://2.bp.blogspot.com/-UO9234PB6mk/VI_2iKARSoI/AAAAAAAG3f0/-8WpXy3mC2k/s72-c/10846465_820989117943210_5507661516903147093_n.jpg)
MWANAMUZIKI mkongwe pia Kiongozi wa bendi ya Twanga Pepeta Luizer Mbutu amesema katika kupamba usiku wa Luizer Mbutu ikiwa ni maadhimisho ya miaka 16 ndani ya bendi bila kutoka ataimba nyimbo zote za bendi ambazo alishiriki kwa namna moja ama nyingine.
Akizungumza na Ripota wetu jana Mbutu alizitaja baadhi ya nyimbo hizo kuwa ni ‘Kisa Cha Mpemba’, ‘Jirani’, ‘Fainali Uzeeni’, ‘Mtu Pesa’, ‘Safari 2005’, ‘Mwana Dar es Salaam’ , ‘Kuolewa’ pia kutakuwa na wimbo maalum siku hiyo.
Mbutu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Dec
ONYESHO LA MIAKA 16 YA LUIZER MBUTU NDANI YA TWANGA PEPETA SASA NI JANUARI 31
![](http://www.saluti5.com/media/k2/items/cache/410c9434c4dba55fe75434212a73bf09_L.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*ZpF4kec7xVd2L7H1hp1-exOCtZojfXG*XZvwka5H0wHwTNZndhCm2jl6ehgKVj6J9QSGei2vWR-X1GCyT3Qudy/TWANGAPEPETA5.jpg?width=650)
ONYESHO LA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU KUTIMIZA MIAKA 16 NDANI YA TWANGA PEPETA LAFANA MANGO GARDEN JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kyellOibZGI/Ux9Yn2TaK9I/AAAAAAAFS90/YI7MoncQzZ4/s72-c/1439421_200.jpg)
BENDI PENDWA TWANGA PEPETA ZIARANI NYANDA ZA JUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kyellOibZGI/Ux9Yn2TaK9I/AAAAAAAFS90/YI7MoncQzZ4/s1600/1439421_200.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KFYneZmARMg/VIs1dkQi2vI/AAAAAAAG2x8/jaJ4p0EOb50/s72-c/luiza-mbutubc.jpg)
Maandalizi ya USIKU WA LUIZER MBUTU utaofanyika desemba 20, 2014 mango garden
![](http://2.bp.blogspot.com/-KFYneZmARMg/VIs1dkQi2vI/AAAAAAAG2x8/jaJ4p0EOb50/s1600/luiza-mbutubc.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
Yaliyojiri katika shoo ya Twanga Pepeta kwenye Club ya Maisha jijini Dar
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/128.jpg)
Mwimbaji wa Twanga Pepeta, Salehe Kupaza akiimba kwa hisia kubwa kwa mashabiki wao waliofika kutizama shoo yao ya nguvu kulia ni Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu.
10 years ago
GPLTWANGA PEPETA WAKIWASHA MOTO KATIKA UZINDUZI WA YAMOTO BAND NDANI YA DAR LIVE USIKU HUU
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Luiza Mbutu Mkongwe anayezeekea Twanga
Luiza Nyoni Mbutu
Stori: MAYASA MARIWATA
LUIZA Nyoni Mbutu ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi, ambaye haikuwa kazi rahisi mpaka kufika hapo alipo kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia.
AMEANZIA MBALI
Akizunguzia safari yake ya kimuziki, Luiza ambaye ni mzaliwa wa Jiji la Dar, alisema alijikita rasmi kwenye shughuli hizo mnamo mwaka 1996 katika Bendi ya Air Jaz ambayo ni ya Jeshi la Anga kwa ushawishi mkubwa wa dada ambaye naye alikuwa mwanamuziki, Modesta Nyoni yeye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0ct1ctneeWxlS0QtejScrqkXa1sENkEU5e-q6kbuVKkVvxFwhhwZl*mBFvm6jh2kiZWoucUeZTCnuuhpAnldQ3/luiza.jpg?width=650)
LUIZA MBUTU AFIKIRIA KUIKACHA TWANGA
10 years ago
GPL