Luiza Mbutu Mkongwe anayezeekea Twanga
Luiza Nyoni Mbutu
Stori: MAYASA MARIWATA
LUIZA Nyoni Mbutu ni miongoni mwa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi, ambaye haikuwa kazi rahisi mpaka kufika hapo alipo kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia.
AMEANZIA MBALI
Akizunguzia safari yake ya kimuziki, Luiza ambaye ni mzaliwa wa Jiji la Dar, alisema alijikita rasmi kwenye shughuli hizo mnamo mwaka 1996 katika Bendi ya Air Jaz ambayo ni ya Jeshi la Anga kwa ushawishi mkubwa wa dada ambaye naye alikuwa mwanamuziki, Modesta Nyoni yeye...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX0ct1ctneeWxlS0QtejScrqkXa1sENkEU5e-q6kbuVKkVvxFwhhwZl*mBFvm6jh2kiZWoucUeZTCnuuhpAnldQ3/luiza.jpg?width=650)
LUIZA MBUTU AFIKIRIA KUIKACHA TWANGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*ZpF4kec7xVd2L7H1hp1-exOCtZojfXG*XZvwka5H0wHwTNZndhCm2jl6ehgKVj6J9QSGei2vWR-X1GCyT3Qudy/TWANGAPEPETA5.jpg?width=650)
ONYESHO LA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU KUTIMIZA MIAKA 16 NDANI YA TWANGA PEPETA LAFANA MANGO GARDEN JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqomhdFJMZtFRy2EcMXKCfLa-JO8shJxcz9YBUUyQmGnLqGZhpz0TjZqKaTKCYOUG-d7r1aCIjIKjvmHNEqhtDUe/luiz.jpg?width=650)
LUIZA: NIKIONDOKA TWANGA NITASHUKA HESHIMA
10 years ago
Vijimambo30 Dec
ONYESHO LA MIAKA 16 YA LUIZER MBUTU NDANI YA TWANGA PEPETA SASA NI JANUARI 31
![](http://www.saluti5.com/media/k2/items/cache/410c9434c4dba55fe75434212a73bf09_L.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UO9234PB6mk/VI_2iKARSoI/AAAAAAAG3f0/-8WpXy3mC2k/s72-c/10846465_820989117943210_5507661516903147093_n.jpg)
Luizer Mbutu kuimba nyimbo zote alizoshiri katika bendi ya Twanga Pepeta
![](http://2.bp.blogspot.com/-UO9234PB6mk/VI_2iKARSoI/AAAAAAAG3f0/-8WpXy3mC2k/s1600/10846465_820989117943210_5507661516903147093_n.jpg)
Akizungumza na Ripota wetu jana Mbutu alizitaja baadhi ya nyimbo hizo kuwa ni ‘Kisa Cha Mpemba’, ‘Jirani’, ‘Fainali Uzeeni’, ‘Mtu Pesa’, ‘Safari 2005’, ‘Mwana Dar es Salaam’ , ‘Kuolewa’ pia kutakuwa na wimbo maalum siku hiyo.
Mbutu...
10 years ago
MichuziMWANAMUZIKI MKONGWE WA TWANGA PEPETA,AMIGOLAS AFARIKI DUNIA
Taarifa za awali ambazo chumba cha habari cha Globu ya Jamii imezipata kutoka kwa vyanzo vya kuaminika,zinaeleza kuwa Marehemu Amigolas alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Moyo mpaka kufariki kwake.
Tutaendelea kupeana taarifa zaidi kuhusiana na msiba huu kwa...
10 years ago
MichuziMWANAMUZIKI MKONGWE WA TWANGA PEPETA,AMIGOLAS AZIKWA MAKUBURI YA KISUTU JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wBo7fts8T0g/VBH7BU6S1iI/AAAAAAAGi-k/N88rPrMHI5I/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
MAKANDARASI WAZALENDO JV MBUTU WAKAMILISHA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU IGUNGA†NA KUKABIDHI RASMI
Itakumbukwa Daraja la Mbutu limejengwa na Wakandarasi Wazarendo walioungana kwa gharama ya shilingi bilioni 12. Na huu ni mradi mkubwa wa kwanza nchini kujengwa na Makandarasi wazarendo ambapo umekamilika kwa wakati kama matakwa ya mkataba yalivyohitaji.
Huu ni muendelezo wa juhudi za wizara ya...
11 years ago
Mwananchi04 May
Mr Bean: Mhandisi anayezeekea kwenye vichekesho